Nduna shujaa
Senior Member
- Aug 14, 2022
- 163
- 134
Naanza na kampuni ya Superfeo ya mkoani Ruvuma ukiagiza pacel mfano bahasha tu unalipia sh. 5000 iwe ni barua, au kitu kinachoweza kukaa kwenye bahasha.
Na bei hizi zipo hata kabla mafuta hayajapanda bei. Mkurugenzi wa Feo tuangaliye tunahali ngumu fikiria kupunguza gharama walau iwe 3000.
Halafu sasa nije kwa bwana mmoja anaitwa Sabasi ana gari zinaenda mbinga,lituhi hadi njombe.Tatizo la huyu habebi mizigo ya kuagiza na hajaandaa utaratibu huo.
Mliyo jirani naye mwambieni anakosa hela nyingi hivyo aandae utaratibu wa kupokea na kutuma mizigo na kuikatia risiti mtu anaenda kupokelea ofisini.
Kama gari ndogo atafakari kuwa na gari kubwa yenye buti aache uswahili.
Na bei hizi zipo hata kabla mafuta hayajapanda bei. Mkurugenzi wa Feo tuangaliye tunahali ngumu fikiria kupunguza gharama walau iwe 3000.
Halafu sasa nije kwa bwana mmoja anaitwa Sabasi ana gari zinaenda mbinga,lituhi hadi njombe.Tatizo la huyu habebi mizigo ya kuagiza na hajaandaa utaratibu huo.
Mliyo jirani naye mwambieni anakosa hela nyingi hivyo aandae utaratibu wa kupokea na kutuma mizigo na kuikatia risiti mtu anaenda kupokelea ofisini.
Kama gari ndogo atafakari kuwa na gari kubwa yenye buti aache uswahili.