Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
You cant be serious!! Nafikiri wanawake wanaongoza kwa kusema nini wanaume wanataka kuliko hata wanaume wenyewe.What women wants?...
wanawake kila siku wanasema wanataka hiki wanataka kile
hawapendi hiki au kile......
hawajali kuhusu nini wanaume hawapendi au kutaka
its all about them
Na kufundwa tunafundwa kila siku kwa ajili yao hadi tumechoka, wao akhuuYou cant be serious!! Nafikiri wanawake wanaongoza kwa kusema nini wanaume wanataka kuliko hata wanaume wenyewe.
Si ndio hapo sasa, yaani hadi tunalipia makungwi kwa ajili yao hawaoni tu!! Selfish creatures.Na kufundwa tunafundwa kila siku kwa ajili yao hadi tumechoka, wao akhuu
Nikioa ntautendea kaziNi ujumbe mzuri sana huu!
Niamin mm kweli wanawake wengi wanaondoka sana mikononi mwangu kwa tabia za kuwapigia simu tu nikitaka mchezo sipo romantic hata kidogo na hii inachangiwa sana na kazi ninazofanya nipo busy always sio usiku sio mchana sio weekendNyie ndo mkiwa na wapenzi wenu mnatoa hadi machozi. Huu ubabe wa jukwaani tumeuzoea tangu babu Seya anaingia gerezani.
Ubusy mwingine mnazidishaga aisee, hamna asili ya kujali wenzenu so mnaucover kuwa busy. Mtu anayekujali hata awe busy vipi, atatafuta tu hata dakika akujulie hali. Afu mtu anayekujua upo busy, a minute to her means a lot. Jitahidi hata muda unavaa soksi na viatu mpigie mwenzio weka loud speaker msalimie. Kama unaweza ukatafuta muda juu chini ukiwa na genye, basi tafuta na muda pia umsalimie mwenzio. No smart woman atasettle na mtu anayemtafuta tu kisa genyeNiamin mm kweli wanawake wengi wanaondoka sana mikononi mwangu kwa tabia za kuwapigia simu tu nikitaka mchezo sipo romantic hata kidogo na hii inachangiwa sana na kazi ninazofanya nipo busy always sio usiku sio mchana sio weekend
Ubusy mwingine mnazidishaga aisee, hamna asili ya kujali wenzenu so mnaucover kuwa busy. Mtu anayekujali hata awe busy vipi, atatafuta tu hata dakika akujulie hali. Afu mtu anayekujua upo busy, a minute to her means a lot. Jitahidi hata muda unavaa soksi na viatu mpigie mwenzio weka loud speaker msalimie. Kama unaweza ukatafuta muda juu chini ukiwa na genye, basi tafuta na muda pia umsalimie mwenzio. No smart woman atasettle na mtu anayemtafuta tu kisa genye
Eeh hongera sana.Nadhani kama ni simu mpaka wanachoka ila ile habari ya kufuatana kama kumbikumbi ndo issue
Nawatext sana na calls sana coz wapo kadhaa
Zimebaki siku chache mwaka uishe na lugha ibadilikeLugha yangu ileeeeeee.....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nadhani kama ni simu mpaka wanachoka ila ile habari ya kufuatana kama kumbikumbi ndo issue
Nawatext sana na calls sana coz wapo kadhaa