fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 2,977
- 3,798
America ilishawahi kushinda vita ipi?Katika vitu vinavyochekesha na kuuzunisha ni kuona kundi la watu fulani wakichukulia usa poa sana
Wengine kwa akili zao wanafikiri ni taifa dhaifu sana
Any way tuombe tu Mungu amani iwepo duniani