Kuna kundi limechukizwa na maridhiano yanayoendelea

Kuna kundi limechukizwa na maridhiano yanayoendelea

Unapoamua kuungana na watesi wako ambao bado wameshika fimbo ya kukuchapa hayo sio maridhiano bali kusalenda na kukubali kuwa umeshindwa vita......
Tanzania hatujawahi kuwa na vita vya kichama,kikabila,kikanda labda wamu ya tano ilitaka kuleta hiyo hali mpaka Mungu akaingilia kati kwa sababu tunapoimba wimbo wa Taifa huwa tunasema ,"Mungu ibariki Tanzania",yule mrundi alitaka kutuletea ya kwao Mungu akasema no.
 
Mashtaka dhidi ya mbowe yalifunguliwa mwaka upi na chininya uongozi wa nani? Wajinga ni nyinyi mnaoona hii nchi kila kitu kinawastahili na msikosolewe mnaanza ita watu sukuma gang.
Chini ya ccm ilioyowekwa na mwendazake.
 
Tanzania hatujawahi kuwa na vita vya kichama,kikabila,kikanda labda wamu ya tano ilitaka kuleta hiyo hali mpaka Mungu akaingilia kati kwa sababu tunapoimba wimbo wa Taifa huwa tunasema ,"Mungu ibariki Tanzania",yule mrundi alitaka kutuletea ya kwao Mungu akasema no.
Neno vita limetumika kama lugha ya picha.... nilikuwa namaanisha vita za kihoja katika kuwatetea wanyonge dhidi ya dhalimu serikali ya CCM
 
Mimi labda niulize wanaridhiana kitu gani? Kuridhiana ni compromise kati ya pande mbili kwa maana ya huyu anapata hiki na yule anapata kile ili kifikia common ground. Mbona makubaliano ya walichoridhiana hayawekwi hadharani? Kila upande una-gain nini katika hili? Je ni kwa manufaa ya wanachi au wanasiasa waroho wa madaraka na mali? Maana tukisema ni maridhiano ya vyama vya siasa sasa mbona ni chadema peke yake? Zamu ya vyama vingine vya upinzani kuridhiana ni lini? Mwisho nimalizie kwa kusema wanadamu wakipanga na Mungu nae hupanga. Mnaungana kuhakikisha mnaendelea kuwanyonya na kuwaibia watanzania halafu mnapongezana na kuita maridhiano. Tutaona mwisho wenu, muda si mrefu ujao.
Leo Chadema wanafanya mikutano nchi nzima,leo hii kuna Utanzania na si Uccm au Uchadema.
 
Ingawa ni kweli wapo wana-ccm wasiopenda mwwnendo wa chama kwa kuamini kuwa unaimarisha upinzani, wengi wa watu wanaopiga kelele na kukejeli jitihada za maridhiano siyo wafuasi wazalendo wa chama hicho. Baadhi ni wapigania maslahi binafsi na wengine wengi zaidi ni wafuasi wa vyama vya upinzani waliochukizwa na mazungumzo hayo yanayoonekana kuhusisha vyama viwili tu.
Ukweli ndiyo huo.
 
Ingawa ni kweli wapo wana-ccm wasiopenda mwwnendo wa chama kwa kuamini kuwa unaimarisha upinzani, wengi wa watu wanaopiga kelele na kukejeli jitihada za maridhiano siyo wafuasi wazalendo wa chama hicho. Baadhi ni wapigania maslahi binafsi na wengine wengi zaidi ni wafuasi wa vyama vya upinzani waliochukizwa na mazungumzo hayo yanayoonekana kuhusisha vyama viwili tu.
Ukweli ndiyo huo.
 
Mama ni kiboko,,nitampa kura Yangu..Mimi.wewe Mama ni shujaaa,, Wanaume Wengi hawafai kuongoza
 
Leo Chadema wanafanya mikutano nchi nzima,leo hii kuna Utanzania na si Uccm au Uchadema.
Vyama vya siasa nchi hii ni ccm na chadema tu? Waliozuiliwa kufanya mikutano ni chadema tu? Acheni ukanjanja nyie kutufanya watu wote wajinga. Nyie ridhishaneni tu na gawaneni hizo pesa za kunyamazishana ila mafuriko huwezi kuyazuia kwa mikono
 
Vyama vya siasa nchi hii ni ccm na chadema tu? Waliozuiliwa kufanya mikutano ni chadema tu? Acheni ukanjanja nyie kutufanya watu wote wajinga. Nyie ridhishaneni tu na gawaneni hizo pesa za kunyamazishana ila mafuriko huwezi kuyazuia kwa mikono
Inapendeza sana au inaudhi sana?
 
