Ncha Kali
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 15,335
- 29,114
hata mimi nasema Woga tupa kulee [emoji39]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakushauru usile. Kiumbe akila sumu na kufa ina maana imeingia kwenye system ya mwili ndiyo maana amekufaDah, Chifu!
Hasa ampe Tundu LissuMkuu mpe mwanasiasa yoyote hata mwenyekiti wako wa mtaa..
[emoji2][emoji2][emoji2]Kwanini ule vitu vilivokufa kwa sumu una njaa Sana au shida Nini?
Maisha ni muhimu kuliko kula vibudu
Wewe Mzaramo unayekula na utumbo mkuu?Kuna kuku wangu hapa amekula sumu ya panya nikamkuta amelegea nikamuwahi kumchinja sasa hapa mguu nje mguu ndani kuhusu kumla.
Yaani kuna akili inanijia nimuepuke wakati huo si mara ya kwanza kula nyama ya namna hiyo basi nachanganyikiwa tu.
Nimeshakula nyama zilizotokana na ajali ya kugongwa na nyoka sana ila sumu ya panya sijawahi.
Huku ni wapi?Location imenivutiaHuyo hapo kuku mwenyewe halafu hapa nimeingiwa na mawazo mengine zaidi...
Nahisi amegongwa na nyoka kwa sababu;
1.Hivi hivi natafakari hapa nimeona bonge la mjoka wa kijani linajimwambafy maeneo yale yale nilipomuokota kuku
2.Kuku walikula sumu tangu asubuhi sana mara tu walipofunguliwa kutoka bandani
3.Ameacha watoto hao ambao bila shaka walikula wote sumu ila vifaranga ndo hao wanaendelea kupiga misele
4.Juzi pia kuku walikula sumu ya panya kwa macho yangu nikiwaangalia na hakuna aliyekufa
5.Hatahivyo, sina hakika ni kuku yupi alikula sumu asubuhi ya leo ila maeneo hayo nilimwona kuku huyo na vifaranga vyake ndomana nikahisi ni yeye ingawa...
6.Nilimfuatilia asubuhi yote nikajiridhisha yupo salama kabisa ndipo nikaondoka na ndipo...
7.Muda naandika huo uzi ndo nimetoka kumchinja na hakufurukuta wala kelele wala nini zaidi ya damu tu hiyo iliyomwagika...
Aidha, sijaona jeraha lolote katika kagua kagua yangu hivyo nimebakia on the horns of a dilema...
Jamani nyama ya kuku hii simnaijua wenyewe inavyokuwa, tena kuku wa kienyeji loo! Hebu nishaurini fasta mimi nisije nikapoteza au nikapotea bureView attachment 1842195View attachment 1842199
Test kula halafu uje utuambie inanogaje.Omba tuu usijegeuka panyaKuna kuku wangu hapa amekula sumu ya panya nikamkuta amelegea nikamuwahi kumchinja sasa hapa mguu nje mguu ndani kuhusu kumla.
Yaani kuna akili inanijia nimuepuke wakati huo si mara ya kwanza kula nyama ya namna hiyo basi nachanganyikiwa tu.
Nimeshakula nyama zilizotokana na ajali ya kugongwa na nyoka sana ila sumu ya panya sijawahi.