Pre GE2025 Kuna kundi limeibuka linapinga Freeman Mbowe kuendelea kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA

Pre GE2025 Kuna kundi limeibuka linapinga Freeman Mbowe kuendelea kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Shida sio 'Uzee' Bali kuwepo kwenye kiti hicho kwa muda mrefu!

Hii haikisi maana halisi ya demokrasia, pia hukigawa chama kwa kutengeneza chawa wanamuimba mwenyekiti kama ulivyo wewe!

A good dancer, knows when to leave a stage! PLO Lumumba!
 
Msisingizie ccm katika hili kwanza msigwa alichelewa kutoka wenzie walitoka muda mrefu maana walikuwa waishamshitukia chama alikabidhiwa na akina mzee mtei ndio maana hataki challenge akiamini ni cha kwale unadai democracy nje huku ndani ya chama chako huitaji democracy? Why? Kila anaye furukuta anaambulia zahama mfsno chacha wangwe, zitto, lidu pia hebu km anapendwa aruhusu hiyo nafasi kugombea na wengine aone hule muhuni tu bwana anapewa hela na ccm anakula anakoswa msimamo leo lisu ni wa kusimama juu ya meza kwa ngazi za tofali? Hakuna jukwaa? Anakodi gari? Kweli? 🤣🤣
Hizo ndio hoja zenu mafisiem sasa.hopeless kabisa.Inaonekana ata historia ya ccm huijui ndo maana unamnanga mbowe bila hoja za maana.
 
Shida sio 'Uzee' Bali kuwepo kwenye kiti hicho kwa muda mrefu!

Hii haikisi maana halisi ya demokrasia, pia hukigawa chama kwa kutengeneza chawa wanamuimba mwenyekiti kama ulivyo wewe!

A good dancer, knows when to leave a stage! PLO Lumumba!
kwani kukaa kwake kumeathiri harakati za chama?.kwani kukaa kwake ni kinyume cha katiba ya chama.Msifikiri wanachama wa cdm ni wajinga waendelee kumchagua ila nyie ndio mnaakili.Mbowe ataondoka muda ukifika ila sio wanavyotaka wapinzani wa cdm.
 
Habari wana JF

Kama mtakuwa wafuatiliaji wa mambo ya siasa mtandaoni kuanzia Insta, x (zamani twitter) facebook na hapa Jamiiforums

Mtagundua kuna kundi kubwa limeibuka kumpinga Mwenyekiti wa chadema Taifa Freeman Mbowe kupitia posits na comments.

Hoja zao kuu ni Mbowe aachie uenyekiti wa chama hicho kikuu cha Upinzani Tanzania

Sababu ni kwamba Mbowe umri wake ni mkubwa!! Maajabu haya!

Wengine wanajaribu kuwagombanisha mbowe na Katibu wake mnyika ati amesusia kazi za ukatibu!

Kimsingi hizo hoja hazina nguvu,
Tujifunze hata kwa wenzetu leo Buden anawania urais kwenye Taifa kubwa kama marekani.

Buden ukimwangalia ni mkubwa sana kwa Mbowe
Lakini kwa marekani sio hoja.

Mbowe bado ni kijana anatufaa kuendelea kuongoza upinzani hapa Tanzania.

Tujiulize wapenda demokrasia hapa nchini ni kwanini watawala hawamtaki Mbowe
Mpaka wanafikia hatua ya kuwarubuni
Watu wamhujumu Mbowe?
Jibu ni moja kamanda Mbowe ni mpinzani halisi.
Kusema ukweli Mbowe ameshavuka level za kuitwa Mwenyekiti wa CHADEMA, kitu kilichobaki ni kutawazwa rasmi kuwa Chifu, Mangi, au Mfalme wa CHADEMA.
Nadhani umekosea sana kumfananisha Mbowe na Biden maana mfano wako hauna uhalisia wa Mbowe na nafasi ya wenyekiti wa CHADEMA kwa miongo kadhaa.
Inaleta ukakasi wa chama kinachojiita cha Demokrasia kukosa demokrasia ndani yake, hii inatupa picha kuwa siku akikalia kiti cha Rais wa nchi hii huenda ndiyo itakuwa wale wasiotaka kutoka madarakani.
 
