Na wewe umekazania hiyo kukulana tu kama ndio jambo la msingi sana nnaugwaduuubooo, baada ya kusoma hizo mixer za l na r nikakumbuka ana degree hio degree ni ya kuvukia barabara? mtoto wa miaka saba analala na mama yake vipi wanakulana?
Awe anakunya ndani kama ng'ombeTupa kule hiyo rubbish,yaani manzi danga kishenzi eti umpangie self yenye choo ndani[emoji16]
Mi mwanamke,ila nadiriki kusema hapa hakuna mwanamke,Hana akili!Ni jambo baya ila naweka pia na wengine wajifunze. Wakati mwingine usitake sana kumridhisha au kumfurahisha mwenzio. Usitake kuvumilia sana tabia ambazo unajua si sawa kwa kigezo cha mapenzi.
Huyu dada nilimkuta na mtoto nikamwambia haina shida nitamlea mtoto. Mumewe alifariki. Lakini kama ambavyo nliandika uzi jana. Sisemi single mothers wote wapo hivi ila huyu wangu ni kilaza. Nlimuamini sababu ana degree alimaliza CBE na ni dada mzuri wa sura , umbo na rangi. Nlidhani pia kwa kufiwa na kuwa na mtoto angekuwa matured. Bado ana upumbavu mwingi kichwani.
View attachment 2866044View attachment 2866046View attachment 2866048View attachment 2866049
5 yote hiyo mkuu“Mtoto amepoteza baba analala peke yake?😂😂”
Kuna yatima wa miaka 5 huko duniani anakoroma kabisa anasema nini huyu😂😂
ImagineEishhhhh! Hata mimi fellow single mother nakuunga mkono 💯
Achana nae huyo single mother wako maana utoto umemjaa sana.
Excuses zake zote ni za kipuuzi 100%. Ata/mtaleaje mtoto kwa style hiyo eti kisa baba yake kafariki..?🙄🙄
Yaani ni mpumbavu sijapata onaDr. Unakubaliana mtoto wa miaka Saba kujikojolea?mtoto kuacha kukojoa kitandani wengi kuanzia miaka 3 wenye akili shape ni 2.8....huyo dada analea vibaya mtoto uongo ni dhambi,
Yaani ni changamoto,ni upumbavu kupitiliza,,,Taifa lijalo sijui litakuwaje jamaniYaani ni mpumbavu sijapata ona
Imagine huyo mtt atakuwaje?
Nawaza Kwa sauti
Nina wadada 1 nasali nae, Hawa km 4 hivi single Maza tumesoma wote cbe pia🏃🏃🙄
Duh Kweli single Maza noma😆Narudia tena; Mimi baada ya kuandikiwa muandiko huu nikajifanya mpolee,falaa nikamdukua kwa mara ya mwisho kisha nikakaa kimyaa maana nishaambiwa mimi ni mbaya sana🤔
View attachment 2866066
✍️👍🤝 Umemaliza Kila kituDr Restart mi natofautiana na wewe.
1. Mtoto wa miaka 7 kujikojolea sio sahihi, unless ana tatizo la kiafya. Mimi nilimchapa wakwangu akiwa na 5 ama 6 kama siokosei....na aliacha immediately maana katabia kenyewe kaliibuka out of nowhere. Watoto wana tendency yakujaribu watu kwakufanya makosa kwa makusudi pale wanapoamini they'll get away with it. Kuna mtoto wa dada yangu (12 yrs old), huwa anakojoa kitandani, tena sometimes asubuhi kushakucha. Nimeshasafiri nae mara mbili, biti analopigwa kuhusu kujikojolea ugenini huwa lina matokeo chanya, which proves nyumbani huwa anafanya makusudi maana anaeishia kugombezwa ni dada wa kazi na sio yeye.
2. Kama nimeelewa sahihi Tuta Absoluta Kantangaze alikua na malengo na mpenzi wake, so jambo la kuruhusu/taka mtoto awe sehemu ya muda wao pamoja halina ubaya wowote. Ilikua vizuri ili watengeneze bond, lakini pia imemsaidia kujua huyo dada ni mama wa aina gani. Angekuja kugundua miaka miwili/mitatu baadae wameshaongeza wakwao ingekua mbaya zaidi.
3. Jamaa haonyeshi kutokumpenda mtoto, nnachoona ni kwamba analazimishwa kumkubali na tabia zake hata ambazo sio nzuri pamoja na aina ya malezi anayopewa. Kitu ambacho sio sahihi. If we are being honest, huyo mwanamke anaweza kuona kama anamsaidia mwanae kwakumuendekeza (sio kumpenda) ila anamuharibu.
All in all, the guy is right. Kupitia maongezi yao inaonekana kabisa he's done his best, ila single mother hana shukrani wala hataki hata ku-acknowledge juhudi za jamaa. Amuache akachoshane na mtu mwingine mbele ya safari.
Ushauri wa BureNi jambo baya ila naweka pia na wengine wajifunze. Wakati mwingine usitake sana kumridhisha au kumfurahisha mwenzio. Usitake kuvumilia sana tabia ambazo unajua si sawa kwa kigezo cha mapenzi.
Huyu dada nilimkuta na mtoto nikamwambia haina shida nitamlea mtoto. Mumewe alifariki. Lakini kama ambavyo nliandika uzi jana. Sisemi single mothers wote wapo hivi ila huyu wangu ni kilaza. Nlimuamini sababu ana degree alimaliza CBE na ni dada mzuri wa sura , umbo na rangi. Nlidhani pia kwa kufiwa na kuwa na mtoto angekuwa matured. Bado ana upumbavu mwingi kichwani.
View attachment 2866044View attachment 2866046View attachment 2866048View attachment 2866049
Ujinga wako ulianza hapa kufanya maisha na singo mazaHuyu dada nilimkuta na mtoto nikamwambia haina shida nitamlea mtoto
snowhite liked the post —aiseee miss you sana…karibu Leo tupo hapa.,,,Wanawake was hivi tunakutanaga nao Sana tu sema tunajiaminishaga watabadilika
aaahhahahah ! Nitakaribia aiseeh!snowhite liked the post —aiseee miss you sana…karibu Leo tupo hapa.,,,
Nimecheka sana huyo chizi eti mtoto asipigwe ana trauma ya kufiwa hahaha niliambiwa mimi nilipewa kipigo cha hatari baada ya kudumbukia kwenye kaburi lilikuwa linachimbwa kwenye msimba wa baba yangu…nikiwa mdogo mdogo naambiwa mother alinipiga kipigo heavy nusu ya kuniua ….hahahaha sasa kama trauma nadhani nilipigwa nayo…. Hatari sana
NimechekaAcha nikae karibu na huu uzi maana ninako elekea baada ya Divorce kukamilika huwenda nika Date na singlemaza.
Na huyu single maza mtarajiwa soon nikama huyu wako kwa kifupi hawatofautiani kabisa.Na huko tunako elekea maisha yao yatakuwa kama haya haya.