Kuna kundi la watu fulani kwasababu ya ushabiki wao wanaichukulia USA poa

Kuna kundi la watu fulani kwasababu ya ushabiki wao wanaichukulia USA poa

USA alina faida yoyote kwa dunia nitajie hata mita moja ya reli ambayo USA na utajiri wake wote kajenga africa au hospital moja tu ya maana ambayo kajenga ...nasikitika sana kuona wapumbavu mnashabikia taifa ambalo halina faida yoyote kwa africa na dunia ...pepesa macho yako hapo ulipo nitajie ni bidhaa gani za USA uponazo hapo ulipo au umeziona kwa macho labda simu ya iPhone tu tena kama unayo
Umetumia akili ndogo kuwaza mambo makubwa hongera sana great thinker
 
Umetumia akili ndogo kuwaza mambo makubwa hongera sana great thinker
Wewe uwezi kunielewa kwa sababu ya akili yako ndogo ila wamarekani wenyewe wananielewa sana...maana wanajua ajenda zao wanazo zikusudia kwenye kila jambo
 
WhatsApp
Google
Microsoft
HP, Dell
Boeng-Dreamliner
Visa Card, Mastercard
Ford ranger, Escalade, jeep
Pepsi, Coca-Cola, KFC, Pringles
Jack Daniels, Grants
Abbott Laboratories
John Deere
Amazon
Movies
Music
JBL
Achana nae bado mtoto huyo.
 
Katika vitu vinavyochekesha na kuuzunisha ni kuona kundi la watu fulani wakichukulia usa poa sana
Wengine kwa akili zao wanafikiri ni taifa dhaifu sana
Any way tuombe tu Mungu amani iwepo duniani
Anaweza kuwa yupo juu lakini umwamba wake hauna msaada kwa dunia ya leo
Fahari ya utajili wako ni pamoja na kuwasaidia watu.
Kinyume chake yeye ni sehemu ya wanaosababisha umaskini duniani
Kugombanisha watu ndo anachokiweza na masilaha makali makali
Bure kabisa
Taifa la kinyapala wachonganishi wachochea maasi na wagomvi wakubwa
 
USA alina faida yoyote kwa dunia nitajie hata mita moja ya reli ambayo USA na utajiri wake wote kajenga africa au hospital moja tu ya maana ambayo kajenga ...nasikitika sana kuona wapumbavu mnashabikia taifa ambalo halina faida yoyote kwa africa na dunia ...pepesa macho yako hapo ulipo nitajie ni bidhaa gani za USA uponazo hapo ulipo au umeziona kwa macho labda simu ya iPhone tu tena kama unayo
USA kaleta amani duniani
Kabla ya hapo kulikuwa na mdola dhalimu na viongozi wasenge sense kama kiduku kila kona .....ila siku hizi wapo wachache nao wanaishi kama digidigi.
Bila USA ndugu zako au hata wewe unaeza kuta unameza ARV mngekuwa mnasalimiana tu motoni huko....
Bila USA hata hii simu unayotumia hapa aliyeigundua unajua anatokea nchi gani? Usikute unahisi ni mmakonde
 
Wanaongoza kwa kua na mashirika ya kutetea ushoga baran Africa ,hilo liko wazi kabisa cjawai kutana na NGOs ya kichina zaidi ya hawa upinde tuh
USA alina faida yoyote kwa dunia nitajie hata mita moja ya reli ambayo USA na utajiri wake wote kajenga africa au hospital moja tu ya maana ambayo kajenga ...nasikitika sana kuona wapumbavu mnashabikia taifa ambalo halina faida yoyote kwa africa na dunia ...pepesa macho yako hapo ulipo nitajie ni bidhaa gani za USA uponazo hapo ulipo au umeziona kwa macho labda simu ya iPhone tu tena kama unayo
 
Katika vitu vinavyochekesha na kuuzunisha ni kuona kundi la watu fulani wakichukulia usa poa sana
Wengine kwa akili zao wanafikiri ni taifa dhaifu sana
Any way tuombe tu Mungu amani iwepo duniani
Mkuu kama waitukuza ni wewe kwan lazima tufanane?
Hatupangiwi na ma boss sie wenyewe maboss
 
World bank ni tatizo kwa africa ndiyo wanakuambia tunakukopesha pesa za mradi ila shariti mwanaume kuolewa na mwanaume mwenzie ...unajua kwanini world bank alipo msusia jpm kumpa fedha za miradi ila yeye aliweza kufanya hiyo miradi walipo gundua kuwa anaweza kufanya bila fedha zao walikuja mbio kwake na kutaka kumfadhiri ...kumbuka walipo kuja kwenye sgr nk unajua kwanini waliogopa jpm kufanikisha miradi pasipo wao kutoa pesa.

