Most Iranians don't want ayatollah.Cha ajabu hadi huko Iran, wakristo Wanaliombea taifa LA Israel🇮🇱
Huo muda wa kuwaombea hao magaidi bora ninywe pombe.poor mind set! Asilimia kubwa wa israel sio wa kristo lkn waskristo walivyolishwa matango pori na wazungu ndo umefikia hatua hii
Wao wenyewe wana huo muda?View attachment 3116170
Wakristo ma million ulimwenguni kote wako kwenye maombi ya kuliombea taifa LA Israel🇮🇱
Kuna vikundi vingine vimeenda mbali na kutangaza Mifungo ya siku kadhaa na kuomba kwa ajili ya Israel
Cha ajabu hadi huko Iran, wakristo Wanaliombea taifa LA Israel🇮🇱.
Nini maana yake? Israel ni taifa ni teule la Mungu. Mungu hapo zamani alijitambulisha kwamba ni Mungu wa Israel🇮🇱
HAPA KUNA SIRI!
Israel wakiristo ni asilimia ndogo mno ukilinganisha na Wayahudi pamoja na Waislamu ambao ndio dini kuu mbili pale Israel.View attachment 3116170
Wakristo ma million ulimwenguni kote wako kwenye maombi ya kuliombea taifa LA Israel🇮🇱
Kuna vikundi vingine vimeenda mbali na kutangaza Mifungo ya siku kadhaa na kuomba kwa ajili ya Israel
Cha ajabu hadi huko Iran, wakristo Wanaliombea taifa LA Israel🇮🇱.
Nini maana yake? Israel ni taifa ni teule la Mungu. Mungu hapo zamani alijitambulisha kwamba ni Mungu wa Israel🇮🇱
HAPA KUNA SIRI!
Aise tunaposema wakristo ni janga la kidunia inabidi iwe inaeleweka.Huo Ni Utaahira uliotukuka!
Mkuu hawa binadamu wakuitwa wakristo ni special group inabidi wapimwe mkoj,o maana siamini kama wanatumia akili zao aise.Huo Ni Utaahira uliotukuka!
HahahahaaHuo muda wa kuwaombea hao magaidi bora ninywe pombe.
Huwaambii kitu walokole wa bonyokwa na tegegat kwa ndevu