henry vascos
Member
- Jan 2, 2013
- 70
- 51
Barbara kidatu -ifakara
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kule kijijini kwako bibi yako anatumia kipi kati ya hicho. Halafu mpaka karne hii tunaitaja Coca-Cola kama product ya maana sana kuwa bila hicho mtu atakata roho
Microsoft
HP, Dell
Boeng-Dreamliner
Visa Card, Mastercard
Ford ranger, Escalade, jeep
Pepsi, Coca-Cola, KFC, Pringles
Jack Daniels, Grants
Abbott Laboratories
John Deere
Amazon
Movies
Music
JBL
Iran ana nguvu kuliko mataifa yote hayo uliyotaja kijeshi.Yes,...nadhani wenzake ni Israel ,misri, south Africa, Brazil,India na Pakistan.....hawa wanaweza kaa kundi moja kijeshi
Uzi ufungwe dunia haiwezi kuishi kistaarabu kwa akili za kina putin,iran et alBila uwepo wa USA, dunia ingekuwa uwanja wa vita. USA analeta balance kwenye mambo mengi mno
Mkuu uimara wa nchi ni uchumi kama bado hata vita hutoboi.Iran ana nguvu kuliko mataifa yote hayo uliyotaja kijeshi.
Amethibitisha kuwa ni tishio kwa wakubwa tena akiwa anaishi chini ya vikwazo zaidi ya miaka 40.
Iran ligi yake ni kubwa KIJESHI sio ya hizo nchi za kitoto ulizotaja.
Ila kiuchumi ndio bado.
Leo hii USA akisikia Iran inamsaidia mpinzani wake kijeshi lazima ahahe na kulalamika kwasababu anajua uimara wa Iran kijeshi.
India muweke na USA,Russia na China uyo Yuko vizuriYes,...nadhani wenzake ni Israel ,misri, south Africa, Brazil,India na Pakistan.....hawa wanaweza kaa kundi moja kijeshi
Yani Iran anamshinda India kijeshi? Mkuu embu fikiria mara 2 ,Ni kweli Yuko vizuri hatukatai ila sio Kwa kiwango cha kuipita IndiaIran ana nguvu kuliko mataifa yote hayo uliyotaja kijeshi.
Amethibitisha kuwa ni tishio kwa wakubwa tena akiwa anaishi chini ya vikwazo zaidi ya miaka 40.
Iran ligi yake ni kubwa KIJESHI sio ya hizo nchi za kitoto ulizotaja.
Ila kiuchumi ndio bado.
Leo hii USA akisikia Iran inamsaidia mpinzani wake kijeshi lazima ahahe na kulalamika kwasababu anajua uimara wa Iran kijeshi.
Uko sahihi.Mkuu uimara wa nchi ni uchumi kama bado hata vita hutoboi.
India ni quantity sio quality.Yani Iran anamshinda India kijeshi? Mkuu embu fikiria mara 2 ,Ni kweli Yuko vizuri hatukatai ila sio Kwa kiwango cha kuipita India
Hivi unaifaham Pakistan vizuri au unaichukulia ni kama waimba nyimbo fulaniIran ana nguvu kuliko mataifa yote hayo uliyotaja kijeshi.
Amethibitisha kuwa ni tishio kwa wakubwa tena akiwa anaishi chini ya vikwazo zaidi ya miaka 40.
Iran ligi yake ni kubwa KIJESHI sio ya hizo nchi za kitoto ulizotaja.
Ila kiuchumi ndio bado.
Leo hii USA akisikia Iran inamsaidia mpinzani wake kijeshi lazima ahahe na kulalamika kwasababu anajua uimara wa Iran kijeshi.
Brazil India na Pakistan usiwachukulie kinyonge just kwasababu si wakorofi..Iran ana nguvu kuliko mataifa yote hayo uliyotaja kijeshi.
Amethibitisha kuwa ni tishio kwa wakubwa tena akiwa anaishi chini ya vikwazo zaidi ya miaka 40.
Iran ligi yake ni kubwa KIJESHI sio ya hizo nchi za kitoto ulizotaja.
Ila kiuchumi ndio bado.
Leo hii USA akisikia Iran inamsaidia mpinzani wake kijeshi lazima ahahe na kulalamika kwasababu anajua uimara wa Iran kijeshi.
Chanjo za Polio na kifua kikuu.Kule kijijini kwako bibi yako anatumia kipi kati ya hicho. Halafu mpaka karne hii tunaitaja Coca-Cola kama product ya maana sana kuwa bila hicho mtu atakata roho
Mkuu unayosema Ni Sawa ila Kwa upande mwingine vita inahitaji pesa ,vita inahitaji bajeti kubwa we unahisi ikatoea mgogoro Kati ya India na Iran unadhan Iran anaweza Ku manage?India ni quantity sio quality.
India katika millitary operations ni weupeee peee.
