Kuna maombi ulimwenguni kote kuliombea taifa la Israel (pray for Israel)

Kuna maombi ulimwenguni kote kuliombea taifa la Israel (pray for Israel)

Naomba ukakisome tena Mkuu utaelewa kwanini Paul alikuwa na sinto fahamu na Petro juu ya hilo.

Je ahadi zilizoko ndani ya agano la kale ni hai au zimepitwa na muda wake.?
Mungu alipombariki ibrahim ni ili kupitia wazao wake wa kiroho sio wa kimwili. Ndio maana biblia inasema
Wagalatia 3:29
Na kama ninyi ni wa Kristo, basi, mmekuwa uzao wa Ibrahimu, na warithi sawasawa na ahadi.

Mkristo ndio mzao wa Ibrahim sio wale jamaa wa Pale Palestine. Ahadi zote za agano la kale ni kwa wale qmbao watampokea Yesu wakiwemo na kabila la wayahudi. Msukuma na Myahudi aliyempokea Yesu wote ni sawa. Ila myahudi asiyempokea Yesu ni sawa na Muislam asiyemnua Yesu hawana tofauti.
pia hao unaowaita waisrael wengi sio ni wazungu waliojibadili majina. Kama ulikuwa hujui Hata Benjamin Netanyahu ni mpoland anayeitwa Benzion Mileikowsky
 
View attachment 3116170

Wakristo ma million ulimwenguni kote wako kwenye maombi ya kuliombea taifa LA Israel🇮🇱

Kuna vikundi vingine vimeenda mbali na kutangaza Mifungo ya siku kadhaa na kuomba kwa ajili ya Israel

Cha ajabu hadi huko Iran, wakristo Wanaliombea taifa LA Israel🇮🇱.

Nini maana yake? Israel ni taifa ni teule la Mungu. Mungu hapo zamani alijitambulisha kwamba ni Mungu wa Israel🇮🇱

HAPA KUNA SIRI!
Mkiwamliza tunataka maombi ya kupmbea congo hapo kama kweli ninyi mna upendo
 
Hizo ni bange tu. Wanatwangana mashariki ya kati huko alafu wewe eti unafanya maombi.

Unadhani sie tukiwa na majanga huwa wanatuombea? Au unadhani hata wanajua Tanzania iko wapi??

Upumbavu wa mwafrika unastaajabisha kwakweli.
Unapingana na Neno
 
Kiwango chako cha upumbavu is beyond repair
Mimi pia nimeelekeza familia yangu kufunga na kuomba kwa ajili ya taifa la Israel. Shetani hana nafasi ya kujitwalia utukufu mbele za Mungu wa Yakobo. Baba jina lako libarikiwe. Hakuna Mungu ila wewe; miungu yote itashindwa mbele zako ewe Mtakatifu wa Isra
 
Mungu alipombariki ibrahim ni ili kupitia wazao wake wa kiroho sio wa kimwili. Ndio maana biblia inasema
Wagalatia 3:29
Na kama ninyi ni wa Kristo, basi, mmekuwa uzao wa Ibrahimu, na warithi sawasawa na ahadi.

Mkristo ndio mzao wa Ibrahim sio wale jamaa wa Pale Palestine. Ahadi zote za agano la kale ni kwa wale qmbao watampokea Yesu wakiwemo na kabila la wayahudi. Msukuma na Myahudi aliyempokea Yesu wote ni sawa. Ila myahudi asiyempokea Yesu ni sawa na Muislam asiyemnua Yesu hawana tofauti.
pia hao unaowaita waisrael wengi sio ni wazungu waliojibadili majina. Kama ulikuwa hujui Hata Benjamin Netanyahu ni mpoland anayeitwa Benzion Mileikowsky
Sawa sawa Mkuu naomba kufahamu endapo ahadi katika agano la kale zilitolewa kwa ajili ya Israel au Wayahudi?