Ila tusidanganyane na y
Msisahau na matundu ya vyoo mashuleni yaliyojengwa kwa msaada wa Watu wa Marekani!

Ila tusidanganyane na yasiyokuwamo!
 
Hiyo ni mifumo yao ya kupata mali wao ...siyo fadhila tumia akili ungesema wametupatia matrekta au wamejenga hospital au mashule ningekuelewa ni sawa sawa na useme dola yake ni muhimu kwetu ...ndiyo ila umuhimu wa dola ni faida kwa USAyenyewe ndiyo maana tukitaka kuacha matumizi ya dola marekani watafura kumbuka mambo ya BRICS wewe unadhani USA anapenda....vitu vya marekani tulivyo navyo ni vile tu vyenye kumnufaisha yeye moja kwa moja ....kwa utajiri wa taifa la marekani ilitakiwa mambo mengi africa tuwe tumesahidiwa na usa 🇺🇸 kama ujenzi wa barabara ...miradi ya maji reli ...hospital nk

sasa hao waarabu wamefanya hayo unavyosema?

mambo ya duniani ni win win situation. Kupitia mambo flani wao wanapata na sie tunapata
 
Hiyo ni mifumo yao ya kupata mali wao ...siyo fadhila tumia akili ungesema wametupatia matrekta au wamejenga hospital au mashule ningekuelewa ni sawa sawa na useme dola yake ni muhimu kwetu ...ndiyo ila umuhimu wa dola ni faida kwa USAyenyewe ndiyo maana tukitaka kuacha matumizi ya dola marekani watafura kumbuka mambo ya BRICS wewe unadhani USA anapenda....vitu vya marekani tulivyo navyo ni vile tu vyenye kumnufaisha yeye moja kwa moja ....kwa utajiri wa taifa la marekani ilitakiwa mambo mengi africa tuwe tumesahidiwa na usa 🇺🇸 kama ujenzi wa barabara ...miradi ya maji reli ...hospital nk
Kwanini tusaidiwe? Kwanini tusitumie resources zetu kupata pesa za kufanya maendeleo? Halafu AMKA USINGIZINI. Hakuna msaada wa bure chini ya jua.
 
Unafikiri kwanini dawa zimeadimika mahopitalini !!?Hadi Bima za afya Kwa watoto zikapigwa chini na ummy Mwalimu!!?

USA ndio wafadhili wakuu wa WHO wanaogawa dawa za afya Duniani kote!!

Sasa,Chawa na kiongozi wao walipoegemea Kwa waarabu na wao wakakata misaada kidogo Hali ndio ikawa hivyo!

Elim inafafadhiliwa na Europe tulipoa anaza mambo ya kiarabu na wao wakakata misaada ya kielim ndio maana fedha za elim bure zinakata mashuleni!!
USA alina faida yoyote kwa dunia nitajie hata mita moja ya reli ambayo USA na utajiri wake wote kajenga africa au hospital moja tu ya maana ambayo kajenga ...nasikitika sana kuona wapumbavu mnashabikia taifa ambalo halina faida yoyote kwa africa na dunia ...pepesa macho yako hapo ulipo nitajie ni bidhaa gani za USA uponazo hapo ulipo au umeziona kwa macho labda simu ya iPhone tu tena kama unayo
Fiki
 
Katika vitu vinavyochekesha na kuuzunisha ni kuona kundi la watu fulani wakichukulia usa poa sana
Wengine kwa akili zao wanafikiri ni taifa dhaifu sana
Any way tuombe tu Mungu amani iwepo duniani
Andika vizur,hatukuelewi mkuu
 
Kuongezea Taifa la USA ni moja ya mataifa hawana Tabia ya kuonyesha silaha zao. Tofauti na Urusi, Iran, na China. Umewahi kujiuliza sababu za hayo yote? Ktk moja ya speech za marais wa Marekani kwa nyakati tofauti wamekuwa wakisema USA wana silaha ambazo hazijawahi tumika duniani wala kuonwa" swali linabaki je ni silaha gani
Kwahiyo USA watashinda kwenye vita ya ujasusi ya mwakani hapa Tanzania kwenye uchaguzi mkuu dhidi ya mashirika mengine ya kijasusi ya waarabu na Russia!!?katika kumuingiza mtu wao ndani ya system!!?

Naomba unijibu!!
 
Back
Top Bottom