Kuna kuoa na kusindikizana kimaisha

Kuna kuoa na kusindikizana kimaisha

Kitu naelewa ni kwamba mwanamke yeyote ana mvuto wa pekee kulingana na mwanaume anapendelea nini.

Kama ni ishu ya urembo na muonekano huenda akawa mweupe, maji ya kunde, matte black safi whatever you like. Kuna ambao tunahusudu hivi.

Wengine ni upbringing yake, hapa kuna waswahili, wazungu, waongo, wakweli, washenzi, wapole. Kuna wanaozingatia humu.

Kuna tipwa tipwa, shape kali, hips, tacos, urefu, ufupi inshort mjengo wa body na outlook. Kuna ambao ndio kigezo kikuu cha kuoa.

Haya yote yalioelezwa hapo juu ni criteria tu za wanaume kuchagua mwenza au kuchaguliwa na mwanamke ili uwe mjanja wake ila kuna jambo moja hivi ambalo ndio key factor kwa wote ME na KE. Hilo linasawazisha milima na mabonde nalo ni MAWE. Ukiwa nayo tu full usalama. Zisiwe hela za mwisho wa mwezi bali hela zako from investment.

If you make millions no doubt huna haja ya kuchunguza sana mtu wa kuoa au kuolewa naye we beba unayeona anafurahisha machoni mwako. Hela itasawazisha vipengele vyote.
Kweli mkuu, ndio maana kuna pointi pale inasema; kutokana na sababu zilizopo nje ya uwezo wetu, tunajikuta tumepata mtu wakusindikiza naye maisha.

Kama roho inakuwa haikuumi muda wowote kuwa na mwenzako; jua huyo uliyenaye mnasindikiza naye maisha. Kwa kitu kikali, nafsi itakuhitaji muda wote kuwa naye, na utakuwa uko tayari hata upoteze kazi.
 
Bila shaka utakuwa na umri mdogo(samahani kama nimekukwaza)

Binadamu wote huwa tunakinai, sasa linapokuja suala la mapenzi hasa kwa sisi wanaume huwa kuna aina fulani ya kuzoea ulie naye.


Hata awe mzuri vipi utamzoea na kumuona wa kawaida tu na utatamani kwingine.

Na nikwambie tu kilicho kizuri zaidi ndo utakizoea haraka zaidi.

Linapokuja suala la ndoa ni zaidi ya sex, umbo, sura n.k hivyo hufikia muda vinaisha automatically kwa hiyo lazima kuwa na connection kati yanu ambayo haitaisha haraka
 
Watolee mfano yule official Lynn demu mzuri alafu anavusha shisha, mlevi, ana matusi ile mbaya kwa Maoni ya mtoa mada mwanamke kama huyu eti awekwe ndani?
Muda wote mnara utakuwa unasoma, tatizo la nguvu za me hazitakuwepo
 
Bila shaka utakuwa na umri mdogo(samahani kama nimekukwaza)

Binadamu wote huwa tunakinai, sasa linapokuja suala la mapenzi hasa kwa sisi wanaume huwa kuna aina fulani ya kuzoea ulie naye.


Hata awe mzuri vipi utamzoea na kumuona wa kawaida tu na utatamani kwingine.

Na nikwambie tu kilicho kizuri zaidi ndo utakizoea haraka zaidi.

Linapokuja suala la ndoa ni zaidi ya sex, umbo, sura n.k hivyo hufikia muda vinaisha automatically kwa hiyo lazima kuwa na connection kati yanu ambayo haitaisha haraka
Naomba nikuulize mkuu; pisi kali ikipita karibu na wewe, huwa hugeuzi shingo?
 
Kuoa na kuolewa ni kama kubet tu.

Kwenye ndoa utamu,Raha na amani unayo Mwenyewe tu.
 
Back
Top Bottom