Kuna kundi la watu fulani kwasababu ya ushabiki wao wanaichukulia USA poa

ok,..nikweli sijawa updated kuhusu India kwa muda kidogo,...ngoja nizame
 
You are OPTIMISTIC
 
Huyo mpumbavu amesahau au hajui, barabara ya Tunduma -Sumbawanga pia imejengwa kwa hisani ya watu wa Marekani. Mwamba amefadhili upatikanaji wa lishe bora,upatikanaji uhuru pia wa Afrika ali-play role kubwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…