Kuna madhara yoyote damu ya hedhi ikiingia kinywani kwa bahati mbaya?

Daaah story za mtaan zina chekesha
Ile ni damu ya kawaida tuu cha msingi asiwe na magonjwa kama HIV hepatitis ila haina shidaa
Ni sawa mtu ajikate damu umwagikie kwake kama haumwi haina shida
Daah shukran mkuu maana hapa nishajaa upepo hatari
 
Hivi Kuna mtu anaingia p hajui??
Kwasababu one thing about that issue unapoteza comfortability ...yaan unashindwa kuwa huru hta kabla hakijaanza ....alafu Huwa Ina harufu mnoo mpka unapeleka mdomo ulimi hukusikia harufu??
Wewe bhana tulia litakalokukuta likukute kujikuta wewe ndio umezaa ngono Wacha kikurambe tuu
 
Na Damu ilivyo ya moto , kudadeki oyaaa uliweza himili kunywa Damu pamoja na harufu yake mbaya?
🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…