Kuna maombi ulimwenguni kote kuliombea taifa la Israel (pray for Israel)

ward41

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2022
Posts
749
Reaction score
2,533


Wakristo ma million ulimwenguni kote wako kwenye maombi ya kuliombea taifa LA Israel🇮🇱

Kuna vikundi vingine vimeenda mbali na kutangaza Mifungo ya siku kadhaa na kuomba kwa ajili ya Israel

Cha ajabu hadi huko Iran, wakristo Wanaliombea taifa LA Israel🇮🇱.

Nini maana yake? Israel ni taifa ni teule la Mungu. Mungu hapo zamani alijitambulisha kwamba ni Mungu wa Israel🇮🇱

HAPA KUNA SIRI!
 
Wao wenyewe wana huo muda?
 
Israel wakiristo ni asilimia ndogo mno ukilinganisha na Wayahudi pamoja na Waislamu ambao ndio dini kuu mbili pale Israel.

Sasa mkiristo unamuombea Israel kama nani maana Wayahudi ambao ndiyo wenye nchi hasa hawana hata habari na maombi ya wakiristo kwasababu wanawachukia vibaya sana.
 
Mimi pia nimeelekeza familia yangu kufunga na kuomba kwa ajili ya taifa la Israel. Shetani hana nafasi ya kujitwalia utukufu mbele za Mungu wa Yakobo. Baba jina lako libarikiwe. Hakuna Mungu ila wewe; miungu yote itashindwa mbele zako ewe Mtakatifu wa Israel.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…