Naomba kufahamu pia Je wayahudi katika maombi yao na Ibada zao Mungu anasikia maombi yao endapo watatumia ahadi alizowapa kumuomba mambo mbali mbali au hawasikii kabisa kwakuwa hawajaokoka. (hawajamwamini Kristo)?
 
Hapa siwezi kupita hivi hivi,,, kwa kweli hii imani ya kikristo sijui ni nani aliyeiroga.,, huyo muisrael unaemuombea kwanza kabisa yeye hamkubali huyo kristo (yesu) ambae ndio msingi mkuu wa imani yenyewe,,
Pia muisrael hamkubali na hataki hata kumsikia mtu mweusi,,
Kama hiyo haitoshi ni Kosa kisheria ukifunga maspika yako ka mwamposa na kuhubiri injili kule Israel,,
Na vile vile hata huko Israel hao wakristo unawatafuta kwa tochi ni bora hata mngeiombea Lebanon walikojaa wakristo wenzenu,, hivi tukisema wakristo akili zenu kama mmekunywa maji ya chooni mtasema tunawatukana?,,, kwa mwendo huu ndo manana mpumbavu kama kiboko ya wachawi anawashikieni akili.
 
Sawa sawa Mkuu naomba kufahamu endapo ahadi katika agano la kale zilitolewa kwa ajili ya Israel au Wayahudi?

Naomba kufahamu pia Je wayahudi katika maombi yao na Ibada zao Mungu anasikia maombi yao endapo watatumia ahadi alizowapa kumuomba mambo mbali mbali au hawasikii kabisa kwakuwa hawajaokoka. (hawajamwamini Kristo)?
Vitu vyote vya Mungu na ahadi zake zote tunapata kupitia Jina la Yesu ambalo hawaliamini.

Hayo mengine watapata kama ambavyo Mungu hunyesha mvua kwa waovu na wema. Hutoa rehema zake kwa wanyama pori, ndege, nyasi, wachawi, wapagani, atheists. Sio zile qhadi za kwenye maandiko. Zile zote bila kujali zimemtaja myahudi au israel zote ni kupitia jina la Yesu. Labda kama unazungumzia wayahudi kabla ya Yesu.
 
Kwani wewe unaumia nini wakristo kuiombea Israel ngedere wewe ulitaka waombee mashoga wa iran
Nenda iran katangaze we unafirwa kisha nenda Israel katangaze we unafrwa pia kisha uje utupe mrejesho Shoga nani
 
Kiwango chako cha upumbavu is beyond repair
Jina la BWANA libarikiwe. Chagueni hivi leo mtakayemwabudu; kwamba mtamwabudu Baali, sawa! Bali mimi na nyumba yangu tutamwabudu BWANA.
 
poor mind set! Asilimia kubwa wa israel sio wa kristo lkn waskristo walivyolishwa matango pori na wazungu ndo umefikia hatua hii
Shina la Ukristo umeanzia hapo chief, hatuwezi kubeza hilo mkuu
 
uwendawazimu. niende kanisani niache kujiombea eti niwaombee waisrael wamekuambia wanataka maombi? mgogoro wa upanuzi wa ardhi nyinyi mnauleta kidini. bora hata niombee yasitokee machafuko yatakayoleta vita ya 3 kuliko huu uwendawazimu.
Hata hio Ww3 ije tu
 
View attachment 3116170

Wakristo ma million ulimwenguni kote wako kwenye maombi ya kuliombea taifa LA Israel🇮🇱

Kuna vikundi vingine vimeenda mbali na kutangaza Mifungo ya siku kadhaa na kuomba kwa ajili ya Israel

Cha ajabu hadi huko Iran, wakristo Wanaliombea taifa LA Israel🇮🇱.

Nini maana yake? Israel ni taifa ni teule la Mungu. Mungu hapo zamani alijitambulisha kwamba ni Mungu wa Israel🇮🇱

HAPA KUNA SIRI!

View: https://youtu.be/q1IFua5BJH0?si=64BF2IllSnwpFqon
 
Tuwaombee Israel 🇮🇱 kwan waoo hawana midimo ya kujiombea wasenge nn
 
Back
Top Bottom