Kusema ukweli Mbowe ameshavuka level za kuitwa Mwenyekiti wa CHADEMA, kitu kilichobaki ni kutawazwa rasmi kuwa Chifu, Mangi, au Mfalme wa CHADEMA.
Nadhani umekosea sana kumfananisha Mbowe na Biden maana mfano wako hauna uhalisia wa Mbowe na nafasi ya wenyekiti wa CHADEMA kwa miongo kadhaa.
Inaleta ukakasi wa chama kinachojiita cha Demokrasia kukosa demokrasia ndani yake, hii inatupa picha kuwa siku akikalia kiti cha Rais wa nchi hii huenda ndiyo itakuwa wale wasiotaka kutoka madarakani.
Kama Kuna kosa CCM watalifanya ni kutaka Mbowe aachie Madaraka, Mbowe hajawahi kuwa tishio kwa CCM kwaiyo wanatakiwa wahakikishe Mbowe kwa namna yoyote asitolewe katika iyo nafasi nyeti.

Anaweza kuja Kiongozi mwingine apo Chadema, akaisababishia CCM matatizo Makubwa.
 
Habari wana JF

Kama mtakuwa wafuatiliaji wa mambo ya siasa mtandaoni kuanzia Insta, x (zamani twitter) facebook na hapa Jamiiforums

Mtagundua kuna kundi kubwa limeibuka kumpinga Mwenyekiti wa chadema Taifa Freeman Mbowe kupitia posits na comments.

Hoja zao kuu ni Mbowe aachie uenyekiti wa chama hicho kikuu cha Upinzani Tanzania

Sababu ni kwamba Mbowe umri wake ni mkubwa!! Maajabu haya!

Wengine wanajaribu kuwagombanisha mbowe na Katibu wake mnyika ati amesusia kazi za ukatibu!

Kimsingi hizo hoja hazina nguvu,
Tujifunze hata kwa wenzetu leo Buden anawania urais kwenye Taifa kubwa kama marekani.

Buden ukimwangalia ni mkubwa sana kwa Mbowe
Lakini kwa marekani sio hoja.

Mbowe bado ni kijana anatufaa kuendelea kuongoza upinzani hapa Tanzania.

Tujiulize wapenda demokrasia hapa nchini ni kwanini watawala hawamtaki Mbowe
Mpaka wanafikia hatua ya kuwarubuni
Watu wamhujumu Mbowe?
Jibu ni moja kamanda Mbowe ni mpinzani halisi.
Ikiwa wanachama wake watamchagua hakuna namna itabidi tukubaliane nao hata kama hatumtaki
Tunaomba busara itumike Mzee mbowe aamue kupumuzika ili awapishe wengine,

Tunaonuso nyakati vizuri tunamshauri apumuzike. Tu .

Kama tunavyomshauri mama samia apumuzike uraisi kwa kuwa hana jipyya tena zaidi ya kuuza nchi
 
20240701_005919.jpg
 
Trust me,huyo mwamba akikiacha chama ndo mwanzo wa chadema kupotea katika medani za siasa,moja ya point ya huyo mwamba kukitunza hicho chama ni kwakuwa muasisi ni baba yake
Muasis siyo baba yake ni baba mkwe wake
 
Vipi kuhusu Lipumba? Sio Mzee? Sio mwenyekiti wa CUF tangu enzi?? Mrema wa TLP alifariki akiwa Mzee na alihudumu kama mwenyekiti wa TLP enzi na enzi mbona hawakumsema?? Mwenyekiti wa UDP sio Cheyo?? Ni kijana?
 
Kama Kuna kosa CCM watalifanya ni kutaka Mbowe aachie Madaraka, Mbowe hajawahi kuwa tishio kwa CCM kwaiyo wanatakiwa wahakikishe Mbowe kwa namna yoyote asitolewe katika iyo nafasi nyeti.

Anaweza kuja Kiongozi mwingine apo Chadema, akaisababishia CCM matatizo Makubwa.
Hebu atoke kwanza tuone panapovuja
 
Habari wana JF

Kama mtakuwa wafuatiliaji wa mambo ya siasa mtandaoni kuanzia Insta, x (zamani twitter) facebook na hapa Jamiiforums

Mtagundua kuna kundi kubwa limeibuka kumpinga Mwenyekiti wa chadema Taifa Freeman Mbowe kupitia posits na comments.

