Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chuo .. phy tenaaaaa...Fizikia ni moto wewe.
Hasahasa ile ya University ni moto tema chini.
Cr kama Cr πππππHivi report inasema ndege imegharimu kiasi gani kufika tz
Mimi sipendi na sijaamua kupenda wakuu hayo hayanihusu π
Niko hapa boss πCr kama Cr
Poa, mzma wewYes mambo GenuineMan
Huu moto hatari sana.Quantum physics
Kwani Elon musk alisoma digrii gani?Chuo .. phy tenaaaaa...
Me mzima my friend,,, mbona hukuja sasaππPoa, mzma wew
Sawa sasa njoo hapa kwetu mkuu..Kwani Elon musk alisoma digrii gani?
Si ya Physics? Au unadhani Physics inaishia tu kwenye Advanced level /GSCE?.
Fizikia ni moto wewe.
Hasahasa ile ya University ni moto tema chini.
Halafu na kunakulazimishwa kuachwa...π€£Na kuna kulazimishwa kupenda
Sema ya Advance ile haikunipeleka sana.[emoji23][emoji23][emoji23]
Physics ni balaa, hakuna cha kuishindanisha nacho
Ya advance ilinipeleka peleka, acha kabisa
Ndio. Ya advance cha mtoto.Sawa sasa njoo hapa kwetu mkuu..
Chuo phy yamoto kuliko adv sio..?
Ni course ipo hiyo ina advanced phy ambayo.. ni ya moto mno mkuuNdio. Ya advance cha mtoto.
Physics yote ya advance ilinipeleka peleka aiseeeeSema ya Advance ile haikunipeleka sana.
Form 5 pale unakutana na wale walioenda Kwa mgote, sijui Moody Physics,ila baadaye tulikuwa level moja.
Kiufupi Physics ni hatari sana, pale Advance unakutana na moto wa Thermodynamics, hujakaa vizuri unakutana na Electrostatics , hujatulia kwenye siti unakutana na Electromagnetism.
Kiufupi mapenzi hayajafika level ya Physics na Calculus.
Usijaribu tena kujiita Andrew TateKupenda ni inbult reckless obssesion over another human being for the sake of reproduction hence the continuous and the survival of human species. Nature at work.
Sent from my G011A using JamiiForums mobile app
π€π€π€π€βοΈβοΈβοΈβοΈPhysics yote ya advance ilinipeleka peleka aiseeee
Tena wale waliosoma tution kwa mgote wakija na zile pamphlets zao ndio kabisa nlikua nachanganyikiwa
Nilimaliza salama ila kwa shida sana
Quantum physics ndio iliniokoa kidogo kwnye pepa 2 bila hivoπ
Ila mapenzi nayo yanaburuza nsiwe muongoπ
Tism... optSema ya Advance ile haikunipeleka sana.
Form 5 pale unakutana na wale walioenda Kwa mgote, sijui Moody Physics,ila baadaye tulikuwa level moja.
Kiufupi Physics ni hatari sana, pale Advance unakutana na moto wa Thermodynamics, hujakaa vizuri unakutana na Electrostatics , hujatulia kwenye siti unakutana na Electromagnetism.
Kiufupi mapenzi hayajafika level ya Physics na Calculus.
Mgote Physics.π€£π€£π€£π€£.Tism... opt
Electrostatic..opt
Kidogo electronics... nayo ukitumia mgote utakimbia ππππβ
Projectile ya nani ile.....Mgote Physics.π€£π€£π€£π€£.
Alafu unahangaika mwishoni ndo unajua ya kwamba kitabu cha S.Chand ndo kila kitu , ukichanganya na Principles of Physics by Michael Nelkon na kitabu cha Roger Muncaster na kitabu cha Tom Duncan.
Maticha wa tuitions wanatia pressure tu.