Kuna kundi limechukizwa na maridhiano yanayoendelea

Kuna kundi limechukizwa na maridhiano yanayoendelea

Huwezi kula mapanki ukawa na akili.

Sukuma gang ni moja ya kundi la watu wenye low IQ, wasiojiamini, makatili na wasioitakia mema nchi yetu.

Falsafa yao ni kupambana na watu wenye maendeleo, kufanya jamii ya tanzania kuishi kwa hofu na kuishi kama mashetani ( sadist) wakati wao wakiiba mali na resources za nchi hii., (1.5 Trillions, Plea bargaining, ndege za mitumba etc)

Mkakati maalumu uwekwe kuwatoa kwenye nafasi zote za uongozi na kuhakikisha wao na vizazi vyao hawatasogea ata kwenye vibaraza vya uongozi

Kwakua mama anapitia nyuzi humu, ninamshauri aanzishe operation tokomeza sukuma gang, toa hizo takataka kwenye serikali yako.
Inaonyesha wazi huna akili timamu, wewe ni nani uite waTanzania wengine ni taka taka, ninyi ni wale mliiba pesa za nchi hii kwa kukwepa Kodi au ufisadi maofisini, kiasi mkajiona mko kwenye haki, na mlipo banwa mkajiaminisha tena kua mnaonewa, majuzi makubwa nyie Kuna siku siyo tu kufilisiwa, mtakuja kunyongwa
 
Mashtaka dhidi ya mbowe yalifunguliwa mwaka upi na chininya uongozi wa nani? Wajinga ni nyinyi mnaoona hii nchi kila kitu kinawastahili na msikosolewe mnaanza ita watu sukuma gang.
 
Inaonyesha wazi huna akili timamu, wewe ni nani uite waTanzania wengine ni taka taka, ninyi ni wale mliiba pesa za nchi hii kwa kukwepa Kodi au ufisadi maofisini, kiasi mkajiona mko kwenye haki, na mlipo banwa mkajiaminisha tena kua mnaonewa, majuzi makubwa nyie Kuna siku siyo tu kufilisiwa, mtakuja kunyongwa
Takataka ni kitu ambacho kipo sehemu isiyo stahili
 
Mataga CCM ikitawala milele si ndio furaha kwako?!
Inavyoonekana kuna wengi sana waliokuwa upinzani kwa sababu ya kuona wenzao wakiteswa, kuuawa, kufilisiwa, kuvunjiwa heshima.

Leo mapatano yamesababisha hao hao waumie na kuona chadema imekosea
 
Ni ukweli mtupu yeyote anayebeza na kukejeli maridhiano yanayoendelea baina ya CCM na CHADEMA ni mfuasi wa sukuma gang mtawala wa awamu ya 5 licha ya Mbowe kumwomba kuwepo na maridhiano pale CCM Kurumba Mwanza lakini hakutaka badala yake aliongeza chuki na ukatili dhidi ya CHADEMA.

Kutokana na Rais Samia kukubali suala la maridhiano ni dhahili wafuasi wa "Sukuma gang" wamechukizwa sana kuona Rais Samia kaweza na ndio maana wameanza kuwakejeli CHADEMA na viongozi wake binafsi nawaita ni wajinga wanaobeza maridhiano.

Wakati wa utawala katili wa awamu ya 5 wote ni mashahidi shida tabu mateso mauaji kufungwa kwa kesi za uongo mpaka Mbowe kupewa kesi ya ugaidi walitendewa CHADEMA leo Rais Samia kaamua kukubali kufanya maridhiano na wahanga wa mateso ya utawala wa awamu ya 5 wanatokea wajinga wachache wanayabeza maridhiano hakika kuna watu wanafurahia mateso ya watu wengine.

Mimi nawaita wanaobeza maridhiano ni wajinga.

View attachment 2542388

Huyu mzee aliwanyoosha yaani keshakufa zaid ya miaka miwili sasa ila mnapambana na kivuli chake,sisi nyie wote mliofanya maridhiano ni DHAIFU sana kwetu,tunawasubili mjilambishe Asali zenu alafu tuje tuwaonyooshe vizuri..... sisi sio Mafala .
 
Huwezi kula mapanki ukawa na akili.

Sukuma gang ni moja ya kundi la watu wenye low IQ, wasiojiamini, makatili na wasioitakia mema nchi yetu.

