BabuFey
JF-Expert Member
- Feb 13, 2023
- 1,659
- 2,913
It's not a myth but Dikteta Uchwara Masalia kama wewe'Sumuma Gang' is a myth used by idiots to dismiss what they don't want to hear.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
It's not a myth but Dikteta Uchwara Masalia kama wewe'Sumuma Gang' is a myth used by idiots to dismiss what they don't want to hear.
Harafu sasa ukiwanona wanavyoshinda makanisani na misikitini mpaka unawashangaa.Sukuma gang ni moja ya kundi la watu wenye low IQ, wasiojiamini, makatili na wasioitakia mema nchi yetu.
Mi nadhani ni hivyo.Sawa kabisa Genge S ndio watu hatari zaidi kuliko hata CCM?
Sukuma Gang ni itikadi hata kama ni Mwa- Arusha au Mndengereko ukiwa na zile Tabia za kula nyama za watu we ni S/gang tuKabudi et al, waliokuwa wanatetea vyeo vyao and hence matumbo yao na jamaa zao! That is the real definition of Sukuma gang
Dhamila kuu ya kushika dola ni kuondoa uongozi dharimu katili na usiojali ustawi wa nchi. Kama kiongozi aliyupo ni mzuri, kwanini tumuondoe kabla ya wakati wake kikatiba?Naona Uzi umedoda; mjinga au mpumbavu ni yule anaeacha dhamila ya kushika Dola kwa kulambishwa asali.
CHADEMA kama mgekuwa na akili hii ndio awamu mgejinyakulia nchi kutoka Kwa huyu mama.
Yaani kwa kifupi mmetema bigG kwa karanga za kuonjeshwa.
Maendeleo gani aliyotuletea magufuli zaidi ya kuaribu kila kitu? Kaaribu uchumi alioukuta unaanza kwenda vizuri, ameleta chuki baina ya watanzania na kuwafanya watu waishi kwa hofi ktk nchi yaoKuna maridhiano au kuna ulaghai wa kisiasa? Usingemtarajia Mwamba Magufuli kufanya mambo ya kitoto badala ya kuwaletea Watanzania maendeleo!
Huyu 'Mheshimiwa' (Pichani), Yupo wapi kwa sasa na ana hali gani? Kimya kingi sana.
Ahahahahaha! Asiyeona haambiwi, tazama!Maendeleo gani aliyotuletea magufuli zaidi ya kuaribu kila kitu? Kaaribu uchumi alioukuta unaanza kwenda vizuri, ameleta chuki baina ya watanzania na kuwafanya watu waishi kwa hofi ktk nchi yao
Ndio maana amesema wajinga. Unadhani bila mazungumzo na maelewano kunaweza kufanyika uchaguzi huru na mwingine zaidi ya aliyeko madarakani kushinda?Naona Uzi umedoda; mjinga au mpumbavu ni yule anaeacha dhamila ya kushika Dola kwa kulambishwa asali.
CHADEMA kama mgekuwa na akili hii ndio awamu mgejinyakulia nchi kutoka Kwa huyu mama.
Yaani kwa kifupi mmetema bigG kwa karanga za kuonjeshwa.
Truth must be told, no stone will be left unturned.Not really but its a sad fact to see most of the literate guys like you can't get over what is now a histroy. Extreme discordance with the deceased won't make a change in your lives.
I'm flabbergasted on how a larger than life kind of guy would be arguing on such a topic with what he calls a dumb. Hate is a free plate for envious souls like you we used to that.Truth must be told, no stone will be left unturned.
I am beyond literacy, larger than a life, been there done that.
Deceased and you his puppet are disgrace to the civilization.
Whoever stand with a tyranny is an enemy of the humanity.
Today you have exposed your unquestionable dumbness
Nothing to do with hate or envy, truth must be told, the deceased and his gang, inflicted so much pain and sufferings to certain targeted good citizens.I'm flabbergasted on how a larger than life kind of guy would be arguing on such a topic with what he calls a dumb. Hate is a free plate for envious souls like you we used to that.
Ambazo hazikuwahi kuwa siasa zetu Tanzania. Hayo yako nchi jirani ila sio kwetu, ni mageniUkishazoea kula nyama ya mtu hutoacha utaendelea kula tu!!! Watu hao walitaman siasa za piga, uaa,tesa, wape kesi za uhujumu uchumi, Weka magerezani ziendelee!!
Perfectly saidNot really but its a sad fact to see most of the literate guys like you can't get over what is now a histroy. Extreme discordance with the deceased won't make a change in your lives.
Hii nchi Kuna wajinga wengi sana.Dhamila kuu ya kushika dola ni kuondoa uongozi dharimu katili na usiojali ustawi wa nchi. Kama kiongozi aliyupo ni mzuri, kwanini tumuondoe kabla ya wakati wake kikatiba?