Naona Uzi umedoda; mjinga au mpumbavu ni yule anaeacha dhamila ya kushika Dola kwa kulambishwa asali.

CHADEMA kama mgekuwa na akili hii ndio awamu mgejinyakulia nchi kutoka Kwa huyu mama.

Yaani kwa kifupi mmetema bigG kwa karanga za kuonjeshwa.
Kwa tume ipi? Ni kheri tukose Dola tupate katiba mpya itaokoa mengi mbeleni. Kma CCM haikuanguka 2015 unadhani kwa tume hii hii Samia angeangushwa?
 
Kuna maridhiano au kuna ulaghai wa kisiasa? Usingemtarajia Mwamba Magufuli kufanya mambo ya kitoto badala ya kuwaletea Watanzania maendeleo!
Maendeleo ya kupiga risasi wananchi wake
Maendeleo ya kukusanya fedha za Plea Bargaing kwa Cash badala ya Control number
na kuzifungulia Akaunti CHINA magufuli alikuwa Mwizi kama Wezi wengine
 
Ni Jambo gani umewahi kufanya kuthibitisha uzalendo wako zaidi ya kulaumu wanaojitahidi kujenga Tanzania bora zaidi?
Unatakiwa upimwe akili wewe. Kila kukicha wanakopa na kuiba pesa wewe unasema wanajenga Tanzania bora.

Maisha yamekuwa magumu kwa wananchi wakawaida ninyi mafisadi mnaona ni Bora kuliko jana
 
Ni ukweli mtupu yeyote anayebeza na kukejeli maridhiano yanayoendelea baina ya CCM na CHADEMA ni mfuasi wa sukuma gang mtawala wa awamu ya 5 licha ya Mbowe kumwomba kuwepo na maridhiano pale CCM Kurumba Mwanza lakini hakutaka badala yake aliongeza chuki na ukatili dhidi ya CHADEMA.

Kutokana na Rais Samia kukubali suala la maridhiano ni dhahili wafuasi wa "Sukuma gang" wamechukizwa sana kuona Rais Samia kaweza na ndio maana wameanza kuwakejeli CHADEMA na viongozi wake binafsi nawaita ni wajinga wanaobeza maridhiano.

Wakati wa utawala katili wa awamu ya 5 wote ni mashahidi shida tabu mateso mauaji kufungwa kwa kesi za uongo mpaka Mbowe kupewa kesi ya ugaidi walitendewa CHADEMA leo Rais Samia kaamua kukubali kufanya maridhiano na wahanga wa mateso ya utawala wa awamu ya 5 wanatokea wajinga wachache wanayabeza maridhiano hakika kuna watu wanafurahia mateso ya watu wengine.

Mimi nawaita wanaobeza maridhiano ni wajinga.

View attachment 2542388
Kwa hiyo umejisikia vizuri baada ya kuwaita wajinga? Then?
 
Ni ukweli mtupu yeyote anayebeza na kukejeli maridhiano yanayoendelea baina ya CCM na CHADEMA ni mfuasi wa sukuma gang mtawala wa awamu ya 5 licha ya Mbowe kumwomba kuwepo na maridhiano pale CCM Kurumba Mwanza lakini hakutaka badala yake aliongeza chuki na ukatili dhidi ya CHADEMA.

Kutokana na Rais Samia kukubali suala la maridhiano ni dhahili wafuasi wa "Sukuma gang" wamechukizwa sana kuona Rais Samia kaweza na ndio maana wameanza kuwakejeli CHADEMA na viongozi wake binafsi nawaita ni wajinga wanaobeza maridhiano.

Wakati wa utawala katili wa awamu ya 5 wote ni mashahidi shida tabu mateso mauaji kufungwa kwa kesi za uongo mpaka Mbowe kupewa kesi ya ugaidi walitendewa CHADEMA leo Rais Samia kaamua kukubali kufanya maridhiano na wahanga wa mateso ya utawala wa awamu ya 5 wanatokea wajinga wachache wanayabeza maridhiano hakika kuna watu wanafurahia mateso ya watu wengine.

Mimi nawaita wanaobeza maridhiano ni wajinga.

