Lingutwa Sr
Member
- Mar 30, 2021
- 65
- 48
๐๐๐๐Kama kipaumbele ni tabia, utakutana na kitu ambacho hakishawishi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐๐Kama kipaumbele ni tabia, utakutana na kitu ambacho hakishawishi
Ndivyo inavyotakiwa, utaoaje mtu ambaye hatamaniwi huko nje, halafu unajiita umeoa?Haka katoto sumu kweli, mzee haka lazma wahuni tuishi labda kawe hakatembei kwa miguu ๐๐๐
Vinavyowaunganisha ni viungo vya mwili, pamoja na hisia; kama hisia mpaka uzime taa ndio zije, hapo kuna tatizo.Siyo Kwamba unaendeshwa na tamaa ya mwili
Tafuta kitu, roho inapenda; na sio kwa ajili ya kusindikizana kimaishaWatu wanaokota mabomu wanaweka ndani siku yakiwalipukia wanakuja kujiliza huku
Bas ukiona mpaka uzimishe taa ujue umewrong choiceVinavyowaunganisha ni viungo vya mwili, pamoja na hisia; kama hisia mpaka uzime taa ndio zije, hapo kuna tatizo.
Kuoa ni kuoa tu, uzuri wa mwanamke upo machoni pa mwanaume wake.. Hakuna mwanamke mmbay, hakuna sie na shape nzuri.. Maana nguvu za kuchagua zipo tofauti.. Kama wako weka ndani mtunzane msubiri kufa
Kwa wengine sio wazuri, haya mambo mazuri kabisaView attachment 2366606
Kwahiyo unasema wengine hatujaolewa bali tunasindikizana tu kwenye maisha?
Nimejisikia vibaya kweli.[emoji22]
Utakuwa una vigezoKwahiyo unasema wengine hatujaolewa bali tunasindikizana tu kwenye maisha?
Nimejisikia vibaya kweli.[emoji22]
ha ha ha
Hongera sanaMe mbona siangalii tabia
Wengine wanasingizia tatizo la nguvu za kiume; kumbe tatizo ni wrong choiceBas ukiona mpaka uzimishe taa ujue umewrong choice
Ndoa achana nayo kabisa. Utatoka magego bure.Walio-oa hapa duniani ni wachache sana; wengi tunaishi na watu wakusindikiza nao maisha; ndio maana tunakimbilia kwenye tabia, bila kuangalia shepu na sura nzuri.
Walio-oa ni wale wanaoishi na warembo wakali, wenye shepu nzuri na sura nzuri; hawa ndio waliofanikiwa kuoa.
Sisi wengine tulioangalia vigezo vya tabia, mara ana kazi n.k; sisi tunasindikizana kimaisha tu, ili yaweze kwenda.
Ndio maana kila siku, mwanaume anatamani wanawake warembo na wazuri; ila kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wake, anaishia kutamani tu.
Kuoa sio swala jepesi; karibu kwa mjadala.