NACKO
JF-Expert Member
- Oct 27, 2022
- 1,298
- 2,514
ok,..nikweli sijawa updated kuhusu India kwa muda kidogo,...ngoja nizameYani USA ianguke ? Afu kitu ambacho ukijui Ni kuwa haya mataifa USA na Russia na China yanaushirikiano mno Ila Sisi huku mbwande ndio tunaona wanauogomvi ,Ni Sawa Sawa Kwa hapa Tanzania watu huwadhani mbowe na viongozi WA CCM wanaugomvi wakati
Ni kweli ila India now yupo far ahead jaribu kuitafuta au kutazama project zake utaelewa