Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
Shukuru Mungu mkuu, anakuonyesha yajayo Halafu ww hutaki.Ni ndoto ambayo sintasahau sijui kwa nin
Ni matokeo yangu ya kidato cha sita
Usiku mmoja nliota ndoto matokeo yametoka na nikaona daraja nililopata na point kadhaa ndotoni nikashtuka usingizini na jasho kama nimenyeshewa na mvua
Ndoto ilinitesa sana na baada ya week tatu mbele matokeo yalitoka nikiwa na daraja lile lile na point zile zile
Sijui mpaka leo ni nini kile hua sitaki kuamini na siamini ndoto ni maisha yetu ila ile sijui ni nin kilitokea huu ni ukwel mtupu
Tulia miguumi mwake mkuu atakuonyesha mengi