Kuna kundi la vijana walamba asali wametumwa kumchafua na kumharibia Waziri Mkuu

Kuna kundi la vijana walamba asali wametumwa kumchafua na kumharibia Waziri Mkuu

Huyo "Muokoaji wa precision" alitaka cheo kipindi Jiwe "ameng'ata shuka"....Ameyataka mwenyewe ,rejea kauli ya "MABETO" kipindi anaapishwa WATCH_HUNDRED.
 
Kama heading inavyojieleza,

Kwa siku hizi mbili nimeshuhudia nyuzi pamoja na post nyingi katika mitandao ya kijamii yenye malengo ya kumchafua Waziri mkuu Mh. Kassim Majaliwa Kassim wakimtuhumu kuwa ndiye anayemwangusha namba moja...

PM anapiga kazi nchi hii hadi basi, sometimes nasikia anatoka ofisini saa 6 usiku. PM Majaliwa aisee nadhani ktk orodha ya Mawaziri Wakuu waliopita, Majaliwa kawazidi kwa kasi ya kazi.
 
Majaliwa majaliwa majaliwa why mwacheni Mzee wawatu Aishi Kwa amani
 
Hizi dolari ziko wapi?

1668094391999.png
 
Pm ndio uwezo kutengua Waziri Hana ,ila anayonguvu ya kimshauri Waziri flani kutenguliwa kwa boss wake,

Lakini Kama unajua majukim yako kwa nini ufanye kazi kwa woga kisa usionekane kumuovertake mteule( Ili Hali huvuki mipaka ya kazi yako) kisa eti kulinda kibarua Cha upm wakati wewe ni Mbunge, ila bado Hata usipokua MADARAKANI unaendelea pata stahiki zako Kama Kama pm mstaafu, ni kiongozi ngazi ya pm ambaye hajiamini ,mbinafsi, anaweza kuamini Katika hoja hii, kinachotakiwa ni kupiga kazi boss wako akinuna akakupiga chini watu watakuwa na wewe, na bado kipaji Chako hakiwezi kuzimwa bali kitapaa tu

So pm hawamchafui bali yapo Mambo anaonekana kutotimija wajibu wake Kama pm, labda kwa woga au kwa makusudi yake binafsi anayojua,

Mwendazake alilamba Urais kimasiara Sana na Sio kwamba alikua anapendwa Sana chamani, au maarufu ndani ya chama, ila Katika uwaziri wake alionekana kupiga kazi , na alikubalika kabla ya KUWA rais, na ndie alionekana wa kukivusha chama 2015 PAMOJA na wizi wa ccm, ila Sasa alivyoupata akageuza serikali KUWA Kama wizara flani hivi
 
Hamilik Yeye ni.mmoja wa wafadhir wa timu.....!! Ika bwana tozo ile timu ya kwake...akianguka na timu inaanguka akiinuka na timu inainuka...[emoji125][emoji125]
Hivi kwenye Tim za mpira Kunani?bona mawaziri ,wabunge wanakimbilia huko
 
wewe mwenyewe umekula posho kumchafua
Nyota ipi unayoizungumzia mkuu ,au kushindwa kitekeleza majukumu yake kama waziri mkuu

Jamaa ni mwongo mwongo saana hawezi kuamnika kwenye jamii iliyostarabika .Ninyi nyote mnaontete a mtakuwa mmekula posho toka kwake na si vingine
 
Kama heading inavyojieleza,

Kwa siku hizi mbili nimeshuhudia nyuzi pamoja na post nyingi katika mitandao ya kijamii yenye malengo ya kumchafua Waziri mkuu Mh. Kassim Majaliwa Kassim wakimtuhumu kuwa ndiye anayemwangusha namba moja...
Pm keshajisahau tayari, serikali yetu inashangaza watu walishakufa pesa zinaendelea kupukutishwa kwenye tume, kinachoshindikana ni maamuzi au ni lack of knowledge mkuu?
 
MAJALIWA anamiliki timu ya mpira wa miguu ya Namungo hizo fedha za kuendesha timu anapata wapi!Maamuzi yake mengi ni dhaifu huyu ni mwizi kama wezi wengine

Taja Kiongozi ambae sio Mwizi ? Ukitaja nakupa ya fedha wanazomiliki viongozi wote wa Serikali nie ya nchi .
 
Waziri Mkuu alikula wapi kiapo kwa rais wa awamu ya sita?

Rais Mpya anapoapa maana yake serikali yote inapaswa kuteuliwa tena. Hilo ni moja

Jengine ni kuwa Waziri Mkuu anaonekana kupwaya kabisa kwenye usimamizi wa maafa na majanga yanayogusibu daily

Tunaona uwajibikaji wake ni hitaji la msingi

Kuwa na Akili. Rais wako yupo Nje anakula bata.... huku taifa likiwa na majonzi na msiba wa kitaifa, yeye anaishia ku tweet tu. Ingekuwa ni Rais wa maono angekatisha Safar kuungana na watanzania.
 
Watu wanahitaji uwajibikaji afu wapuuzi mnatafuta kumfichia udhaifu kwa hoja za kindezi,ndio maana hii Nchi hauwezi kuendelea.
 
Ukweli ni kwamba Tanzania January Makamba na Nape ndio wanaoiharibu nvhi kwa sasa. Wanampiga majungu kila mtu wanayeona anaweza kuwa Rais. Tunashukuru Hussein Mwinyi yupo kwa ajili ya 2030
 
Kuwa na Akili. Rais wako yupo Nje anakula bata.... huku taifa likiwa na majonzi na msiba wa kitaifa, yeye anaishia ku tweet tu. Ingekuwa ni Rais wa maono angekatisha Safar kuungana na watanzania.
Rais tunajua namna ya kumuwajibisha kwenye kura...

Amuwajibishe PM kwa hoja zilizo wazi.

Kila mtu anaona
 
Walamba asali wakumbuke kuna segedansi akishapita mtu wao...
 
Back
Top Bottom