Tumia akiliUnafikiri kwanini dawa zimeadimika mahopitalini !!?Hadi Bima za afya Kwa watoto zikapigwa chini na ummy Mwalimu!!?
USA ndio wafadhili wakuu wa WHO wanaogawa dawa za afya Duniani kote!!
Sasa,Chawa na kiongozi wao walipoegemea Kwa waarabu na wao wakakata misaada kidogo Hali ndio ikawa hivyo!
Elim inafafadhiliwa na Europe tulipoa anaza mambo ya kiarabu na wao wakakata misaada ya kielim ndio maana fedha za elim bure zinakata mashuleni!!
Fiki
Anaye hujumu hicho unacho kitamani ndiyo huyo USA kammwe usa 🇺🇸hataki taifa lolote la africa lijitegemee hivyo usemavyo ...ndiyo maana nikakuambieni kuwa USA 🇺🇸 ni aduiKwanini tusaidiwe? Kwanini tusitumie resources zetu kupata pesa za kufanya maendeleo? Halafu AMKA USINGIZINI. Hakuna msaada wa bure chini ya jua.
Nani kakudanganya kuwa wewe unapata ? Tumia akilisasa hao waarabu wamefanya hayo unavyosema?
mambo ya duniani ni win win situation. Kupitia mambo flani wao wanapata na sie tunapata
unaichukulia poa USAUSA alina faida yoyote kwa dunia nitajie hata mita moja ya reli ambayo USA na utajiri wake wote kajenga africa au hospital moja tu ya maana ambayo kajenga ...nasikitika sana kuona wapumbavu mnashabikia taifa ambalo halina faida yoyote kwa africa na dunia ...pepesa macho yako hapo ulipo nitajie ni bidhaa gani za USA uponazo hapo ulipo au umeziona kwa macho labda simu ya iPhone tu tena kama unayo
vitabu vingi vya mashuleni vina nembo ya usaid, oxford , macmillan aidan n.KUnafikiri kwanini dawa zimeadimika mahopitalini !!?Hadi Bima za afya Kwa watoto zikapigwa chini na ummy Mwalimu!!?
USA ndio wafadhili wakuu wa WHO wanaogawa dawa za afya Duniani kote!!
Sasa,Chawa na kiongozi wao walipoegemea Kwa waarabu na wao wakakata misaada kidogo Hali ndio ikawa hivyo!
Elim inafafadhiliwa na Europe tulipoa anaza mambo ya kiarabu na wao wakakata misaada ya kielim ndio maana fedha za elim bure zinakata mashuleni!!
Fiki
Content ya uzi wako unaonyesha ww ni mvivu wa kupindukia ..nashauri usiwe mvivu hivyoKatika vitu vinavyochekesha na kuuzunisha ni kuona kundi la watu fulani wakichukulia usa poa sana
Wengine kwa akili zao wanafikiri ni taifa dhaifu sana
Any way tuombe tu Mungu amani iwepo duniani
Toka lini msaada ukakufanya ku2a tajiri. Hapo unasema nitumie akili hivi nani ambae hajatumia akili yake vzr hapa.Tumia akili ingekuwa hiyo ni m8sahada kweli basi africa yote ingekuwa tajiri
Aisee unaongea nini bro!?Bila uwepo wa USA, dunia ingekuwa uwanja wa vita. USA analeta balance kwenye mambo mengi mno
Em zungumzia na mazuri yake afu upime na hayo mabaya yake.Aisee unaongea nini bro!?
*Vita mashariki ya kati chanzo USA.
*Vita Afrika magharibi chanzo USA.
*Vita Afrika ya kati na DR Congo chanzo USA.
*Mapinduzi na uasi katika serikali nyingi chanzo USA.
*Uharibifu Haiti chanzo USA.
*Kuharibika kwa Marshall/Bikini Island chanzo USA.
USA is the father of chaos in this world utake usitake.
Mazuri alofanya ni yapi kaka!?Em zungumzia na mazuri yake afu upime na hayo mabaya yake.
Tanzania imekopa sana world bank, haya wewe umeolewa na nani?World bank ni tatizo kwa africa ndiyo wanakuambia tunakukopesha pesa za mradi ila shariti mwanaume kuolewa na mwanaume mwenzie ...unajua kwanini world bank alipo msusia jpm kumpa fedha za miradi ila yeye aliweza kufanya hiyo miradi walipo gundua kuwa anaweza kufanya bila fedha zao walikuja mbio kwake na kutaka kumfadhiri ...kumbuka walipo kuja kwenye sgr nk unajua kwanini waliogopa jpm kufanikisha miradi pasipo wao kutoa pesa.
World bank kwani ya USA!?Tanzania imekopa sana world bank, haya wewe umeolewa na nani?
Punguza ujinga acha mihemko ya kijinga.Watu wanaichukulia Simple Marekani sababu hawana exposure au ni ignorant.
Marekani is too powerful to mess with...
Marekani akisema vita ya Ukraine iishe kesho inaisha... Akisema Ukraine achukue mikoa 5 ya Russia inachukua mwezi ujao...
Na hizo nchi zote zina umasikini wa kutupa na kufa mtu.Africa ya kusini
Nigeria
Ethiopia
Ghana
Morocco
Kenya
Hizo ni baadhi za nchi zenye ushirikiano na US 90%
Hiyo choko naona anahisi Warusi wwatamtia kitu makalioni
Microsoft
HP, Dell
Boeng-Dreamliner
Visa Card, Mastercard
Ford ranger, Escalade, jeep
Pepsi, Coca-Cola, KFC, Pringles
Jack Daniels, Grants
Abbott Laboratories
John Deere
Amazon
Movies
Music
JBL
Yani misaada ya USA ya kuwalemaza kabisa.Ndugu yangu hivi unajua kuwa madawa ya ukimwi ambayo kama zingeuzwa hakuna mtu ambaye angeweza kununua na miradi ya ukimwi na afya kupitia USAID ni bure na ni hao USA wanatoa au unaropoka bila kujua?
Wewe ni kichwa maji kabisa.USA alina faida yoyote kwa dunia nitajie hata mita moja ya reli ambayo USA na utajiri wake wote kajenga africa au hospital moja tu ya maana ambayo kajenga ...nasikitika sana kuona wapumbavu mnashabikia taifa ambalo halina faida yoyote kwa africa na dunia ...pepesa macho yako hapo ulipo nitajie ni bidhaa gani za USA uponazo hapo ulipo au umeziona kwa macho labda simu ya iPhone tu tena kama unayo