Kwanza time factor. Miaka miwili ni michache sana kwa madude Yale, naona nowadays wameamua kubadilika ndo maana madogo wamepiga one za kutosha , wamebadilisha mtaala na kwasasa wanatumia sana vitabu vilivyochapishwa vya T.I.E.Projectile ya nani ile.....
An shida tupu...
Wenzangu wa BAM yale ma trigonometry wanayotumia khaaaaπππππ€π€π€π adv phys inahitaji utulivu mnoooo
Maswali mengi yanatoka kwa chand..
But why kwa room temperature tunachanganya madude
Alafu pili shule nyingi za Advance, waalimu wengi huwa hawafundishi kwa commitment inayotakiwa. Wana-assume kuwa watu wamesoma matuition so wanaacha kuwaguide na kuwafundisha. Sijui wamebadilika nowadays au mambo ni yaleyale.