Kuna madhara yoyote kula nyama ya mnyama aliyeuawa kwa sumu?

Wewe ndie mtu careless zaidi niliewahi muona toka nizaliwe. Kua serious kijana usipo angalia utakuja sababisha majanga kwa familia na majirani pia.

Nimesikitishwa na namna ulovyochinja huyo kuku na kumwaga damu yake namna hiyo ( hata kama hujali atleast chukua tahadhali kuepusha magonjwa kwa kuku wengine) na kikubwa zaidi unavyohandle hiyo sumu hapo. Kama kuku wameweza kula hiyo sumu inamaana hata wanyama wengine wanaweza kula pia ukiwemo wewe mwenyewe ( maskini sijui ndiyo hiyo iko kwenye matembele?).

Ningekua karibu ningekutandika makofi, How can a person be this stupid. Aisee! yani ukimla huyo kuku lazima utakua unamatatizo ya akili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Muache huyo kuku uliemchinja nje ya friji kwa siku zaidi ya tano, kama hakuna nzi na funza waliozaliana basi bado ana sumu mtupe. Kama kuna funza na mainzi yamejazana basi sumu imeisha ila nyama imeharibika,itupe. Hiyo kwa betting tunasema both time to score mtupe tu huyo kuku kwa usalama zaidi 🤣🤸🐒
 
Hao wengine hawaezi kula pia? naona umeiacha tu
 
Ukichinja damu ikamwagika, hilo moja, pili ukamkosha vizuuuri.. Sumu inapungua kama kuisha kabisa, ile concentration yake inapungua hatimae inakuwa haina madhara kwako.
 
Huyo kuku analiwa isipokuwa maini na firigisi. Halafu, ukimnyonyoa unaweza kuona alama kama amegongwa na nyoka. Ukiona hivyo, ondoa sehemu hiyo na uendelee na mambo yako. Usiache mboga kirahisi mkuu.
 
Wewe Mzaramo unayekula na utumbo mkuu?

Sumu za kuulia wadudu, panya nk vikiua mnyama hubakia kwenye matumbo ni vema ukala nyama 'kavu', vya ndani unaachana navyo.

Mnyama ikifa kwa sumu ya nyoka wa aina yoyote ile, mle ummalize kila kiungo kwa kuwa sumu inayomdhuru ikiingia kwenye mzunguko wa damu ya mwili wake hugeuka na kuwa protine.
 
Watu wanakula ng'ombe aliyekunywa solution ya Sodium Cyanide na hawafi, WaTz tupo kama 56m kaza mzee Baba usitupe nyama
 
Huku ni wapi?Location imenivutia
 
Test kula halafu uje utuambie inanogaje.Omba tuu usijegeuka panya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…