Kuna kupenda na kuna kuamua kupenda

Kuna kupenda na kuna kuamua kupenda

Short and Clear 💯
Kupenda ni maamuzi ya kihisia/ moyo, huku kunaweza sababishwa na kitu chochote hasa physique ya mtu au tabia

Kuamua kupenda ni conscious decision, maamuzi ya akili, haya ni matokeo ya situational analysis.

Tunapokua wadogo hua tunapenda, ila tunapokua wakubwa tunaamua kupenda.

Mara nyingi tunaamua kupenda kile tunachokimudu.

Walioamua kupenda wana amani kuliko waliopenda, aloamua kupenda anajua alieamua kumpenda na kwanini ameamua kumpenda.

Amua kupenda sasa
 
Huu ni uongo. Kila mmoja hufuata kusoma kile anaweza

Ukiona kozi za science ni ngumu basi hukutakiwa kufika hiyo level uliyopo.

Hata slow learner ukimpeleka kusoma social work pale ustawi wa Jamii bado ataona hiyo kozi ni ngumu.
zinahitaji utulie sana tofauti na zingine
 
zinahitaji utulie sana tofauti na zingine
Chochote unachosoma kinahitaji utulie. Unafikiri mtu anayesoma law bila kutulia atafaulu?

Au anayesoma sociology bila kutulia atafaulu?

Kozi ni kama namba uwanjani, hakuna namba rahisi. Kila mchezaji hucheza namba yake. Au unahisi beki ni namba ngumu kuliko kuwa forward?
 
Chochote unachosoma kinahitaji utulie. Unafikiri mtu anayesoma law bila kutulia atafaulu?

Au anayesoma sociology bila kutulia atafaulu?

Kozi ni kama namba uwanjani, hakuna namba rahisi. Kila mchezaji hucheza namba yake. Au unahisi beki ni namba ngumu kuliko kuwa forward?
Umekomaa sana, Kubali tu Science ni ngum na Art ni maji basi wala hatujawadharau. Umesoma Course gani labda maana Mwamba ngoma .....
 
Chochote unachosoma kinahitaji utulie. Unafikiri mtu anayesoma law bila kutulia atafaulu?

Au anayesoma sociology bila kutulia atafaulu?

Kozi ni kama namba uwanjani, hakuna namba rahisi. Kila mchezaji hucheza namba yake. Au unahisi beki ni namba ngumu kuliko kuwa forward?
Lakini kiasi cha mental energy inayotumika ni tofauti,

Huwezi kufananisha kuchambua sentense kwa njia ya matawi na organic chemistry.

Country wide uwe na adabu na science.
 
Umekomaa sana, Kubali tu Science ni ngum na Art ni maji basi wala hatujawadharau. Umesoma Course gani labda maana Mwamba ngoma .....
Science sio ngumu bali wewe uliyeenda kusoma science hukustahili kusoma science.

Nimesema hapo mtu huenda kusoma kile anaona anaweza kumudu. Wapo walioenda kusoma HKL na bado wakapata zero
 
Lakini kiasi cha mental energy inayotumika ni tofauti,

Huwezi kufananisha kuchambua sentense kwa njia ya matawi na organic chemistry.

Country wide uwe na adabu na science.
Ukiona inatumia energy kubwa kusoma hiyo kitu unaita ngumu basi jua hukustahili kusoma hiyo.

Hiyo kuchambua sentensi ingekua rahisi si kila mtu angekua anafaulu?

Au unaamini wale ambao wanaosoma HKL, HGK, HGL hakuna anayefeli?

Tupo kwenye ulimwengu wa specialization, kila mtu na eneo lake. Pilot huwa anashangaa daktari anawezaje kufumua ubongo na kuurudisha ulivyo.
Daktari naye anashangaa pilot anawezaje kurusha ndege juu
Engineer anashangaa lawyer anawezaje kuchambua penal code yenye pages zaidi ya 500, lawyer naye anashangaa engineer anawezaje kujenga daraja baharini.

Kila mtu na eneo lake. Hakuna kugumu wala kurahisi
 
Ukiona inatumia energy kubwa kusoma hiyo kitu unaita ngumu basi jua hukustahili kusoma hiyo.

Hiyo kuchambua sentensi ingekua rahisi si kila mtu angekua anafaulu?

Au unaamini wale ambao wanaosoma HKL, HGK, HGL hakuna anayefeli?

Tupo kwenye ulimwengu wa specialization, kila mtu na eneo lake. Pilot huwa anashangaa daktari anawezaje kufumua ubongo na kuurudisha ulivyo.
Daktari naye anashangaa pilot anawezaje kurusha ndege juu
Engineer anashangaa lawyer anawezaje kuchambua penal code yenye pages zaidi ya 500, lawyer naye anashangaa engineer anawezaje kujenga daraja baharini.

Kila mtu na eneo lake. Hakuna kugumu wala kurahisi
Umeng'ang'ana sana Mkuu, Ukweli utabaki kua hivo haijalishi utatunga siasa na falsafa gani za kujifariji. Science ni ngumu tangu kuumbwa kwa dunia na tunaisoma kwa Energy kubwa sana. Hutaki kukubali hama dunia. Huwez beba vitu simple vingine unajkaza tu mpaka watu walio nje ya mfumo wanaona simple kumbe siri ya mtungi unaijua mwenyewe.
 
Ukiona inatumia energy kubwa kusoma hiyo kitu unaita ngumu basi jua hukustahili kusoma hiyo.

Hiyo kuchambua sentensi ingekua rahisi si kila mtu angekua anafaulu?

Au unaamini wale ambao wanaosoma HKL, HGK, HGL hakuna anayefeli?

Tupo kwenye ulimwengu wa specialization, kila mtu na eneo lake. Pilot huwa anashangaa daktari anawezaje kufumua ubongo na kuurudisha ulivyo.
Daktari naye anashangaa pilot anawezaje kurusha ndege juu
Engineer anashangaa lawyer anawezaje kuchambua penal code yenye pages zaidi ya 500, lawyer naye anashangaa engineer anawezaje kujenga daraja baharini.

Kila mtu na eneo lake. Hakuna kugumu wala kurahisi
Hata walio feli shule watakimbilia bodaboda kwa kigezo cha specialization ila ukweli ni kwamba hawana akili na Masomo yote kwao yamekua magumu. Specialization inaendana na uwezo wa mtu. Namaanisha ukishindwa science ndiyo unaenda Arts ukishindwa na uko ndo unaacha shule sasa.
 
Ukiona inatumia energy kubwa kusoma hiyo kitu unaita ngumu basi jua hukustahili kusoma hiyo.

Hiyo kuchambua sentensi ingekua rahisi si kila mtu angekua anafaulu?

Au unaamini wale ambao wanaosoma HKL, HGK, HGL hakuna anayefeli?

Tupo kwenye ulimwengu wa specialization, kila mtu na eneo lake. Pilot huwa anashangaa daktari anawezaje kufumua ubongo na kuurudisha ulivyo.
Daktari naye anashangaa pilot anawezaje kurusha ndege juu
Engineer anashangaa lawyer anawezaje kuchambua penal code yenye pages zaidi ya 500, lawyer naye anashangaa engineer anawezaje kujenga daraja baharini.

Kila mtu na eneo lake. Hakuna kugumu wala kurahisi
🤝😍I jus love this 🙏🙏
 
Back
Top Bottom