Kuna madhara yoyote ya kuweka "Neutral Gear" kwenye magari Automatic?


Kuna siku nilitaka kufa niliweka Neutral aisee huwezi irudisha wakati gari inatembea ilibidi nipunguze mwendo na kulizima kwanza gari, na unaweza kuua gear box
 
Nmekusoma kiongozi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanini nikanyage mafuta wakati lengo langu ni kuokoa mafuta kwa kutumia available potential energy ya slope iliyopo badala ya kuunguza mafuta yangu unnecessarily?
Mkuu legeza ubongo, nilichoelewa mm ni kwamba hizi gari sio Auto kwenye gear tu! Kumbe yaezekana inapokua kwenye down la maana/mteremko mkali ina ji-auto pia na vitu vngine ikiwemo fuel consumption, kuieka "N"/neutral ukiwa kwenye motion ni kuibadili gar kutoka Auto kwenda manual jambo ambalo sio zuri/sahh kwa usalama wa gari na dereva/watumiaji wengine wa barabara.Tusiendeshe kwa mazoea jaman

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna siku nilitaka kufa niliweka Neutral aisee huwezi irudisha wakati gari inatembea ilibidi nipunguze mwendo na kulizima kwanza gari, na unaweza kuua gear box
Ulizima gari wkt inatembea?,hahah bro shukuru sana Mungu.
 
Kufungua vioo upepo ufanye ukinzani ni kuanzia speed 60 kwenda mbele ndo hyo dragg itafanya kaz,below that dragg haina effect

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ndo point sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama hujawai endesha manual, kuna mambo mengi yatakusumbua, gear ikiwa engaged D inaslow down gari
 
Unawekaje N kwenye jam Mzee baba, apo P ndo mahali pake, ukiweka N gari unakuwa iko free, at a mtu akisukuma unaenda, hujawah endesha manual??
Ukiwa kwa foleni 'N' kuitumia ni sahihi, masuala ya mtu kukusukuma mpaka gari ikamove hayo ni mengine sasa maana sio rahisi tu eti upo Neutral kwa foleni mtu akaja sukuma gari kidog ikaanza mwendo, lakini vile vile kuweka 'N' haimaanishi gari haitakuwa na brake (ikiwa 'N' bado na brake unaweza shika).
Brake hukosekana pale tu gari inapokuwa imezimwa on motion (ingawa kuna muda huwa gari inazimika na bado naweza kanyaga brake) zaidi ya hapo uweke 'P' or 'N' bado brake zitakuwepo tu!.
 
Wala haisev mafuta kivile, iache gari kwenye D then teremka mteremko ukiwa hujakanyaga moto huku ukiaangalia rpm, then rudi juu weka kwenye N teremka ukiangalia rpm utakuta tofauti ndogo sana so ili usev nusu lita labda gari itembee 20km ikiwa N. Ukilinganisha kusev mafuta na uharibifu utakaotokea in logrun utaona damage ni kubwakuliko mafuta utakayobana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…