Apumzike wapi amesema amechoka?Ikiwa wanachama wake watamchagua hakuna namna itabidi tukubaliane nao hata kama hatumtaki
Tunaomba busara itumike Mzee mbowe aamue kupumuzika ili awapishe wengine,
Tunaonuso nyakati vizuri tunamshauri apumuzike. Tu .
Kama tunavyomshauri mama samia apumuzike uraisi kwa kuwa hana jipyya tena zaidi ya kuuza nchi
Ukiona wanamsema Mwenyekiti Mbowe jua ni tishio kwao.Vipi kuhusu Lipumba? Sio Mzee? Sio mwenyekiti wa CUF tangu enzi?? Mrema wa TLP alifariki akiwa Mzee na alihudumu kama mwenyekiti wa TLP enzi na enzi mbona hawakumsema?? Mwenyekiti wa UDP sio Cheyo?? Ni kijana?
Inasikitisha mno...hii tunaita ni mental illnessSina tatizo na wanachama wa CHADEMA wanaotaka kubadili uongozi wao.
Hawa wana haki zote kama wanachama kutaka uongozi wanaoutaka chamani kwao.
Mimi tatizo langu ni watu ambao hawana hata uanachama wa CHADEMA, lakini wanataka kubadili mwenyekiti wa CHADEMA.
Na hii mentality ya kijinga ndio inaiua chadema kwa kudhani kuwa yeye ndiye ajuaye kuiongoza tu mwingine ndan ya CDM ni maboya kwahiyo akifa na chadema imekufa siyo?Ni kama ilivyo kwa Russia. Russia inamuhitaji Vladimir Putin kuliko wakati wowote ule. Bila Putin ni rahisi kwa west kuisambaratisha Russia. Bila Mbowe na Lissu hakuna CHADEMA imara.
CCM ndio wanaongoza kulalamika kwa mbowe kuwa madarakani kwa muda mrefu.
Ambaye hajaridhika milanho ipo wazi. Watoke.
Sababu kuu umri ni mkubwa?Habari wana JF
Kama mtakuwa wafuatiliaji wa mambo ya siasa mtandaoni kuanzia Insta, x (zamani twitter) facebook na hapa Jamiiforums
Mtagundua kuna kundi kubwa limeibuka kumpinga Mwenyekiti wa chadema Taifa Freeman Mbowe kupitia posits na comments.
Hoja zao kuu ni Mbowe aachie uenyekiti wa chama hicho kikuu cha Upinzani Tanzania
Sababu ni kwamba Mbowe umri wake ni mkubwa!! Maajabu haya!
Wengine wanajaribu kuwagombanisha mbowe na Katibu wake mnyika ati amesusia kazi za ukatibu!
Kimsingi hizo hoja hazina nguvu,
Tujifunze hata kwa wenzetu leo Buden anawania urais kwenye Taifa kubwa kama marekani.
Buden ukimwangalia ni mkubwa sana kwa Mbowe
Lakini kwa marekani sio hoja.
Mbowe bado ni kijana anatufaa kuendelea kuongoza upinzani hapa Tanzania.
Tujiulize wapenda demokrasia hapa nchini ni kwanini watawala hawamtaki Mbowe
Mpaka wanafikia hatua ya kuwarubuni
Watu wamhujumu Mbowe?
Jibu ni moja kamanda Mbowe ni mpinzani halisi.
Washamstukia uongo wake, ulaghai na usultani.Habari wana JF
Kama mtakuwa wafuatiliaji wa mambo ya siasa mtandaoni kuanzia Insta, x (zamani twitter) facebook na hapa Jamiiforums
Mtagundua kuna kundi kubwa limeibuka kumpinga Mwenyekiti wa chadema Taifa Freeman Mbowe kupitia posits na comments.
Hoja zao kuu ni Mbowe aachie uenyekiti wa chama hicho kikuu cha Upinzani Tanzania
Sababu ni kwamba Mbowe umri wake ni mkubwa!! Maajabu haya!
Wengine wanajaribu kuwagombanisha mbowe na Katibu wake mnyika ati amesusia kazi za ukatibu!
Kimsingi hizo hoja hazina nguvu,
Tujifunze hata kwa wenzetu leo Buden anawania urais kwenye Taifa kubwa kama marekani.
Buden ukimwangalia ni mkubwa sana kwa Mbowe
Lakini kwa marekani sio hoja.
Mbowe bado ni kijana anatufaa kuendelea kuongoza upinzani hapa Tanzania.
Tujiulize wapenda demokrasia hapa nchini ni kwanini watawala hawamtaki Mbowe
Mpaka wanafikia hatua ya kuwarubuni
Watu wamhujumu Mbowe?
Jibu ni moja kamanda Mbowe ni mpinzani halisi.