Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Israel kuna waislam wengi kuliko wakristo,iran kuna wayahudi wengi pia,ni afrika tu ndio tunajiaminisha kwa upumbavu wetu hii vita ni ya kidinipoor mind set! Asilimia kubwa wa israel sio wa kristo lkn waskristo walivyolishwa matango pori na wazungu ndo umefikia hatua hii