India katika list ya jeshi kubwa ipo juu ya Germany,do you believe India inaweza kupigana na Germany na ikashinda!?
Kama Pakistan tu amemtoa jasho katika vita za mipaka 5 walizopigana India kashinda moja tu.
India ni weupe sana aisee.
Angalau ungenambia Pakistan kidogo ningesema anaweza kumsumbua Iran.
Embu kafuatilie Iran kivita toka inaitwa Anatolia/Persia halafu uone mwenyewe.
Hapo ndio utajiuliza kwanini USA anaikalia kooni Iran.
Naongea nachojua.Hivi unaifaham Pakistan vizuri au unaichukulia ni kama waimba nyimbo fulani
Brazil India na Pakistan usiwachukulie kinyonge just kwasababu si wakorofi..
Acha utani kaka hivi kweli unaifanamisha Pakistan na Iran?
Kaka embu nenda kafuatilie Hizbollah, Houthi, Islamic jihad hawa wote wanafadhiliwa silaha na pesa kutoka Iran.Mkuu unayosema Ni Sawa ila Kwa upande mwingine vita inahitaji pesa ,vita inahitaji bajeti kubwa we unahisi ikatoea mgogoro Kati ya India na Iran unadhan Iran anaweza Ku manage?
Dunia ipo ktk transition. Marekani inaendelea kushuka na wakikosea wakamchagua huyo mwanamke basi anguko lao litakuja kwa haraka. Huko tuendako hakutakuwa na Taifa moja kubwa tena wala mawili bali kutakuwa na mataifa kumi au Federation 10 zitakazoendesha dunia. Biblia imeshaeleza hili. Na hiyo ndiyo wanaita New world order inayopigiwa chapuo tangu miaka ya 70.Katika vitu vinavyochekesha na kuuzunisha ni kuona kundi la watu fulani wakichukulia usa poa sana
Wengine kwa akili zao wanafikiri ni taifa dhaifu sana
Any way tuombe tu Mungu amani iwepo duniani
Ni mtazamo wako kivyako,...Iran ana nguvu kuliko mataifa yote hayo uliyotaja kijeshi.
Amethibitisha kuwa ni tishio kwa wakubwa tena akiwa anaishi chini ya vikwazo zaidi ya miaka 40.
Iran ligi yake ni kubwa KIJESHI sio ya hizo nchi za kitoto ulizotaja.
Ila kiuchumi ndio bado.
Leo hii USA akisikia Iran inamsaidia mpinzani wake kijeshi lazima ahahe na kulalamika kwasababu anajua uimara wa Iran kijeshi.
Mwenyewe namshangaaaYani Iran anamshinda India kijeshi? Mkuu embu fikiria mara 2 ,Ni kweli Yuko vizuri hatukatai ila sio Kwa kiwango cha kuipita India
Mkuu hizo nchi tatu,..ziachwe haziguswi na kanchi kokote kale kijeshi,....India hawafikii hao katika innovationIndia muweke na USA,Russia na China uyo Yuko vizuri
Yani USA ianguke ? Afu kitu ambacho ukijui Ni kuwa haya mataifa USA na Russia na China yanaushirikiano mno Ila Sisi huku mbwande ndio tunaona wanauogomvi ,Ni Sawa Sawa Kwa hapa Tanzania watu huwadhani mbowe na viongozi WA CCM wanaugomvi wakati uhalisia Si kweliDunia ipo ktk transition. Marekani inaendelea kushuka na wakikosea wakamchagua huyo mwanamke basi anguko lao litakuja kwa haraka. Huko tuendako hakutakuwa na Taifa moja kubwa tena wala mawili bali kutakuwa na mataifa kumi au Federation 10 zitakazoendesha dunia. Biblia imeshaeleza hili. Na hiyo ndiyo wanaita New world order inayopigiwa chapuo tangu miaka ya 70.
Yani USA ianguke ? Afu kitu ambacho ukijui Ni kuwa haya mataifa USA na Russia na China yanaushirikiano mno Ila Sisi huku mbwande ndio tunaona wanauogomvi ,Ni Sawa Sawa Kwa hapa Tanzania watu huwadhani mbowe na viongozi WA CCM wanaugomvi wakatiDunia ipo ktk transition. Marekani inaendelea kushuka na wakikosea wakamchagua huyo mwanamke basi anguko lao litakuja kwa haraka. Huko tuendako hakutakuwa na Taifa moja kubwa tena wala mawili bali kutakuwa na mataifa kumi au Federation 10 zitakazoendesha dunia. Biblia imeshaeleza hili. Na hiyo ndiyo wanaita New world order inayopigiwa chapuo tangu miaka ya 70.
Ni kweli ila India now yupo far ahead jaribu kuitafuta au kutazama project zake utaelewaMkuu hizo nchi tatu,..ziachwe haziguswi na kanchi kokote kale kijeshi,....India hawafikii hao katika innovation