Pre GE2025 Kuna kundi limeibuka linapinga Freeman Mbowe kuendelea kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA

Pre GE2025 Kuna kundi limeibuka linapinga Freeman Mbowe kuendelea kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Unapodai umri wa Biden kwa wamarekani sio hoja, ulifuatilia mjadala wake wa wiki iliyopita?
 

Attachments

  • Screenshot_20240701-213745.jpg
    Screenshot_20240701-213745.jpg
    170 KB · Views: 3
Pamoja na mapenzi yako makubwa kwa 'Kamanda' Mbowe kitu kimoja tu umezidisha chumvi ni kusema Mbowe ni Kijana. Kama sikosei Mbowe ana miaka 62. Sasa kumuita mtu wa miaka 62 kijana ni mapenzi yaliyopitiliza na ninaweza kusema ni kumkosea heshima.
Andiko lake limejaa ulaghai. Anaonesha namna anavyomtumikia anayemtetea
 
Msisingizie ccm katika hili kwanza msigwa alichelewa kutoka wenzie walitoka muda mrefu maana walikuwa waishamshitukia chama alikabidhiwa na akina mzee mtei ndio maana hataki challenge akiamini ni cha kwale unadai democracy nje huku ndani ya chama chako huitaji democracy? Why? Kila anaye furukuta anaambulia zahama mfsno chacha wangwe, zitto, lidu pia hebu km anapendwa aruhusu hiyo nafasi kugombea na wengine aone hule muhuni tu bwana anapewa hela na ccm anakula anakoswa msimamo leo lisu ni wa kusimama juu ya meza kwa ngazi za tofali? Hakuna jukwaa? Anakodi gari? Kweli? [emoji1787][emoji1787]
Uenyekiti wa mbowe mbona fisiemu unawatoa kamasi hivi?
 
Habari wana JF

Kama mtakuwa wafuatiliaji wa mambo ya siasa mtandaoni kuanzia Insta, x (zamani twitter) facebook na hapa Jamiiforums

Mtagundua kuna kundi kubwa limeibuka kumpinga Mwenyekiti wa chadema Taifa Freeman Mbowe kupitia posits na comments.

Hoja zao kuu ni Mbowe aachie uenyekiti wa chama hicho kikuu cha Upinzani Tanzania

Sababu ni kwamba Mbowe umri wake ni mkubwa!! Maajabu haya!

Wengine wanajaribu kuwagombanisha mbowe na Katibu wake mnyika ati amesusia kazi za ukatibu!

Kimsingi hizo hoja hazina nguvu,
Tujifunze hata kwa wenzetu leo Buden anawania urais kwenye Taifa kubwa kama marekani.

Buden ukimwangalia ni mkubwa sana kwa Mbowe
Lakini kwa marekani sio hoja.

Mbowe bado ni kijana anatufaa kuendelea kuongoza upinzani hapa Tanzania.

Tujiulize wapenda demokrasia hapa nchini ni kwanini watawala hawamtaki Mbowe
Mpaka wanafikia hatua ya kuwarubuni
Watu wamhujumu Mbowe?
Jibu ni moja kamanda Mbowe ni mpinzani halisi.
Hapo lazima niwataje covid na mchungi wa kondoo
 
Habari wana JF

Kama mtakuwa wafuatiliaji wa mambo ya siasa mtandaoni kuanzia Insta, x (zamani twitter) facebook na hapa Jamiiforums

Mtagundua kuna kundi kubwa limeibuka kumpinga Mwenyekiti wa chadema Taifa Freeman Mbowe kupitia posits na comments.

Hoja zao kuu ni Mbowe aachie uenyekiti wa chama hicho kikuu cha Upinzani Tanzania

Sababu ni kwamba Mbowe umri wake ni mkubwa!! Maajabu haya!

Wengine wanajaribu kuwagombanisha mbowe na Katibu wake mnyika ati amesusia kazi za ukatibu!

Kimsingi hizo hoja hazina nguvu,
Tujifunze hata kwa wenzetu leo Buden anawania urais kwenye Taifa kubwa kama marekani.

Buden ukimwangalia ni mkubwa sana kwa Mbowe
Lakini kwa marekani sio hoja.

Mbowe bado ni kijana anatufaa kuendelea kuongoza upinzani hapa Tanzania.

Tujiulize wapenda demokrasia hapa nchini ni kwanini watawala hawamtaki Mbowe
Mpaka wanafikia hatua ya kuwarubuni
Watu wamhujumu Mbowe?
Jibu ni moja kamanda Mbowe ni mpinzani halisi.
Tutaona mengi safari hii
 
Chama linahubiri demokrasia lakini miaka nenda rudi mwenyekiti ni yule yule
 
Trust me,huyo mwamba akikiacha chama ndo mwanzo wa chadema kupotea katika medani za siasa,moja ya point ya huyo mwamba kukitunza hicho chama ni kwakuwa muasisi ni baba yake
Mafisi wanakinyemelea wakitafune na mifupa yake yote🤭
 
UKISEMA CHADEMA NI CHAMA KIKUU CHA UPINZANI,
USISAHAU NI NGUVU NA MSIMAMO WA MWENYEKITI WAO.

NA NDIO MAANA VIONGOZI WA CHADEMA WANANUNULIWA KWA BEI KUBWA.
WE SIO ULIONA SHEREHE ZA KUMPOKEA MSIGWA ZILIVYOKUWA NZITO NA ZA KITAIFA HUKO CCM.
 
