chief swetu
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 224
- 240
Sure?Kumbuka drivetrain speed ina influence engine speed. Modern cars ukiwa kwenye gear na unashuka mlima ECU inakata fuel automatically kwahiyo hata kama RPM ziko juu mafuta hayatumiki.
Habari
Wajuzi ni wengi humu hivyo naomba tuhabarishane
1. Je, kuna madhara yeyote yataweza kuikumbuka Gear Box ama Engine kwa ujumla kama ukiwa unaweka "N"/Neutral Gear wakati unaendesha sehemu yenye mteremko?
2. Je kuna uhalisia wa kusave mafuta kwa kuweka Neutral Gear? Na kama kweli inasaidia je ni kiasi gani cha mafuta hupunguzwa wakati wa gari ikiwa kwenye gear hiyo?
Ahsanteni.
Nmekusoma kiongoziNdio, hili ni jambo zuri. Unapunguza kuisha kwa breki. Kama unataka kushuka kwa spidi mlimani, hukutakiwa kuweka neutral in the first place.
Ukiweka neutral gari inakuwa unbalanced/unstable na kuwa kama jiwe linaloroll mlimani na ni rahisi kupoteza control hasa ukitakiwa kuswerve.
Kama unataka kushuka mlima kwa spidi kanyaga mafuta na acha gari ichague gia kubwa zaidi ishuke nayo. Kama unataka kushuka mdogo mdogo achia mafuta na acha gari ifanye engine braking na kupunguza kuisha kwa breki zako.
Mkuu legeza ubongo, nilichoelewa mm ni kwamba hizi gari sio Auto kwenye gear tu! Kumbe yaezekana inapokua kwenye down la maana/mteremko mkali ina ji-auto pia na vitu vngine ikiwemo fuel consumption, kuieka "N"/neutral ukiwa kwenye motion ni kuibadili gar kutoka Auto kwenda manual jambo ambalo sio zuri/sahh kwa usalama wa gari na dereva/watumiaji wengine wa barabara.Tusiendeshe kwa mazoea jamanKwanini nikanyage mafuta wakati lengo langu ni kuokoa mafuta kwa kutumia available potential energy ya slope iliyopo badala ya kuunguza mafuta yangu unnecessarily?
[emoji23][emoji16][emoji16]wakati sheli zote zinatoa risiti automatic kulingana na pesa yako.Pole sana boss, mi muoga sana wa hii kitu acha tu gari ile mafuta kwan shida iko wapi.
Kuna mtu kaeka D kakanyaga break anapiga story/yupo foleni wakati hapo ndo matumizi ya "N"/Neutral yanahusika.Kwahiyo waliotengeneza N waliitengeneza ili ukiiweka oil isipande vizuri na engine ife, si ndio eeh?
Ulizima gari wkt inatembea?,hahah bro shukuru sana Mungu.Kuna siku nilitaka kufa niliweka Neutral aisee huwezi irudisha wakati gari inatembea ilibidi nipunguze mwendo na kulizima kwanza gari, na unaweza kuua gear box
Kufungua vioo upepo ufanye ukinzani ni kuanzia speed 60 kwenda mbele ndo hyo dragg itafanya kaz,below that dragg haina effectGari umeshaambiwa inakula lt1 kwa km10 mfano sasa we ukiweka neitral au usiweke consuption iko palepale.kuna watu wanaamin kwamba AC inakula mafuta.AC inawezekana inakula mafuta lakini si zaidi ya kuendesha gari vioo viko wazi!vioo vikiwa wazi upepo unakusukuma nyuma na we unaongeza mafuta kwenda mbele hapo ulaji utaongezeka sana tu
Hii ndo point sasa.Ni hivi gearbox ya auto hufanya shifting kwa kuzingatia pressure ya oil kwenye gearbox, ambayo presha hutengenezwa nanaccerelation ya gari inayotoka kwenye matairi yanapozunguka. So unapoweka neutural unatenganisha engine na gearbox hivo engine inabaki iddle huku speed inakuwa kubwa. Na engine ikibakia iddle maana yake geabox nayo inazunguka kufuata mizunguko ya engine hivyo ukiweka kwe nye D wakati gari ina speed. 60+ basi utailazimisha gari itoke no1 hadi 3 kwa lazima coz pressure inakuwa ndogo kwenye oilm labda ukitaka kurudi D basi piga breki gari isimame kabisa halafu ndo uweke D uendelee na safari. Vinginevyo una shorten maisha ya gearbox yako
Unawekaje N kwenye jam Mzee baba, apo P ndo mahali pake, ukiweka N gari unakuwa iko free, at a mtu akisukuma unaenda, hujawah endesha manual??Naweka N kwenye jam tu, zaidi ya hapo siweki kabisa.
Kama hujawai endesha manual, kuna mambo mengi yatakusumbua, gear ikiwa engaged D inaslow down gariUkiwa unashuka mlima na ukaweka D si RPM sawa na ukiweka N, N ni kwamba engine inaenda kwenye Idle kabisa, kuna tofauti kubwa sana; na ukisema inakata mafuta maana yake inazima? Si kweli huwa haizimi, au unamaanisha inaounguza RPM? Sasa ikipunguza RPM na ikiwa iko connected na gear box (ipo kwenye D) maana yake engine ina act kama brake na kupunguza speed, solution ni kuweka N ili upate maximum speed with minimum RPM (idle)
Ukiwa kwa foleni 'N' kuitumia ni sahihi, masuala ya mtu kukusukuma mpaka gari ikamove hayo ni mengine sasa maana sio rahisi tu eti upo Neutral kwa foleni mtu akaja sukuma gari kidog ikaanza mwendo, lakini vile vile kuweka 'N' haimaanishi gari haitakuwa na brake (ikiwa 'N' bado na brake unaweza shika).Unawekaje N kwenye jam Mzee baba, apo P ndo mahali pake, ukiweka N gari unakuwa iko free, at a mtu akisukuma unaenda, hujawah endesha manual??
N inatumika kama gari umesimam kwa muda mfupiKwahiyo waliotengeneza N waliitengeneza ili ukiiweka oil isipande vizuri na engine ife, si ndio eeh?