Omusolopogasi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2017
- 7,101
- 18,051
Kwahiyo polisi wamfuate muhanga ambaye hajalalamika popote?Usiwe mjinga mkuu,hapo nani anatakiwa kumfuata nani?
Polisi wanatakiwa kwenda kumhoji mhanga au mhanga anatakiwa kumfuata polisi ili akahojiwe? (Kwa mujibu wa sheria yetu)
jaamaa yenu na vile anavyopenda kujua kila kitu, angekuwa hajashitaki wala kuripoti shambulio lake ata mahakama ya mtaaa ili uchunguzi ufanyike?
Kwa nini hajaenda mahakamani kufungua kesi? Iliuchunguzi ufanyike huku yeye akiwa ndo shuhuda wa kwanza???
Waende yeye na dereva wake wakaisaidie polisi upeleleziiii.
Nyie endeleeni na mauaji tu, siku mtakuja kutembea mabarabarani Kama machizi!Kwahiyo polisi wamfuate muhanga ambaye hajalalamika popote?
Toka huyo muhanga wenu atimukie ugaibuni na kurudi si kila siku wakimwita mahakamani tuuu anatoa vijisabusabu tuuu?
Kama napo haopolisi wamekaa kimya, kwa nini haenda kuulizia atabasi kinachoendelea akaambiwa?
Anakwama wapiiii
Kwa nini hamtupeleki mahakamani, kama mnatufahamu?Nyie endeleeni na mauaji tu, siku mtakuja kutembea mabarabarani Kama machizi!
Ukizungumza kwa uelewa wako unajiona uko sawa, lakini professionally inaonekana wewe ni mbumbumbuu mno!Kwahiyo polisi wamfuate muhanga ambaye hajalalamika popote?
Toka huyo muhanga wenu atimukie ugaibuni na kurudi si kila siku wakimwita mahakamani tuuu anatoa vijisabusabu tuuu?
Kama napo haopolisi wamekaa kimya, kwa nini haenda kuulizia atabasi kinachoendelea akaambiwa?
Anakwama wapiiii
Kosa la jinai jamhuri ndio inayoshtaki na kumpeleka mtu mahakamani.Kwa nini hamtupeleki mahakamani, kama mnatufahamu?
Uchaguzi wa mwaka huu Ni mwepesi sana,tunaonesha vitu tulivyofanya dhidi ya maneno matupu!
Acha kujitoa akili kama vile utaratibu wa maswala ya ulinzi wa raia na mali zao unatakaje tukio la kihalifu au la kishambulizi linapotokea. Ni kazi ya polisi kujua na kuwakamata walioshiriki katika tukio hilo, kuwafanya wasiojulika wajulikane. Silaha zilizotumika ni za kivita, silaha ambazo haruhusiwi raia kumiliki zaidi ya vyombo vya ulinzi na usalama. Tukio limetokea na likaripotiwa kituo kikuu cha polisi mkoa Dodoma bado unasema mshambuliwa aende akaripoti? Is this sound mind proposing or?jaamaa yenu na vile anavyopenda kujua kila kitu, angekuwa hajashitaki wala kuripoti shambulio lake ata mahakama ya mtaaa ili uchunguzi ufanyike? Kwa nini hajaenda mahakamani kufungua kesi? Iliuchunguzi ufanyike huku yeye akiwa ndo shuhuda wa kwanza?
Waende yeye na dereva wake wakaisaidie polisi upeleleziiii.
Umaongea point sana mkuu,wa upande ule hakuna atakaye kujibu kwa logic zaidi ya mimatusi
Alafu kuna watu wanabeza anachofanya Lissu, sijui wana roho za aina gani!!Naunga mkono kwa 100%.
Kwanza na kwa umuhimu wa pekee, kupona kwake ni MUUJIZA toka kwa Mungu hivyo ni muhimu atoe ushuhuda na kumtukuza Mungu kwa makuu aliyomtendea.
Pili katika kipindi alichopitia, alihitaji maombi na misaada ya hali na mali na ilichangwa toka sehemu zote nchini hivyo ni vema akatoa shukrani kwa wote walioshiriki pamoja naye.
Tatu kama ulivyosema, ni muhimu kuweka hadharani mtiririko wa lile tukio na yaliyofuatia baada ya tukio (kunyimwa fedha ya matibabu, kuvuliwa ubunge nk) ili jamii ing'amue haikuwa bahati mbaya ni mpango ulio ratibiwa na waratibu wake ni kina nani.
Wenye hatia huwa wamejaa hofu, katika mazingira ya kawaida walio ratibu ule mpango wakimuona Lissu bado anaishi lazima wapate kiwewe.Alafu kuna watu wanabeza anachofanya Lissu, sijui wana roho za aina gani!!
Wanaonesha kabisa wamejawa na inhumanity and unsound mind.
Kwa sababu anajua Nani kampiga risasi halafu anafanya watu wote matahira waamini uongo wake. Ndio maana wengine hatupendi kusikia hiyo habari yake. Ingekuwa kuna mkono wa serikali wasingepiga risasi zaidi ya kumi miguuni hadi kiunoni wakati risasi moja ya kichwa ingemtoa roho, ni mpuuzi peke yake ndio angeamini hilo, ukichukulia wapo waliosomea kazi hiyo. Na mwenyewe wanajua hilo. Nitakuwa wa mwisho kuamini uongo huo.Kama kichwa Cha habari kinavyo jieleza Kuna baadhi ya watu hawataki kabisa kusikia Lisu akielezea jinsi alivyo shambuliwa kwa risasa,najiuliza hawa watu siyo kile kikundi Cha wasio julikana wanakerwa kumuona jamaa yupo buheri na mwenye afya njema?