Hoja zao kuu ni Mbowe aachie uenyekiti wa chama hicho kikuu cha Upinzani Tanzania

Sababu ni kwamba Mbowe umri wake ni mkubwa!! Maajabu haya!

Wengine wanajaribu kuwagombanisha mbowe na Katibu wake mnyika ati amesusia kazi za ukatibu!

Kimsingi hizo hoja hazina nguvu,
Tujifunze hata kwa wenzetu leo Buden anawania urais kwenye Taifa kubwa kama marekani.

Buden ukimwangalia ni mkubwa sana kwa Mbowe
Lakini kwa marekani sio hoja.

Mbowe bado ni kijana anatufaa kuendelea kuongoza upinzani hapa Tanzania.

Tujiulize wapenda demokrasia hapa nchini ni kwanini watawala hawamtaki Mbowe
Mpaka wanafikia hatua ya kuwarubuni
Watu wamhujumu Mbowe?
Jibu ni moja kamanda Mbowe ni mpinzani halisi.
Sina tatizo na wanachama wa CHADEMA wanaotaka kubadili uongozi wao.

Hawa wana haki zote kama wanachama kutaka uongozi wanaoutaka chamani kwao.

Mimi tatizo langu ni watu ambao hawana hata uanachama wa CHADEMA, lakini wanataka kubadili mwenyekiti wa CHADEMA.
 
Vipi kuhusu Lipumba? Sio Mzee? Sio mwenyekiti wa CUF tangu enzi?? Mrema wa TLP alifariki akiwa Mzee na alihudumu kama mwenyekiti wa TLP enzi na enzi mbona hawakumsema?? Mwenyekiti wa UDP sio Cheyo?? Ni kijana?
Kwa hiyo Lipumba na Cheyo ndiyo wamekuwa role models wa CDM? CDM inakubali kuwa chama cha mtu mmoja kama CUF, UDP na TLP?
 
Uhai wa chama kile kwa sasa ni Mbowe.

Japo wapo wengi wanaweza kuwa viongozi ila wamegundua pindi mbowe akitoka tu n rahisi kukisambaratisha.

Yule ni mtu haswa. Nkisema mtu namaanisha kweli

Hilo n kundi la watu wenye nia ya kuona chama kinakufa au kukosa nguvu
Ni kama ilivyo kwa Russia. Russia inamuhitaji Vladimir Putin kuliko wakati wowote ule. Bila Putin ni rahisi kwa west kuisambaratisha Russia. Bila Mbowe na Lissu hakuna CHADEMA imara.
CCM ndio wanaongoza kulalamika kwa mbowe kuwa madarakani kwa muda mrefu.
Ambaye hajaridhika milanho ipo wazi. Watoke.
 
Ukiona unaandamwa na wapinzani wako basi jua upo sehemu sahihi.

Kama msigwa kafika bei ,je nani aaminiwe akabidhiwe uenyekiti zaidi ya mbowe ambaye hatetereki? Mbowe kapitia misukosuko ya kila aina ,ameharibiwa miradi yake kibao ili aende CCM lakini wapi MWAMBA kakaza.....Sasa wameona waanzishe propaganda kama amekaa muda mrefu ,mbona Lipumba awamwambii? Mbona cheyo awamwambii? Mbona Hashimu rungwe awambambii nao si wamekaa mida mirefu?
 
Sina tatizo na wanachama wa CHADEMA wanaotaka kubadili uongozi wao.

Hawa wana haki zote kama wanachama kutaka uongozi wanaoutaka chamani kwao.

Mimi tatizo langu ni watu ambao hawana hata uanachama wa CHADEMA, lakini wanataka kubadili mwenyekiti wa CHADEMA.
IMG-20240702-WA0006.jpg
 
Kwa hiyo Lipumba na Cheyo ndiyo wamekuwa role models wa CDM? CDM inakubali kuwa chama cha mtu mmoja kama CUF, UDP na TLP?

Lengo kusiwe na double standard ,kama wanamsema mbowe ,basi wamseme na lipumba,cheyo na Rungwe.
 
Kwani ilisalimika? ENL alichukua Nchi ,sema Lubuva aliokoa jahazi kwa NZIRANKENDE.....Nzirankende kuona ule mtiti wa 2015 ulikuwa mkubwa 2020 akona bora yeshe akafanya UCHAFUZI.
Sawa kamanda. Stop crying
 
Back
Top Bottom