Tetesi: Kuna Mawaziri watapanguliwa kazini muda wowote

Huwezi kuhangaika kutafuta mchawi wakati wewe mwenyewe umeshashindwa.
 
Can You Put The Link To That Thread,plz?


natumia kitecno mkuu nimeshindwa kuiweka hiyo link ingawaje nilijaribu,ningekuwa kwenye pc ningeweza,nenda kwenye 'search' tab ya jamii forums andika hyo tittle kisha iclick itasearch na hiyo title utaiona then isome mkuu,kuna madini ya maana sana humo mkuu,ukipata time ipitie
 

Kama unachoongea ni kweli basi inaweza kuwa hivi

1.Dr kigwa na bosi wake- dawa
2.Prof Tuesday- kodi ya vat utalii na kuporomoka utalii
3. Mwifoot- atapewa nzuri zaidi
4..Mwijage -kauli za kutojenga viwanda
5. lionchawe
 
PROF J. NDALICHAKO AENDEE KWA MIAKA YOTE HATA AWAMU IJAYO, NIMEMPENDA KWELI HUYU MH KWA UBUNIFU HALAFU NDIO FANI YAKE
 
February Marope, Prof Ndalichako, Mama lao Mh sana Angellah J. Kairuki, Prof Mbarawa, Prof Muhongo you doing goood sana muendelee kuwemo jamani mungu awalinde hawa wasiondolewe kabisa speed yao nimeikubali mno duuh
 
Ukipata tetesi jamaa huwa anapotezea.
 
Angellah Kairuki asitolewe jamani pleasee,yaan hapo ndo amefika mama lao daaah nampenda sana huyu Mh mungu amlinde
 
Ramli za ufipa boys zinaendelea.

Mshindwe na mlegee
 
Et wameshindwa kwenda na kas yake. Kwani anakasi gani sasa uyo mkurupukaji?
Kichaa wewe ubu ebu jaribu kuwa mstarabu. Uwezi kumwita rais wetu mkurukupaji. Huwe na heshima, mzalendo na upendo Kwa nchi yako
 
Angellah Kairuki asitolewe jamani pleasee,yaan hapo ndo amefika mama lao daaah nampenda sana huyu Mh mungu amlinde
mmmh! kama anautendaji ulio tukuka hakuna haja ya kumwombea asitumbuliwe utendaji wake utambeba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…