Kuna kundi la watu wanaumia wakisikia Tundu Lissu akielezea tukio lake la kupigwa risasi

Kuna kundi la watu wanaumia wakisikia Tundu Lissu akielezea tukio lake la kupigwa risasi

Mbogo nyeusi

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2019
Posts
233
Reaction score
541
Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza Kuna baadhi ya watu hawataki kabisa kusikia Lissu akielezea jinsi alivyo shambuliwa kwa risasa,najiuliza hawa watu siyo kile kikundi cha wasiojulikana wanakerwa kumuona jamaa yupo buheri na mwenye afya njema?

Mimi binafsi napenda kila anapokuwa jukwaani wakati wa kusalimiana na wananchi achomekee kidogo hali ilivyo kuwa na anamhisi nani aliye fanya hayo then aendelee kushuka nondo za kuomba kura na kuelezea ilani ya chama chake.

Kuna watu wanashauri kuwa Lissu akiwa jukwaani aache kabisa kuelezea hilo tukio kwamba watu wote wanajua yaliyo mpata,

Siyo kweli kuwa kila mtu anajua nini kilitokea. kufahamu kuwa Lissu alipigwa risasi hilo wamesikia lakini hawajui tukio nzima lilifanyikaje na nani mhusika.

Pia watu wingi hawajui au hawana habari au wamesahau kwa kuwa vyombo vya habari hawarushi habari za Lissu kwa hiyo wananchi wanakosa kupata mkasa mzima wa tukio

Hivyo namshauri Lissu akomalie hapo hapo kila akiwa jukwaani salamu zake iwe kuelezea hilo tukio la kushambuliwa,asisikilize hawa watu wasio julikana wanao kerwa na matamshi yake.

Wanajua nani anakuwa attacked pale Lissu anapokuwa anaelezea tukio la kushambuliwa kwake ndio maana wanashauri ajikite kuelezea sera, hiyo ni hofu tu Kama mlifikiri atakufa Mungu ni mwema alimkinga na mauti acheni asema.
 
Jaamaa yenu na vile anavyopenda kujua kila kitu, angekuwa hajashitaki wala kuripoti shambulio lake ata mahakama ya mtaaa ili uchunguzi ufanyike?

Kwa nini hajaenda mahakamani kufungua kesi? Iliuchunguzi ufanyike huku yeye akiwa ndo shuhuda wa kwanza?

Waende yeye na dereva wake wakaisaidie polisi upeleleziiii.
 
jaamaa yenu na vile anavyopenda kujua kila kitu, angekuwa hajashitaki wala kuripoti shambulio lake ata mahakama ya mtaaa ili uchunguzi ufanyike?

Kwa nini hajaenda mahakamani kufungua kesi? Iliuchunguzi ufanyike huku yeye akiwa ndo shuhuda wa kwanza?

Waende yeye na dereva wake wakaisaidie polisi upeleleziiii.
Umaongea point sana mkuu,wa upande ule hakuna atakaye kujibu kwa logic zaidi ya mimatusi
 
jaamaa yenu na vile anavyopenda kujua kila kitu, angekuwa hajashitaki wala kuripoti shambulio lake ata mahakama ya mtaaa ili uchunguzi ufanyike?
Kwa nini hajaenda mahakamani kufungua kesi? Iliuchunguzi ufanyike huku yeye akiwa ndo shuhuda wa kwanza?

Waende yeye na dereva wake wakaisaidie polisi upeleleziiii.
Kesi za jinai huanzia polisi na si mahakamani, wenye jukumu la kufanya uchunguzi ni polisi na sio lissu wala mahakama. Jielimishe kidogo tu juu ya sheria
 
Mie nafurahi sana kwa sababu linamtoa nje ya reli

Kutumia nguvu na muda mwingi kuzungumza risasi,linampunguzia lissu mvuto kwa wapiga kura.

Watu wanataka kujua atawasaidia vipi kuleta maisha Bora,habari za risasi washazisikia sana.

