Kuna mambo hutokea katika Uhusiano ujue mwenzi wako ni mtu wa namna gani. Huyu wangu nimegundua hana akili

Kuna mambo hutokea katika Uhusiano ujue mwenzi wako ni mtu wa namna gani. Huyu wangu nimegundua hana akili

mkuu naomba kujua haya mambo kabla sijashauri jambo
1. umri wa bidada
2. kabila lake
3. kalelewa na wazazi wote wawili/mzazi mmoja/kelelewa na watu tu ambao sio wazazi?
4. mahusiano yenu yana mda gani?

mental healthy nitatizo kuna mahala kajichanganya hapo nahisi kichwani hayupo sawa bt naomba nijibu kwanza
 
Back
Top Bottom