Kuna maombi ulimwenguni kote kuliombea taifa la Israel (pray for Israel)

Kuna maombi ulimwenguni kote kuliombea taifa la Israel (pray for Israel)

QURAN IMEWAONYA WAISLAM ZAMANI TU
"Enyi mlioamini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa marafiki zenu. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na anaye wafanya kuwa marafiki basi bila ya shaka yeye ni miongoni mwao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongozi watu wenye kudhulumu.

"Aya hii inawahimiza Waislamu kuwa waangalifu na kuchagua urafiki wao kwa kuzingatia maslahi ya dini yao. Tafsiri za aya hii zinaweza kutofautiana kidogo kulingana na maulamaa tofauti, lakini ujumla wake unasisitiza kujiweka mbali na urafiki wa karibu na makundi ambayo yanaweza kuleta athari mbaya katika imani ya Kiislamu.
Hii ndio inayosema waueni au? Ule uzi wako wa kwenda Peponi upo wapi?😀😀
 
poor mind set! Asilimia kubwa wa israel sio wa kristo lkn waskristo walivyolishwa matango pori na wazungu ndo umefikia hatua hii
Hawa watu wameelimishwa sana kuhusu hilo jambo.
Ni muda wa kuwaacha waendelee kuimba huo wimbo wa israel taifa teule
 
Unqfiki wa kiroho. Ombea wote na wanaoteswa na Israel pia
Kama unaamini ahadi za Mungu ni za kweli na nizamileleni rahisi sana kuwaombea Israel.(Ukijua Yeye mtunza maagano na ahadi zake lazima atakupea rewards zako kwa kuamini neno lake na kufanya hivo).

Na unajua Ukishakuwa Mkristo in the Spirit unakuwa mrithi rasmi wa Ibrahim kama Isaac na Yakobo tu kwaiyo kuna ile spiritual bond ambayo Mkristo yoyote anaemwamini Yesu kristo na yuko na mahusiano nae ni lazima awe nayo kwa wana wa Israel.

Kumbuka hata wakati wa wafalme waliofanya kila aina ya ubaya na hiyana ndani ya ile ardhi bado Mungu aliendelea kuwa penda na kutunza ahadi zake.
 
Mimi pia nimeelekeza familia yangu kufunga na kuomba kwa ajili ya taifa la Israel. Shetani hana nafasi ya kujitwalia utukufu mbele za Mungu wa Yakobo. Baba jina lako libarikiwe. Hakuna Mungu ila wewe; miungu yote itashindwa mbele zako ewe Mtakatifu wa Israel.
Dah are you serious?!
 
Naomba kueleweshwa.

Israeli huwa ni wayahudi na dini yao ni Jewish, 73.8% na muslim ni 18% huku christian ni 1.9%,
Sasa uhusiano wa Christians na Jews ni nini maana tunaambiwa Jews hawaamini katika Yesu.

Maombi Dunia nzima kuiombea Israeli yanafanywa na christians au Jews?

Kama Israeli ni Taifa teule nani ni wateule, Jews, Muslims au christians?.

Christians wanaamini ili uende mbinguni lazima uamini katika Jesus na ndio anasemwa na christians ni mungu wao, Jews hawaamini katika Yesu na ndio Israeli hao sasa watu ambao hawaamini katika Yesu (Mungu,) wanawezaje kuwa wateule?
 
Kama unaamini ahadi za Mungu ni za kweli na nizamileleni rahisi sana kuwaombea Israel.(Ukijua Yeye mtunza maagano na ahadi zake lazima atakupea rewards zako kwa kuamini neno lake na kufanya hivo).

Na unajua Ukishakuwa Mkristo in the Spirit unakuwa mrithi rasmi wa Ibrahim kama Isaac na Yakobo tu kwaiyo kuna ile spiritual bond ambayo Mkristo yoyote anaemwamini Yesu kristo na yuko na mahusiano nae ni lazima awe nayo kwa wana wa Israel.

Kumbuka hata wakati wa wafalme waliofanya kila aina ya ubaya na hiyana ndani ya ile ardhi bado Mungu aliendelea kuwa penda na kutunza ahadi zake.
Mkristo ndio muisrael. Huu ulioandika ni kutoelewa kitabu cha wagalatia
 
View attachment 3116170

Wakristo ma million ulimwenguni kote wako kwenye maombi ya kuliombea taifa LA Israel🇮🇱

Kuna vikundi vingine vimeenda mbali na kutangaza Mifungo ya siku kadhaa na kuomba kwa ajili ya Israel

Cha ajabu hadi huko Iran, wakristo Wanaliombea taifa LA Israel🇮🇱.

Nini maana yake? Israel ni taifa ni teule la Mungu. Mungu hapo zamani alijitambulisha kwamba ni Mungu wa Israel🇮🇱

HAPA KUNA SIRI!
Mi mkristo ila naombea washenzi wale wateketezwe wakafie mbali
 
View attachment 3116170

Wakristo ma million ulimwenguni kote wako kwenye maombi ya kuliombea taifa LA Israel🇮🇱

Kuna vikundi vingine vimeenda mbali na kutangaza Mifungo ya siku kadhaa na kuomba kwa ajili ya Israel

Cha ajabu hadi huko Iran, wakristo Wanaliombea taifa LA Israel🇮🇱.

Nini maana yake? Israel ni taifa ni teule la Mungu. Mungu hapo zamani alijitambulisha kwamba ni Mungu wa Israel🇮🇱

HAPA KUNA SIRI!
Wakristo ma million ulimwenguni kote wako kwenye maombi ya kuliombea taifa LA Israel🇮🇱

Kuna vikundi vingine vimeenda mbali na kutangaza Mifungo ya siku kadhaa na kuomba kwa ajili ya Israel

Cha ajabu hadi huko Iran, wakristo Wanaliombea taifa LA Israel🇮🇱.

Nini maana yake? Israel ni taifa ni teule la Mungu. Mungu hapo zamani alijitambulisha kwamba ni Mungu wa Israel🇮🇱

HAPA KUNA SIRI!
Kweli aliyewapa jina "kondoo" hajakosea.

Hao wahaukubali ukristo, hamuamini kristo na wakiwaona wakristo huko kwao wanawatemea makohozi.

Wamepiga mpaka marufuku jina hilo wasilisikie kwao, ni kosa la jinai.

Hivi ni nani anaewachunga nyinyi kondoo mliyepotea?
 
Back
Top Bottom