Kuna madhara yoyote kula nyama ya mnyama aliyeuawa kwa sumu?

Toa utumbo firijisi na maini tupa hivyo vingine kula tuu bwashee.
Kwa mfano kidari au paja sasa sumu huko inafikaje sasa.
Kidaftari kikipita mi ntatoa 2000
 
Mbula hapo ndio kwako?
 
Kwanini ule vitu vilivokufa kwa sumu una njaa Sana au shida Nini?
Maisha ni muhimu kuliko kula vibudu
Kwa madai yake alimuwahi akiwa amekegea [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] anastahili makofi mengi sana
 
Kula ila maziwa yawe jirani jirani.

Hapo ni wapi. Aise jf iko kote kote, its good environment
Kwamba akihisi tumbo linaanza kukoroga atupie kitu Cha maziwa.....πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Huyo kuku analiwa isipokuwa maini na firigisi. Halafu, ukimnyonyoa unaweza kuona alama kama amegongwa na nyoka. Ukiona hivyo, ondoa sehemu hiyo na uendelee na mambo yako. Usiache mboga kirahisi mkuu.
Mkuu maini na firigisi si ndo vit venyewe ivo vit vizuri,,
Mi mnavyohubiri kumtupa siwaelewi kbsa,
Hizi kuku kafa na sumu namkaanga vizuri na mafuta sumu bado inakuwepo wakuu,,
 
Kwa madai yake alimuwahi akiwa amekegea [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Kuna watu wanacheza na afya zao.

Juzi nimesikia kuna watoto huko geita wamekula chakula chenye sumu, uskute aliyesababisha ni jitu moja lenye akili kama za huyu jamaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…