Falsafa yao ni kupambana na watu wenye maendeleo, kufanya jamii ya tanzania kuishi kwa hofu na kuishi kama mashetani ( sadist) wakati wao wakiiba mali na resources za nchi hii., (1.5 Trillions, Plea bargaining, ndege za mitumba etc)

Mkakati maalumu uwekwe kuwatoa kwenye nafasi zote za uongozi na kuhakikisha wao na vizazi vyao hawatasogea ata kwenye vibaraza vya uongozi

Kwakua mama anapitia nyuzi humu, ninamshauri aanzishe operation tokomeza sukuma gang, toa hizo takataka kwenye serikali yako.
Sukuma gang, Sasa tone la maji kwenye ndoo, au piliton, kujimwambafai kumeisha Sasa.
 
Inavyoonekana kuna wengi sana waliokuwa upinzani kwa sababu ya kuona wenzao wakiteswa, kuuawa, kufilisiwa, kuvunjiwa heshima.

Leo mapatano yamesababisha hao hao waumie na kuona chadema imekosea
Hao ni wale waliokuwa wamejificha kwenye kivuli cha ccm yenye ouvu mwingi chini ya Jiwe.

Kundi hili lilikuwa linanufaika na hali ya machafuko
 
Huwezi kula mapanki ukawa na akili.

Sukuma gang ni moja ya kundi la watu wenye low IQ, wasiojiamini, makatili na wasioitakia mema nchi yetu.

Falsafa yao ni kupambana na watu wenye maendeleo, kufanya jamii ya tanzania kuishi kwa hofu na kuishi kama mashetani ( sadist) wakati wao wakiiba mali na resources za nchi hii., (1.5 Trillions, Plea bargaining, ndege za mitumba etc)

Mkakati maalumu uwekwe kuwatoa kwenye nafasi zote za uongozi na kuhakikisha wao na vizazi vyao hawatasogea ata kwenye vibaraza vya uongozi

Kwakua mama anapitia nyuzi humu, ninamshauri aanzishe operation tokomeza sukuma gang, toa hizo takataka kwenye serikali yako.
Hata akisoma huu uharo wako hupati uteuzi ng'o
 
Hii nchi Kuna wajinga wengi sana.
Ni mwizi na fisadi TU ndie atakaesema kuwa upngozi wa Samia ni mzuri
Toka tunapata uhuru hakuna uongozi mzuri, ila kuna uongozi afadhari. Na uongozi mzuri hauwezi kuja gafla. Kwanza inabidi kutengeneza katiba nzuri na system nzuri ya utawala. Kwa katiba hii tulionayo hata aje nani ataonekana ni kiongozi mbaya tu Samia ni mzuri ila ana matatizo kidogo sana la kutochukua hatua kwa wabadhirifu na mafisadi. BADO NAMWANGALIA ATACHUKUA HATUA GANI KWA WATOROSHAJI WA FEDHA ZA UMMA NA KWENDA KUFICHA CHINA
 
Toka tunapata uhuru hakuna uongozi mzuri, ila kuna uongozi afadhari. Na uongozi mzuri hauwezi kuja gafla. Kwanza inabidi kutengeneza katiba nzuri na system nzuri ya utawala. Kwa katiba hii tulionayo hata aje nani ataonekana ni kiongozi mbaya tu Samia ni mzuri ila ana matatizo kidogo sana la kutochukua hatua kwa wabadhirifu na mafisadi. BADO NAMWANGALIA ATACHUKUA HATUA GANI KWA WATOROSHAJI WA FEDHA ZA UMMA NA KWENDA KUFICHA CHINA
Hilo unalotegemea alifenyi ni ndoto ya abunuasi
 
Hao ni wale waliokuwa wamejificha kwenye kivuli cha ccm yenye ouvu mwingi chini ya Jiwe.

Kundi hili lilikuwa linanufaika na hali ya machafuko
Mi nimefurahi chadema kuachana na uanaharakati na kuwa wanasiasa.

Ukienda Israel kule lazima vyama vishirikiane kutawala.

Ukienda Marekani kuna wakati vyama hukubaliana kwa mstakabali wa nchi
 
Subirini 2025 machadema yaoneshwe show
 
Mimi labda niulize wanaridhiana kitu gani? Kuridhiana ni compromise kati ya pande mbili kwa maana ya huyu anapata hiki na yule anapata kile ili kifikia common ground. Mbona makubaliano ya walichoridhiana hayawekwi hadharani? Kila upande una-gain nini katika hili? Je ni kwa manufaa ya wanachi au wanasiasa waroho wa madaraka na mali? Maana tukisema ni maridhiano ya vyama vya siasa sasa mbona ni chadema peke yake? Zamu ya vyama vingine vya upinzani kuridhiana ni lini? Mwisho nimalizie kwa kusema wanadamu wakipanga na Mungu nae hupanga. Mnaungana kuhakikisha mnaendelea kuwanyonya na kuwaibia watanzania halafu mnapongezana na kuita maridhiano. Tutaona mwisho wenu, muda si mrefu ujao.
 
Back
Top Bottom