Kuna madhara yoyote kukaa single muda mrefu?

Kuna madhara yoyote kukaa single muda mrefu?

Heri ya mwaka mpya wana JF, nmewamiss maana kitambo sana sijaja jukwaani,

Nashukuru Mungu Mambo yanaenda vizuri mwaka mpya mambo mapya Alhamdullilah, ila upya huu umekuja na usingle. sasa basi kukua kwangu kote huwa nadumu sana kwenye mahusiano ila nikiachana na mtu napata moya gurudumu linaendelea ila sijawah kaa mda mrefu bila mahusiano.

Sasa mwaka huu nataka nijaribu labda nifike mwakani hivi lakin watu wananiambia ni ngumu sijui sitokuwa sawa je kuna ukweli wowote hebu wenye experience naomba mnipe muongozo kabla sijajicommit kwenye maimpossible things
Kama wewe ni mwanamke madhara yake gharama za maisha zitakua juu kwa sababu hakuna mwanaume wa kukusaidia kulipa bill kwa reward ya mbususu

Kama ni mwanaume madhara ya haraka haraka siyaoni. Badala yake itakusaidia ku-focus kwenye mambo ya msingi. Mahusiano ni liability kwa mwanaume.

Kuna kipindi niliamua kukaa mwaka mzima bila kujihusisha na mahusiano, ni kipindi ambacho niliona kwa uhalisia jinsi mahusiano yanavyorudisha/kwamisha maendeleo ya mwanaume. Kuona vizuri mchezo unavyoenda kaa nje ya uwanja
 
Nani kakuambia et kutokua na mahusiano unaharibika kisaikolojia? Hii ya wap na nan kasema au nin kimfanye mtu aharibike kisaikolojia kisa mapenzi hell Nooooo
Naongea kama mtu niliyesoma psychology 3rd level

Wewe unabisha kwa facts zipi
 
sasa which is which? kuathirika nmeshaanza maana mtu akiniambia ananipenda naona anaongea upuuzi
Kila kitu kina faida Na hasara zake na kwa case yako ni bora uone mtu anakuambia upuuzi na baada ya muda uujue ukweli kuliko uamini kila unachoambiwa. Utapigwa matukio zaidi
 
Kwa experience yangu ndogo, nadhani madhara ni kubadilika badilika kwa moods hovyo na kupata hasira za kila mara kiasi cha kufanya overeaction.

Pia kuna upweke mzito na kama utajilinganisha na watu wengine ama la utapitia situations ngumu za kimaisha. Kupata depression ni rahisi

Zaidi ya hayo sidhani kama kuna athari za kiafya
Kama unataka/unaupwiro na huna access ya kuburudika, unaweza athirika ki-saikoligia, lakini kama umeamua hivyo kwa hiyari, there is no any bodly and mind consequences😁
 
Back
Top Bottom