Truth Matters
JF-Expert Member
- Apr 12, 2013
- 2,302
- 4,603
Hizo ndio hoja zenu mafisiem sasa.hopeless kabisa.Inaonekana ata historia ya ccm huijui ndo maana unamnanga mbowe bila hoja za maana.Msisingizie ccm katika hili kwanza msigwa alichelewa kutoka wenzie walitoka muda mrefu maana walikuwa waishamshitukia chama alikabidhiwa na akina mzee mtei ndio maana hataki challenge akiamini ni cha kwale unadai democracy nje huku ndani ya chama chako huitaji democracy? Why? Kila anaye furukuta anaambulia zahama mfsno chacha wangwe, zitto, lidu pia hebu km anapendwa aruhusu hiyo nafasi kugombea na wengine aone hule muhuni tu bwana anapewa hela na ccm anakula anakoswa msimamo leo lisu ni wa kusimama juu ya meza kwa ngazi za tofali? Hakuna jukwaa? Anakodi gari? Kweli? 🤣🤣
kwani kukaa kwake kumeathiri harakati za chama?.kwani kukaa kwake ni kinyume cha katiba ya chama.Msifikiri wanachama wa cdm ni wajinga waendelee kumchagua ila nyie ndio mnaakili.Mbowe ataondoka muda ukifika ila sio wanavyotaka wapinzani wa cdm.Shida sio 'Uzee' Bali kuwepo kwenye kiti hicho kwa muda mrefu!
Hii haikisi maana halisi ya demokrasia, pia hukigawa chama kwa kutengeneza chawa wanamuimba mwenyekiti kama ulivyo wewe!
A good dancer, knows when to leave a stage! PLO Lumumba!
Kusema ukweli Mbowe ameshavuka level za kuitwa Mwenyekiti wa CHADEMA, kitu kilichobaki ni kutawazwa rasmi kuwa Chifu, Mangi, au Mfalme wa CHADEMA.Habari wana JF
Kama mtakuwa wafuatiliaji wa mambo ya siasa mtandaoni kuanzia Insta, x (zamani twitter) facebook na hapa Jamiiforums
Mtagundua kuna kundi kubwa limeibuka kumpinga Mwenyekiti wa chadema Taifa Freeman Mbowe kupitia posits na comments.
Hoja zao kuu ni Mbowe aachie uenyekiti wa chama hicho kikuu cha Upinzani Tanzania
Sababu ni kwamba Mbowe umri wake ni mkubwa!! Maajabu haya!
Wengine wanajaribu kuwagombanisha mbowe na Katibu wake mnyika ati amesusia kazi za ukatibu!
Kimsingi hizo hoja hazina nguvu,
Tujifunze hata kwa wenzetu leo Buden anawania urais kwenye Taifa kubwa kama marekani.
Buden ukimwangalia ni mkubwa sana kwa Mbowe
Lakini kwa marekani sio hoja.
Mbowe bado ni kijana anatufaa kuendelea kuongoza upinzani hapa Tanzania.
Tujiulize wapenda demokrasia hapa nchini ni kwanini watawala hawamtaki Mbowe
Mpaka wanafikia hatua ya kuwarubuni
Watu wamhujumu Mbowe?
Jibu ni moja kamanda Mbowe ni mpinzani halisi.
Kama Kuna kosa CCM watalifanya ni kutaka Mbowe aachie Madaraka, Mbowe hajawahi kuwa tishio kwa CCM kwaiyo wanatakiwa wahakikishe Mbowe kwa namna yoyote asitolewe katika iyo nafasi nyeti.Kusema ukweli Mbowe ameshavuka level za kuitwa Mwenyekiti wa CHADEMA, kitu kilichobaki ni kutawazwa rasmi kuwa Chifu, Mangi, au Mfalme wa CHADEMA.
Nadhani umekosea sana kumfananisha Mbowe na Biden maana mfano wako hauna uhalisia wa Mbowe na nafasi ya wenyekiti wa CHADEMA kwa miongo kadhaa.
Inaleta ukakasi wa chama kinachojiita cha Demokrasia kukosa demokrasia ndani yake, hii inatupa picha kuwa siku akikalia kiti cha Rais wa nchi hii huenda ndiyo itakuwa wale wasiotaka kutoka madarakani.
Ndio mkuu.Akitoka kulamba asali ikulu ndiyo anawadanganyia nyumbu haya maneno
Ikiwa wanachama wake watamchagua hakuna namna itabidi tukubaliane nao hata kama hatumtakiHabari wana JF
Kama mtakuwa wafuatiliaji wa mambo ya siasa mtandaoni kuanzia Insta, x (zamani twitter) facebook na hapa Jamiiforums
Mtagundua kuna kundi kubwa limeibuka kumpinga Mwenyekiti wa chadema Taifa Freeman Mbowe kupitia posits na comments.
Hoja zao kuu ni Mbowe aachie uenyekiti wa chama hicho kikuu cha Upinzani Tanzania
Sababu ni kwamba Mbowe umri wake ni mkubwa!! Maajabu haya!
