King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Huyo "Muokoaji wa precision" alitaka cheo kipindi Jiwe "ameng'ata shuka"....Ameyataka mwenyewe ,rejea kauli ya "MABETO" kipindi anaapishwa WATCH_HUNDRED.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
??Kumbe hii nchi ina PM!
Kama heading inavyojieleza,
Kwa siku hizi mbili nimeshuhudia nyuzi pamoja na post nyingi katika mitandao ya kijamii yenye malengo ya kumchafua Waziri mkuu Mh. Kassim Majaliwa Kassim wakimtuhumu kuwa ndiye anayemwangusha namba moja...
???We boya, mbona Mwigulu anamiliki timu ya mpira na kampuni ya mabasi, mbona Domo lako lipo kimiya!!
Hivi kwenye Tim za mpira Kunani?bona mawaziri ,wabunge wanakimbilia hukoHamilik Yeye ni.mmoja wa wafadhir wa timu.....!! Ika bwana tozo ile timu ya kwake...akianguka na timu inaanguka akiinuka na timu inainuka...[emoji125][emoji125]
Nyota ipi unayoizungumzia mkuu ,au kushindwa kitekeleza majukumu yake kama waziri mkuu
Jamaa ni mwongo mwongo saana hawezi kuamnika kwenye jamii iliyostarabika .Ninyi nyote mnaontete a mtakuwa mmekula posho toka kwake na si vingine
Hao akina Sanga au Mpina na wenyewe wamelipwa kumchafua ?wewe mwenyewe umekula posho kumchafua
Eti uPM mnataka mumpe eti
Makambaaa
Hii nchi ngumu sanaaa
Pm keshajisahau tayari, serikali yetu inashangaza watu walishakufa pesa zinaendelea kupukutishwa kwenye tume, kinachoshindikana ni maamuzi au ni lack of knowledge mkuu?Kama heading inavyojieleza,
Kwa siku hizi mbili nimeshuhudia nyuzi pamoja na post nyingi katika mitandao ya kijamii yenye malengo ya kumchafua Waziri mkuu Mh. Kassim Majaliwa Kassim wakimtuhumu kuwa ndiye anayemwangusha namba moja...
MAJALIWA anamiliki timu ya mpira wa miguu ya Namungo hizo fedha za kuendesha timu anapata wapi!Maamuzi yake mengi ni dhaifu huyu ni mwizi kama wezi wengine
Waziri Mkuu alikula wapi kiapo kwa rais wa awamu ya sita?
Rais Mpya anapoapa maana yake serikali yote inapaswa kuteuliwa tena. Hilo ni moja
Jengine ni kuwa Waziri Mkuu anaonekana kupwaya kabisa kwenye usimamizi wa maafa na majanga yanayogusibu daily
Tunaona uwajibikaji wake ni hitaji la msingi
Unakatwa kimeo mkuu.MAJALIWA anamiliki timu ya mpira wa miguu ya Namungo hizo fedha za kuendesha timu anapata wapi!Maamuzi yake mengi ni dhaifu huyu ni mwizi kama wezi wengine
Private MessagesKumbe hii nchi ina PM!
Rais tunajua namna ya kumuwajibisha kwenye kura...Kuwa na Akili. Rais wako yupo Nje anakula bata.... huku taifa likiwa na majonzi na msiba wa kitaifa, yeye anaishia ku tweet tu. Ingekuwa ni Rais wa maono angekatisha Safar kuungana na watanzania.