Wasanaii hao,hawana tofauti na pdidy,hao ni matapeli wa.mifumo ya Benki,ni majitu yanatakatisha pesa kupitia vita yanafanya mambo ya hovyo kupitia vita,ni matapeli kama waxhunagji kichefuchefu wote,hata kutujaza upepoo wa bible pia ni utapeli wao,unawaombea matapeli.View attachment 3116170
Wakristo ma million ulimwenguni kote wako kwenye maombi ya kuliombea taifa LA Israel🇮🇱
Kuna vikundi vingine vimeenda mbali na kutangaza Mifungo ya siku kadhaa na kuomba kwa ajili ya Israel
Cha ajabu hadi huko Iran, wakristo Wanaliombea taifa LA Israel🇮🇱.
Nini maana yake? Israel ni taifa ni teule la Mungu. Mungu hapo zamani alijitambulisha kwamba ni Mungu wa Israel🇮🇱
HAPA KUNA SIRI!