Wengine wanajaribu kuwagombanisha mbowe na Katibu wake mnyika ati amesusia kazi za ukatibu!
Kimsingi hizo hoja hazina nguvu,
Tujifunze hata kwa wenzetu leo Buden anawania urais kwenye Taifa kubwa kama marekani.
Buden ukimwangalia ni mkubwa sana kwa Mbowe
Lakini kwa marekani sio hoja.
Mbowe bado ni kijana anatufaa kuendelea kuongoza upinzani hapa Tanzania.
Tujiulize wapenda demokrasia hapa nchini ni kwanini watawala hawamtaki Mbowe
Mpaka wanafikia hatua ya kuwarubuni
Watu wamhujumu Mbowe?
Jibu ni moja kamanda Mbowe ni mpinzani halisi.
Muasis siyo baba yake ni baba mkwe wakeTrust me,huyo mwamba akikiacha chama ndo mwanzo wa chadema kupotea katika medani za siasa,moja ya point ya huyo mwamba kukitunza hicho chama ni kwakuwa muasisi ni baba yake
Hebu atoke kwanza tuone panapovujaKama Kuna kosa CCM watalifanya ni kutaka Mbowe aachie Madaraka, Mbowe hajawahi kuwa tishio kwa CCM kwaiyo wanatakiwa wahakikishe Mbowe kwa namna yoyote asitolewe katika iyo nafasi nyeti.
Anaweza kuja Kiongozi mwingine apo Chadema, akaisababishia CCM matatizo Makubwa.
Sina tatizo na wanachama wa CHADEMA wanaotaka kubadili uongozi wao.Habari wana JF
Kama mtakuwa wafuatiliaji wa mambo ya siasa mtandaoni kuanzia Insta, x (zamani twitter) facebook na hapa Jamiiforums
Mtagundua kuna kundi kubwa limeibuka kumpinga Mwenyekiti wa chadema Taifa Freeman Mbowe kupitia posits na comments.
Hoja zao kuu ni Mbowe aachie uenyekiti wa chama hicho kikuu cha Upinzani Tanzania
Sababu ni kwamba Mbowe umri wake ni mkubwa!! Maajabu haya!
Wengine wanajaribu kuwagombanisha mbowe na Katibu wake mnyika ati amesusia kazi za ukatibu!
Kimsingi hizo hoja hazina nguvu,
Tujifunze hata kwa wenzetu leo Buden anawania urais kwenye Taifa kubwa kama marekani.
Buden ukimwangalia ni mkubwa sana kwa Mbowe
Lakini kwa marekani sio hoja.
Mbowe bado ni kijana anatufaa kuendelea kuongoza upinzani hapa Tanzania.
Tujiulize wapenda demokrasia hapa nchini ni kwanini watawala hawamtaki Mbowe
Mpaka wanafikia hatua ya kuwarubuni
Watu wamhujumu Mbowe?
Jibu ni moja kamanda Mbowe ni mpinzani halisi.
Kwa hiyo Lipumba na Cheyo ndiyo wamekuwa role models wa CDM? CDM inakubali kuwa chama cha mtu mmoja kama CUF, UDP na TLP?Vipi kuhusu Lipumba? Sio Mzee? Sio mwenyekiti wa CUF tangu enzi?? Mrema wa TLP alifariki akiwa Mzee na alihudumu kama mwenyekiti wa TLP enzi na enzi mbona hawakumsema?? Mwenyekiti wa UDP sio Cheyo?? Ni kijana?
Ni kama ilivyo kwa Russia. Russia inamuhitaji Vladimir Putin kuliko wakati wowote ule. Bila Putin ni rahisi kwa west kuisambaratisha Russia. Bila Mbowe na Lissu hakuna CHADEMA imara.Uhai wa chama kile kwa sasa ni Mbowe.
Japo wapo wengi wanaweza kuwa viongozi ila wamegundua pindi mbowe akitoka tu n rahisi kukisambaratisha.
Yule ni mtu haswa. Nkisema mtu namaanisha kweli
Hilo n kundi la watu wenye nia ya kuona chama kinakufa au kukosa nguvu
Sina tatizo na wanachama wa CHADEMA wanaotaka kubadili uongozi wao.
Hawa wana haki zote kama wanachama kutaka uongozi wanaoutaka chamani kwao.
Mimi tatizo langu ni watu ambao hawana hata uanachama wa CHADEMA, lakini wanataka kubadili mwenyekiti wa CHADEMA.
Kwa hiyo Lipumba na Cheyo ndiyo wamekuwa role models wa CDM? CDM inakubali kuwa chama cha mtu mmoja kama CUF, UDP na TLP?
Sawa kamanda. Stop cryingKwani ilisalimika? ENL alichukua Nchi ,sema Lubuva aliokoa jahazi kwa NZIRANKENDE.....Nzirankende kuona ule mtiti wa 2015 ulikuwa mkubwa 2020 akona bora yeshe akafanya UCHAFUZI.
Logical non sequitur fallacy.