Ruwamangi
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 1,292
- 2,382
- Thread starter
- #61
Apumzike wapi amesema amechoka?Ikiwa wanachama wake watamchagua hakuna namna itabidi tukubaliane nao hata kama hatumtaki
Tunaomba busara itumike Mzee mbowe aamue kupumuzika ili awapishe wengine,
Tunaonuso nyakati vizuri tunamshauri apumuzike. Tu .
Kama tunavyomshauri mama samia apumuzike uraisi kwa kuwa hana jipyya tena zaidi ya kuuza nchi
Ukweli Freeman Mbowe ni kiwakilishi cha Upinzani hapa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla