Melancholic
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 3,076
- 5,483
- Thread starter
- #21
huwa siamini kwenye dini mkuuusitushirikishe unatmbn vp wkt huu n mwezi wa kwaresma na mfungo pia we dini gani babu 🤣😬😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huwa siamini kwenye dini mkuuusitushirikishe unatmbn vp wkt huu n mwezi wa kwaresma na mfungo pia we dini gani babu 🤣😬😅
Mazambi tuu yamemjaausitushirikishe unatmbn vp wkt huu n mwezi wa kwaresma na mfungo pia we dini gani babu 🤣😬😅
So nichukue hatua gani mkuuUmechinja kuku kwa mdomo sio mbaya bro subri mzik wake
Kunywa konyagi ya baridi usafishe koo mwanaharamu wewe 😆😆Ni hatua gani nichukue mzee maana ishu imetokea ghafla tu
Mkuu vitu vingine vinatokea kwa bahat mbaya tuHiki kichwa sa100 anategemea nacho kitaongeza chochote kitu kwenye pato la taifa?
Hasara hii.
anazngua ila kitachompata 🤣😬😁 m sisemi achukue dawa ya meno asukutue halafu atie ulezi achanganye na oil chafu anywe lita mojaMazambi tuu yamemjaa
Mkuu ishu imetokea ghafla tu
basi usiamini kwenye kupata shida na matatzo unakuja kuuliza ili iwejehuwa siamini kwenye dini mkuu
Mkuu ishu imetokea ghafla tu
dah mwanangu unabidi ukaoge njia panda huku umebong'oa ili uondoe mikosi😛😛Mkuu ishu imetokea ghafla tu
Na damu ya hedhi amekulisha lakon bado mtaachana. Mapenzi shenzy typuWakuu nipo na serious depression hii imetokea leo asubuh
Baada ya mpenzi wangu kutoka kazini shift ya usiku aliniomba aje apumzike kwangu na kwa vile leo ni weekend nikamkaribisha coz nilikuwa home tu.
Mtoto alifika fresh nikampokea akalala kama masaa mawili hivi baadae akaamka bac tukaanza romance za hapa na pale mtoto akaitika baadae akanishika kichwa akanizamisha uvinza bac nikapiga deki la kutosha ila nilihisi radha tofauti mdomoni nikapotezea baada ya muda ikabidi niangalie nakuta kumbe dem kaingia period bila yeye mwenyewe kujua japo alishanitaadharisha before. But akujua kama inaweza kutokea leo.
Wakuu mimi kitu kinachoniuma hii issue nimekuja kuistukia tayari nimeshakunywa litre kadhaa za damu so .
Wapambanaji naomba mnijuze kama kuna mtu alishawahi kutana na hayo mazingira na vp hatua za kuchukua za kimatibabu kama kuna madhara yoyote ya kiafya naweza kuyapata. Nipo nasoma coment