Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Hahahahaha umepiga makavu liveunacheka nini Sasa😕😕
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaha umepiga makavu liveunacheka nini Sasa😕😕
Huyo mimi nilisha muweka kwenye ignore list ili kuepuka kuyaona matapishi yake anayoyatapika hapa JF kila leo,hua sioni hayo matapishi yake.Bantu Lady muelekeze huyu mshamba kuandika... Hata matumizi ya space hayajui
Pole Sana..Wana JamiiForums hope mko poa kabisa
Naomba kuuliza hili maana linanitesa sana. Mimi nilikuwa na mpenzi wangu ambaye nimemlipia mahari na nikamvalisha pete.
Ila mimi baada ya kuona haeleweki nikampotezea. Swali ni kuna madhara yoyote ukiachana na mtu ambaye ushamlipia mahari na kumvisha pete ya uchumba.
watoto wajinga hawa🤣wananichekesha wanapo fananisha mwandiko nahelaHahahahaha umepiga makavu live
Hahahahahawatoto wajinga hawa🤣wananichekesha wanapo fananisha mwandiko nahela
wanahisi kila mwenyehela anajua kusoma
Walishe hawa matonya wa JF mamalishe usiwafanyie hivyo wengine Mchana wao unapita kwa tabu sana usiku ndio balaa zito badala ya Vocha nasuggest uwakusanye eneo 1 uwapigishe hata pilau Kuku wakienyeji utabarikiwa sana tena ukiweza piga tour Mkoa kwa MkoaHuyu ni msumbufu, muacheni msipomjibu ataondoka mwenyewe. Ndiyo mtu anayemiliki ID's nyingi JF. Nyingi zimepigwa Ban na kila leo anaanzisha mpya. Huyu ndiyo yule huwa anadislike kila comment. Kipensili huyu...
😅😅Tujue sababu kwanza nani Chanzo? Kwa nini asieleweke?Hakuna chapa raba kabla hujaingia kwenye ndoano
Madhara ni gharama ulizokwisha toa, maana haziwezi kurudishwa ama kurudishwa kwa mafungu tena kwa kipendaroho cha wazazi, maana wanakuona kama unawaletea 'salala' kwa binti yao.Wana JamiiForums hope mko poa kabisa
Naomba kuuliza hili maana linanitesa sana. Mimi nilikuwa na mpenzi wangu ambaye nimemlipia mahari na nikamvalisha pete.
Ila mimi baada ya kuona haeleweki nikampotezea. Swali ni kuna madhara yoyote ukiachana na mtu ambaye ushamlipia mahari na kumvisha pete ya uchumba.
Wewe ni mwanaume kwanini usifanye hivyo? Una uhakika gani nje sifanyi makubwa? Hunijui so relax acha kuniquote kila nachoandika kwenye nyuzi za watu, unaharibu mijadala. Mbona imekuuma sana, ulikosa vocha mtandao gani nikutumie PM mkuu. Vitu vidogo sana hivyo. Watu wanawaza kwenda kuishi sayari mpya wewe uko na mambo ya chakula. Kuna jela mkuuWalishe hawa matonya wa JF mamalishe usiwafanyie hivyo wengine Mchana wao unapita kwa tabu sana usiku ndio balaa zito badala ya Vocha nasuggest uwakusanye eneo 1 uwapigishe hata pilau Kuku wakienyeji utabarikiwa sana tena ukiweza piga tour Mkoa kwa Mkoa
Walishe hawa matonya wa JF acha kujiteteaWewe ni mwanaume kwanini usifanye hivyo? Una uhakika gani nje sifanyi makubwa? Hunijui so relax acha kuniquote kila nachoandika kwenye nyuzi za watu, unaharibu mijadala. Mbona imekuuma sana, ulikosa vocha mtandao gani nikutumie PM mkuu. Vitu vidogo sana hivyo. Watu wanawaza kwenda kuishi sayari mpya wewe uko na mambo ya chakula. Kuna jela mkuu
Nafanya hivyo pia mkuu 👍👊🙏Huyo mimi nilisha muweka kwenye ignore list ili kuepuka kuyaona matapishi yake anayoyatapika hapa JF kila leo,hua sioni hayo matapishi yake.
Nimeandika kama kosa ni lako, lakini, kama yeye ndiye mwenye makosa huna hatia.Nimekushangaaa zaidi ya mara7000!!!
Yaani umegundua haeleweki kisa machozi uingie naye kwenye ndoa?
Aisee heri nusu Shari kuliko Shari kamili mkuu. Mwache alie ajutie ujinge wake na aambiwe nimeamua kukuacha Kwa sababu ABC sitaweza.
Wanawake wanatuacha hata kama kesho ni harusi yenu anatoroshwa na mwingine!!
Unlesss kama atakufanyia kitendo kibaya na cha hovyo - vinginevyo Pete ya uchumba ni KIAPO.Wana JamiiForums hope mko poa kabisa
Naomba kuuliza hili maana linanitesa sana. Mimi nilikuwa na mpenzi wangu ambaye nimemlipia mahari na nikamvalisha pete.
Ila mimi baada ya kuona haeleweki nikampotezea. Swali ni kuna madhara yoyote ukiachana na mtu ambaye ushamlipia mahari na kumvisha pete ya uchumba.