Kuna madhara yoyote damu ya hedhi ikiingia kinywani kwa bahati mbaya?

Ni hatua gani nichukue mzee maana ishu imetokea ghafla tu
Kuhusu dawa ya kutumia mimi sio mtaalamu mkuu, labda uwahi utafte hata vile vidonge vya antibacterial umeze then usepe hospital chapu.

Halafu mkuu huyo manzi hakupendi kabisa, manzi mwenye anajua reaction za acid na base zilizopo kwenye nyapu hawezi kukuruhusu kabisa upeleke mdomo wako pale.

Halafu wewe piah usijifanye bingwa sana wa kupiga deki utakuja kutana na MOUTH plus KOO EROSION hadi ujute. 🤔🤮
 
Kuna watu wanakunywa kabisa hizo damu, wanachanganya na maziwa ya mwanamke, spam za mwanaume kisha wanakunywa kama sehemu ya ritual.
 
Daah sasa mkuu hospitali naenda kwa kesi gani je pia naweza nusurika na hizo athari au ukigusa ni lazima uugue
 
serious ndio wapi kijana
 
Mkome kuzama chumvini vira angekunyea kabisa
 
Wengine watajadili kuhusu hayo madhara kama yapi, Mimi naomba kujua kitu kimoja. Hiyo bahati mbaya inakuwaje mpaka damu ya hedhi inaingia mdomoni?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…