Lissu endelea baba na cd ya risasi
 
Mie nafurahi sana kwa sababu linamtoa nje ya reli

Kutumia nguvu na muda mwingi kuzungumza risasi,linampunguzia lissu mvuto kwa wapiga kura

Watu wanataka kujua atawasaidia vipi kuleta maisha Bora,habari za risasi washazisikia sana
Lissu endelea baba na cd ya risasi
Hiyo ni kufikisha ujumbe was haki na amani na kuwa siasa sii uadui
 
Ni jambo linaloshangaza DUNIA.

Kweli kabisa Serkkali nzima, Polisi, Jeshi, Isalama taifa, wapelelezi wamekaa kimya kutokuwatafuta wahusika.! Haitoshi bunge halikujua alikokuwa Lissu! Malipo yake kanyanganywa na wahusika! Amerudi nyumbani. Waliokuwa wanamtafuta hadi leo hii KIMYA!! Yamaanisha wahusika wapo wanajielewa basi bora wajitokeze kupata maridhiano. Tanzania ni njema kuliko jana!
 
jaamaa yenu na vile anavyopenda kujua kila kitu, angekuwa hajashitaki wala kuripoti shambulio lake ata mahakama ya mtaaa ili uchunguzi ufanyike?
Kwa nini hajaenda mahakamani kufungua kesi? Iliuchunguzi ufanyike huku yeye akiwa ndo shuhuda wa kwanza???
Waende yeye na dereva wake wakaisaidie polisi upeleleziiii.
Aende akishitaki?

Kwani faili lililofunguliwa mlilipeleka wapi?
 
Kesi za jinai huanzia polisi na si mahakamani, wenye jukumu la kufanya uchunguzi ni polisi na sio lissu wala mahakama. Jielimishe kidogo tu juu ya sheria
Sasa polisi wataanzia wapi nawakati nuhanga hataki ata kwenda kuripoti tukio lake ata kwa sungusungu?

Kila wakinwita jaamaa aende polisi wamchukue maelezo jaamaa yenu mzeee wa kiki anaingia nitini, anaogopa nini?

Kwakua Mungu alimponesha kifo jamaa yenu, akaenda kutibiwa na akarudi na amepona ilikuwa ni yeye na dereva wake basi walau wakatoe atamaelezo kiduchu polisi, ilituone kama polisi watapuuuzia kufuatilia tukio hilo, ndo watanzania tungekuwa na la kuwa laumu polisi.

Lakini jamaa yenu amiishia kulaum laum tuuu bila kuchukua hatua yoyote ilee.

Mbona walipomvua ubunge alienda mbio mahakamani kufungua kesi ya kuzuia kuvuliwa ubunge, iweje shambulio lile baya na lakutisha aogope kwenda kuripoti polisi?

Tupeni majibu kwanza.
 
jaamaa yenu na vile anavyopenda kujua kila kitu, angekuwa hajashitaki wala kuripoti shambulio lake ata mahakama ya mtaaa ili uchunguzi ufanyike?
Kwa nini hajaenda mahakamani kufungua kesi? Iliuchunguzi ufanyike huku yeye akiwa ndo shuhuda wa kwanza???
Waende yeye na dereva wake wakaisaidie polisi upeleleziiii.

Unatuabisha bana wanaCCM.. Tukae kimya tuwakaushie kuliko kuongea utopolo kama huu
 
jaamaa yenu na vile anavyopenda kujua kila kitu, angekuwa hajashitaki wala kuripoti shambulio lake ata mahakama ya mtaaa ili uchunguzi ufanyike?
Kwa nini hajaenda mahakamani kufungua kesi? Iliuchunguzi ufanyike huku yeye akiwa ndo shuhuda wa kwanza???
Waende yeye na dereva wake wakaisaidie polisi upeleleziiii.
Kwa hiyo asipofungua kesi anakuwa hakupigwa hizo risasi?

Kamanda Baro alivyopigwa risasi Mwanza,nani alifungua kesi?
 
Ni jambo linaloshangaza DUNIA.