Mimi binafsi napenda kila anapokuwa jukwaani wakati wa kusalimiana na wananchi achomekee kidogo hali ilivyo kuwa na anamhisi nani aliye fanya hayo then aendelee kushuka nondo za kuomba kura na kuelezea ilani ya chama chake.
Kuna watu wanashauri kuwa Lisu akiwa jukwaani aache kabisa kuelezea hilo tukio kwamba watu wote wanajua yaliyo mpata,
Siyo kweli kuwa kila mtu anajua nini kilitokea.kufahamu kuwa Lisu alipigwa risasi hilo wamesikia lakini hawajui tukio nzima lilifanyikaje na nani mhusika,
Pia watu wingi hawajui au hawana habari au wamesahau kwa kuwa vyombo vya habari hawarushi habari za lisu kwa hiyo wananchi wanakosa kupata mkasa mzima wa tukio
Hivyo namshauri mh lisu akomalie hapo hapo kila akiwa jukwaani salamu zake iwe kuelezea hilo tukio la kushambuliwa,asisikilize hawa watu wasio julikana wanao kerwa na matamshi yake.
Wanajua nani anakuwa attacked pale Lisu anapokuwa anaelezea tukio la kushambuliwa kwake ndio maana wanashauri ajikite kuelezea sera,hiyo ni hofu tu Kama mlifikiri atakufa Mungu ni mwema alimkinga na mauti acheni asema.
Wamejawa na uoga kadri kampeni zinavyoendelea na support anayoipata Lissu. Wengine wanajiuliza incase akishinda akaviamuru vyombo vya ulinzi vya ndani vifanye uchunguzi au akaalika international investigators wenye weredi mkubwa kwenye maswala haya wataficha wapi sura zao? Hapa sasa unaweza kupata picha kwanini wanahujumu kadri wawezavyo kampeni zake ili watanzania wasikumbushwe na kumsikia muathirika wa tukio la kuogofya kama lile.Wenye hatia huwa wamejaa hofu, katika mazingira ya kawaida walio ratibu ule mpango wakimuona Lissu bado anaishi lazima wapate kiwewe.
Neno hilo, subiri povuJaamaa yenu na vile anavyopenda kujua kila kitu, angekuwa hajashitaki wala kuripoti shambulio lake ata mahakama ya mtaaa ili uchunguzi ufanyike?
Kwa nini hajaenda mahakamani kufungua kesi? Iliuchunguzi ufanyike huku yeye akiwa ndo shuhuda wa kwanza?
Waende yeye na dereva wake wakaisaidie polisi upeleleziiii.
Polisi wakinyimwa ushirikiano kutoka kwa muhusika unataka wafanye nini zaidi, tusaidie mjuzi wa sheria.Kesi za jinai huanzia polisi na si mahakamani, wenye jukumu la kufanya uchunguzi ni polisi na sio lissu wala mahakama. Jielimishe kidogo tu juu ya sheria
Yaani hao uliowataja waache kazi za maana waanze kum bembeleza mtu aliyekataa kutoa ushirikiano, mbona chura mmoja tu angeweza kupata jibu la uhakikaNi jambo linaloshangaza DUNIA.
Kweli kabisa Serkkali nzima, Polisi, Jeshi, Isalama taifa, wapelelezi wamekaa kimya kutokuwatafuta wahusika.! Haitoshi bunge halikujua alikokuwa Lissu! Malipo yake kanyanganywa na wahusika! Amerudi nyumbani. Waliokuwa wanamtafuta hadi leo hii KIMYA!! Yamaanisha wahusika wapo wanajielewa basi bora wajitokeze kupata maridhiano. Tanzania ni njema kuliko jana!
Wakikupa nistue nipo kibanda umiza nafungua kinywaSasa polisi wataanzia wapi nawakati nuhanga hataki ata kwenda kuripoti tukio lake ata kwa sungusungu?
Kila wakinwita jaamaa aende polisi wamchukue maelezo jaamaa yenu mzeee wa kiki anaingia nitini, anaogopa nini?
Kwakua Mungu alimponesha kifo jamaa yenu, akaenda kutibiwa na akarudi na amepona ilikuwa ni yeye na dereva wake basi walau wakatoe atamaelezo kiduchu polisi, ilituone kama polisi watapuuuzia kufuatilia tukio hilo, ndo watanzania tungekuwa na la kuwa laumu polisi.
Lakini jamaa yenu amiishia kulaum laum tuuu bila kuchukua hatua yoyote ilee.
Mbona walipomvua ubunge alienda mbio mahakamani kufungua kesi ya kuzuia kuvuliwa ubunge, iweje shambulio lile baya na lakutisha aogope kwenda kuripoti polisi?
Tupeni majibu kwanzaaa.
Mimi ambaye sina chama sijaumia uumie wewe mwenye chama chako? Utakuwa na walakiniUnatuabisha bana wanaCCM.. Tukae kimya tuwakaushie kuliko kuongea utopolo kama huu