Iwapo akina Msigwa na wengineo wananunuliwa kirahisi sembuse Mbowe amkabidhi mtu mwingine Chama, CCM watakiua mara moja na deep state yao, bado mifumo yake hailindwi na chochote kama ccm inayolindwa na dola na ni chama dola vilevile. Mbowe watch out. Bora uwaachie urais wagombee siyo uenyekiti.
Fact mkuu.
Akiachia tuu soon chama miguu juu kama vile vya kina mrema na kina mbatia
 
Habari wana JF

Kama mtakuwa wafuatiliaji wa mambo ya siasa mtandaoni kuanzia Insta, x (zamani twitter) facebook na hapa Jamiiforums

Mtagundua kuna kundi kubwa limeibuka kumpinga Mwenyekiti wa chadema Taifa Freeman Mbowe kupitia posits na comments.

Hoja zao kuu ni Mbowe aachie uenyekiti wa chama hicho kikuu cha Upinzani Tanzania

Sababu ni kwamba Mbowe umri wake ni mkubwa!! Maajabu haya!

Wengine wanajaribu kuwagombanisha mbowe na Katibu wake mnyika ati amesusia kazi za ukatibu!

Kimsingi hizo hoja hazina nguvu,
Tujifunze hata kwa wenzetu leo Buden anawania urais kwenye Taifa kubwa kama marekani.

Buden ukimwangalia ni mkubwa sana kwa Mbowe
Lakini kwa marekani sio hoja.

Mbowe bado ni kijana anatufaa kuendelea kuongoza upinzani hapa Tanzania.

Tujiulize wapenda demokrasia hapa nchini ni kwanini watawala hawamtaki Mbowe
Mpaka wanafikia hatua ya kuwarubuni
Watu wamhujumu Mbowe?
Jibu ni moja kamanda Mbowe ni mpinzani halisi.
Mchaga mwenzie ww!!?
 
Mbowe bado ni KIJANA anatufaa kuendelea kuongoza upinzani hapa Tanzania
 
Habari wana JF

Kama mtakuwa wafuatiliaji wa mambo ya siasa mtandaoni kuanzia Insta, x (zamani twitter) facebook na hapa Jamiiforums

Mtagundua kuna kundi kubwa limeibuka kumpinga Mwenyekiti wa chadema Taifa Freeman Mbowe kupitia posits na comments.

Hoja zao kuu ni Mbowe aachie uenyekiti wa chama hicho kikuu cha Upinzani Tanzania

Sababu ni kwamba Mbowe umri wake ni mkubwa!! Maajabu haya!

Wengine wanajaribu kuwagombanisha mbowe na Katibu wake mnyika ati amesusia kazi za ukatibu!

Kimsingi hizo hoja hazina nguvu,
Tujifunze hata kwa wenzetu leo Buden anawania urais kwenye Taifa kubwa kama marekani.

Buden ukimwangalia ni mkubwa sana kwa Mbowe
Lakini kwa marekani sio hoja.

Mbowe bado ni kijana anatufaa kuendelea kuongoza upinzani hapa Tanzania.

Tujiulize wapenda demokrasia hapa nchini ni kwanini watawala hawamtaki Mbowe
Mpaka wanafikia hatua ya kuwarubuni
Watu wamhujumu Mbowe?
Jibu ni moja kamanda Mbowe ni mpinzani halisi.
Mimi napinga maana mbowe ni Ruba na king'ang'a a.k.a kigando
 
Habari wana JF

Kama mtakuwa wafuatiliaji wa mambo ya siasa mtandaoni kuanzia Insta, x (zamani twitter) facebook na hapa Jamiiforums

Mtagundua kuna kundi kubwa limeibuka kumpinga Mwenyekiti wa chadema Taifa Freeman Mbowe kupitia posits na comments.

Hoja zao kuu ni Mbowe aachie uenyekiti wa chama hicho kikuu cha Upinzani Tanzania

Sababu ni kwamba Mbowe umri wake ni mkubwa!! Maajabu haya!

Wengine wanajaribu kuwagombanisha mbowe na Katibu wake mnyika ati amesusia kazi za ukatibu!

Kimsingi hizo hoja hazina nguvu,
Tujifunze hata kwa wenzetu leo Buden anawania urais kwenye Taifa kubwa kama marekani.

Buden ukimwangalia ni mkubwa sana kwa Mbowe
Lakini kwa marekani sio hoja.

Mbowe bado ni kijana anatufaa kuendelea kuongoza upinzani hapa Tanzania.

Tujiulize wapenda demokrasia hapa nchini ni kwanini watawala hawamtaki Mbowe
Mpaka wanafikia hatua ya kuwarubuni
Watu wamhujumu Mbowe?
Jibu ni moja kamanda Mbowe ni mpinzani halisi.
Toa usenge wako hapa hivi nyie watu mnafikiri kwa kutumia makalio?
 
Kwani mw
Ni haki ya kikatiba shida iko wapi?

Kijana kwa data za UN mwisho ni miaka 35.

Mwenyekiti ni above 55 ni Baba na Babu sasa ukijana uko wapi hapa!
Punguzeni porojo!
Kwani mwenyekiti wa mafisiem ana age ngapi!?
 
Uhai wa chama kile kwa sasa ni Mbowe.

Japo wapo wengi wanaweza kuwa viongozi ila wamegundua pindi mbowe akitoka tu n rahisi kukisambaratisha.

Yule ni mtu haswa. Nkisema mtu namaanisha kweli

Hilo n kundi la watu wenye nia ya kuona chama kinakufa au kukosa nguvu
Akitoka kulamba asali ikulu ndiyo anawadanganyia nyumbu haya maneno
 
Back
Top Bottom