Kweli kabisa Serkkali nzima, Polisi, Jeshi, Isalama taifa, wapelelezi wamekaa kimya kutokuwatafuta wahusika.! Haitoshi bunge halikujua alikokuwa Lissu! Malipo yake kanyanganywa na wahusika! Amerudi nyumbani. Waliokuwa wanamtafuta hadi leo hii KIMYA!! Yamaanisha wahusika wapo wanajielewa basi bora wajitokeze kupata maridhiano. Tanzania ni njema kuliko jana!
Kwani muhanga yeye ameripoti kwanani nakutoa naelezo iliuchunguzi ufanyike?

Kwa nini hataki yeye na dereva wake wakatie tuuu ata maelezo kiduchuu, ilipolisi wapate pa kuanzia
 
Sasa polisi wataanzia wapi nawakati nuhanga hataki ata kwenda kuripoti tukio lake ata kwa sungusungu?

Kila wakinwita jaamaa aende polisi wamchukue maelezo jaamaa yenu mzeee wa kiki anaingia nitini, anaogopa nini?

Kwakua Mungu alimponesha kifo jamaa yenu, akaenda kutibiwa na akarudi na amepona ilikuwa ni yeye na dereva wake basi walau wakatoe atamaelezo kiduchu polisi, ilituone kama polisi watapuuuzia kufuatilia tukio hilo, ndo watanzania tungekuwa na la kuwa laumu polisi.
Lakini jamaa yenu amiishia kulaum laum tuuu bila kuchukua hatua yoyote ilee.

Mbona walipomvua ubunge alienda mbio mahakamani kufungua kesi ya kuzuia kuvuliwa ubunge, iweje shambulio lile baya na lakutisha aogope kwenda kuripoti polisi?

Tupeni majibu kwanzaaa.

Tukio la ujambazi wa silaha sio la kusubiri eti mpaka mtu afungue kesi.. Acheni utopolo huu wazee.. Sisi CCM tukae kimya tuu maana hatuwezi kutetea dhambi za wengine.. Nakumbuka zamani ilifikia hatua wanaCCM wanatetea ufisadi kisa ilikuwa kukemea ni kama ukaidi.. Walau Magu katubadilisha.. Tunatia sana aibu wanaCCM tunaposhindwa kukemea uovu mpaka umsikie kiongozi wako nae anakemea.. Tumeacha tunu zenu na ahadi zetu za uanaCCM.

CCM haikuundwa kuwa kicha cha walaghai na wauwaji.. Tukio kama la Lissu linapaswa kukemewa na kila Mwana CCM mpenda haki kama tunavyokemea dhambi zingine kama dhuluma, ufisadi na ulaghai.
 
Tukio la ujambazi wa silaha sio la kusubiri eti mpaka mtu afungue kesi.. Acheni utopolo huu wazee.. Sisi CCM tukae kimya tuu maana hatuwezi kutetea dhambi za wengine.. Nakumbuka zamani ilifikia hatua wanaCCM wanatetea ufisadi kisa ilikuwa kukemea ni kama ukaidi.. Walau Magu katubadilisha.. Tunatia sana aibu wanaCCM tunaposhindwa kukemea uovu mpaka umsikie kiongozi wako nae anakemea.. Tumeacha tunu zenu na ahadi zetu za uanaCCM..
CCM haikuundwa kuwa kicha cha walaghai na wauwaji.. Tukio kama la Lissu linapaswa kukemewa na kila Mwana CCM mpenda haki kama tunavyokemea dhambi zingine kama dhuluma, ufisadi na ulaghai.
Hilo tukio ni la kushambuliwa, na kwa neema ya Mungu mashuda wapo.

Hatakama ujambazi umefanyika kwa mtu flani na akawa amebahatika kupona, lazima mtendewa kwenda kutoa maelezo polisi juuu ya tukio lililompata, kinachochukuliwa na polisi ni maelezo ya mhanga tu, halafu shuguli za upelekezi ndo zinaanzia hapoo.

Kwanini jamaa yenu hataki hilo kulifanya?
 
Back
Top Bottom