Kuna lugha tano za mapenzi, unaijua ya mpenzi wako?

Kuna lugha tano za mapenzi, unaijua ya mpenzi wako?

Hata ufanye nn hamtosheki,

Mwisho wa siku watakwambia tunapenda bad boys,

Kwanini nijpe stress zisizo na msingi?
Ni kweli usijitese raha jipe mwenyewe, fanya kile unachoona ni sahihi na kinachokupatia furaha.
Najua unaogopa kuumizwa ndio maana umefunga chain ah ah ah ah.
 
Ni kweli usijitese raha jipe mwenyewe, fanya kile unachoona ni sahihi na kinachokupatia furaha.
Najua unaogopa kuumizwa ndio maana umefunga chain ah ah ah ah.

Yah nina kimoyo chepesi sana kuzuia hilo naweza watext wote i miss you kwa mpigo halafu narudi zangu kula webner za forex
 
What women wants?...

wanawake kila siku wanasema wanataka hiki wanataka kile
hawapendi hiki au kile......

hawajali kuhusu nini wanaume hawapendi au kutaka

its all about them
Ndio walivyo. Juzi kati "nilitoa boko!" wife akashtukia. Tukayamaliza. Nikamdukua whatsapp. Nikakuta anashauriana na marafiki zake jinsi ya kujimilikisha haka kakibanda chetu. Sijakaa vizuri. Ananishauri nikaandike wosia mahakamani! Sijamaliza kumtafakari.
 
Mi lugha tam napenda nikiwafanya wanavyokojoa shwaaa!wengine kama wanapata degedege wanavyokakamaa najua hiyo hawafake orgasms!
Unajiskia hata uzito kuongea maneno matamu kwa mademu sababu wengi hawaaminiki hata mimi nakuwa sitaki kuamini mwanamke ndio maana nipo hai hadi leo.
We leta mapenzi yako ya isidingo kwa makahaba uone ya dagaa iko wapi!
Ukitaka ushinde hili gem hamna cha bebii wala nini??!!hata ya kudanganya sitaki kuitoa sababu wanawake ni makafiri
Hahahah. Safi saana, hawanaga shukrani hawa.
 
Wanawake wa Karne hii wanaelewa lugha moja tu MONEY
We mpe pesa tu atakupenda kinoma!
...........
Mark my word
 
Ndio walivyo. Juzi kati "nilitoa boko!" wife akashtukia. Tukayamaliza. Nikamdukua whatsapp. Nikakuta anashauriana na marafiki zake jinsi ya kujimilikisha haka kakibanda chetu. Sijakaa vizuri. Ananishauri nikaandike wosia mahakamani! Sijamaliza kumtafakari.
Hahahaaaa!! Wahi kabla hajakuwahi
 
HIV v2 ilibidi ukawafundishe wasukuma maana hawako romantic hata kidogo!
 
Back
Top Bottom