View attachment 2542388
Wanabodi,
As days goes by, hizi issues za hii kitu inayoitwa Sukuma Gang is escalating to the point of unbecoming!. Sukuma gang ni itikadi siyo kabila
Sukuma gang ni itikadi liyoasisiwa na Magufuli inayoamini katika ukatili unaohusisha matusi, utekaji, uporaji, mauaji na uonevu.
Si kweli!. The Sukuma Gang ni a fictitious Group that doesn't exist in reality lililobiniwa na yule Kigogo wa Twitter na watu wajinga wajinga wenye akili fupi wakaamini hili kundi ni kweli lipo!. Kiukweli kabisa Sukuma Gang sio kundi la kweli, halipo popote and don't exist anywhere in reality except ndani ya vichwa vya watu waliofilisika kisiasa!.
Kwahiyo itikadi hii isihusishwe na kabila la Wasukuma. Mfano, aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, ndugu Sabaya yeye ni Sukuma gang lakini siyo Msukuma. Wengine ni Polepole, Ndugai, Bashiru, Mnyeti, Happi, Kabudi, n.k.
Pia sii kweli!, bali baada ya Kigogo wa Twitter kuliasisi kundi hili fictitious, akatumia nguvu kubwa kulifanyia indoctrination kuwa hili kundi does real exist, hivyo wale watu wa Magufuli na watu wote wanaomsupport Magufuli wakawa pointed kuwa ni members wa Sukuma Gang, hata mimi ni Msukuma, na namsupport Magufuli na sio Sukuma Gang!.
Lakini wapo Wasukuma ambao pia ni wafuasi watiifu wa itikadi hii ya sukuma gang. Sina haja ya kuwataja.
Hakuna kitu kama hiki, ila kwa vile indoctrination ya existence ya uwepo wa kundi hili imefanyika na watu wenye akili fupi waliofilisika kisiasa wakaamini', kama na wewe unaamini kuwa kundi la Sukuma Gang kweli lipo and does exist in reality, ujijue ni akili fupi and muflis kisiasa kama wale muflis wengine wote wanaoamini ujinga huu!
Nimeandika haya ili kuondoa dhana inayotaka kujengwa na baadhi ya watu ama kwa upotoshaji wa makusudi au kwa bahati mbaya kuwa kuwachukia wafuasi wa Sukuma gang ni kuchukia Wasukuma. Hili siyo jambo zuri na kufanya hivyo ni kupanda mbegu ya ukabila.
Hapa nakuunga mkono!.
Mm Sexless mwandishi wa uzi huu nawachukia Sukuma gang na muasisi wao ingawa nami ni Msukuma.
Kumchukia mtu yoyote kwasababu yoyote sio jambo jema!. Dini zinatufunza hata adui mpende!. Hivyo it's not right kumchukia mtu yoyote!.

Japo hii shana ya the existence of the Sukuma Gang ni dhana tuu, na the Sukuma Gang ni just a fictitious Group that doesn't exist in reality, lakini kufuatia indoctrination iliyofanywa na yule Kigogo wa Twitter, watu wenye akili ndogo, akili fupi na waliofilisika ki fikra, wakaamini, hivyo chuki dhidi ya Wasukuma is real!. Hili sio jambo jema!.

Kufuatia kabila la Wasukuma kuwa ndilo kabila kubwa Tanzania kuliko makabila yote, zikitokea nafasi zozote za uongozi, na watu wote wako huru kugombea, obviously Wasukuma pia lazima watakuwepo.

Kulitokea nafasi fulani za uongozi ndani chama fulani, wakajitokeza wagombea 186 kugombea nafasi 8 aa uongozi. Miongoni mwa waliojitokeza walikuwepo Wasukuma wengi tuu ila mimi nawajua kulikuwa na Wasukuma wawili ambao kama wangepitishwa wangetupatia wawakilishi wazuri the best of the best.

Ikasemekana kuwa mmoja kati ya hao Wasukuma wawili ni member wa the Sukuma Gang!. Then kwenye mchujo ikaelezwa kuwa wamepewa maelekezo hatua ya kwanza kabisa ni kuwakata Wasukuma wote waliojitokeza!. Na kweli Wasukuma woote tukakatwa eti ni Sukuma Gang!. This is not fair at all!. Taifa linakosa uwakilishi wa watu wazuri kwa ubaguzi wa kijinga kabisa!.

Na katika hili naomba na mimi nijiunge kwenye kukemea hii sumu ya ubaguzi mbaya kabisa ya kuwabagua Wasukuma kwa kisingizio cha Sukuma Gang, na naomba kutamka kama kuna Msukuma yoyote popote ameadhibiwa au kubaguliwa kwa kisingizio ni member wa the Sukuma Gang, then dhambi hiyo ya ubaguzi, itawatafuna wabaguzi hao kupitia kitu kinachoitwa karma!. Karma haina mswalie Mtume wala haijali nani ni nani!.

P
 
Back
Top Bottom