technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
- Thread starter
- #201
Aya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Can You Put The Link To That Thread,plz?
Mkuu lizaboni, haya anayoyafanya JPM, jaribu kupiga picha iwapo yule mamvi au yule mbunge wa zamani wa mtama kama wangekuwa na uthubutu wa kuyafanya.Duh! Kwani wewe kasi unayoijua ni ipi?
Ajipangue na yeye mwenyewe kwanzaMuda wowote
Dah!ndio mlipofika hapa bavicha?ccm hawana jipya hao hata Mungu akiwapa malaika hachukui round kufuata uchawi wa ccm
umeona majungu sio subiri.Tanzania kuna mtambo wa kupika majungu
Mkuu Lukuvi na Membe vipi ule mpango wao wa kumuhujumu Magu asiwe mwenyekiti? Ally Hapi?Tanzania kuna mtambo wa kupika majungu
Kuna habari zimetapakaa hapa mjini kuwa Rais Makufuri anatarajia kupangua Baraza la Mawaziri siku yoyote kuanzia sasa.
Imeelezwa sababu za Rais kupangua Baraza hilo ni kuwafuta kazi baadhi ya mawaziri ambao wameshindwa kwenda na kasi ya Hapa Kazi Tu hivyo ameona bora awabwage baadhi ya mawaziri mizigo badala ya kuendelea kuing'ang'ania kuwabeba.
Hii itakuwa ni mara ya pili Rais kuwafuta kazi mawaziri tangu alipomfuta kazi Waziri Charles Kitwanga kwa sababu ya kulewa akiwa kazini. Mtangulizi wake Rais Kikwete alibadili Baraza la Mawaziri zaidi ya mara 8 kwa sababu mbalimbali zikiwemo kashfa maarufu za Richmond, Operesheni Tokomeza na Escrow.
Tusubiri tuone ni kina nani watakaopitiwa na panga hili la Makufuri na nani watapenya kwenye tundu la sindano. Kuna kila dalili kwamba kuna baadhi ya mawazi watafutwa kazi kwa sababu ya ama kumdanganya rais au kutojituma ipasavyo kwenye nafasi zao. Je, unaweza kutabiri nani atakuwa wa kwanza kupitiwa na panga hili?
Nawasilisha
Ummy Mwalimu, January, Kingwangala, Mhagama hawawezi kubaki
Ukipata tetesi jamaa huwa anapotezea.Kuna habari zimetapakaa hapa mjini kuwa Rais Makufuri anatarajia kupangua Baraza la Mawaziri siku yoyote kuanzia sasa.
Imeelezwa sababu za Rais kupangua Baraza hilo ni kuwafuta kazi baadhi ya mawaziri ambao wameshindwa kwenda na kasi ya Hapa Kazi Tu hivyo ameona bora awabwage baadhi ya mawaziri mizigo badala ya kuendelea kuing'ang'ania kuwabeba.
Hii itakuwa ni mara ya pili Rais kuwafuta kazi mawaziri tangu alipomfuta kazi Waziri Charles Kitwanga kwa sababu ya kulewa akiwa kazini. Mtangulizi wake Rais Kikwete alibadili Baraza la Mawaziri zaidi ya mara 8 kwa sababu mbalimbali zikiwemo kashfa maarufu za Richmond, Operesheni Tokomeza na Escrow.
Tusubiri tuone ni kina nani watakaopitiwa na panga hili la Makufuri na nani watapenya kwenye tundu la sindano. Kuna kila dalili kwamba kuna baadhi ya mawazi watafutwa kazi kwa sababu ya ama kumdanganya rais au kutojituma ipasavyo kwenye nafasi zao. Je, unaweza kutabiri nani atakuwa wa kwanza kupitiwa na panga hili?
Nawasilisha
Ramli za ufipa boys zinaendelea.Kuna habari zimetapakaa hapa mjini kuwa Rais Makufuri anatarajia kupangua Baraza la Mawaziri siku yoyote kuanzia sasa.
Imeelezwa sababu za Rais kupangua Baraza hilo ni kuwafuta kazi baadhi ya mawaziri ambao wameshindwa kwenda na kasi ya Hapa Kazi Tu hivyo ameona bora awabwage baadhi ya mawaziri mizigo badala ya kuendelea kuing'ang'ania kuwabeba.
Hii itakuwa ni mara ya pili Rais kuwafuta kazi mawaziri tangu alipomfuta kazi Waziri Charles Kitwanga kwa sababu ya kulewa akiwa kazini. Mtangulizi wake Rais Kikwete alibadili Baraza la Mawaziri zaidi ya mara 8 kwa sababu mbalimbali zikiwemo kashfa maarufu za Richmond, Operesheni Tokomeza na Escrow.
Tusubiri tuone ni kina nani watakaopitiwa na panga hili la Makufuri na nani watapenya kwenye tundu la sindano. Kuna kila dalili kwamba kuna baadhi ya mawazi watafutwa kazi kwa sababu ya ama kumdanganya rais au kutojituma ipasavyo kwenye nafasi zao. Je, unaweza kutabiri nani atakuwa wa kwanza kupitiwa na panga hili?
Nawasilisha
Kichaa wewe ubu ebu jaribu kuwa mstarabu. Uwezi kumwita rais wetu mkurukupaji. Huwe na heshima, mzalendo na upendo Kwa nchi yakoEt wameshindwa kwenda na kas yake. Kwani anakasi gani sasa uyo mkurupukaji?
mmmh! kama anautendaji ulio tukuka hakuna haja ya kumwombea asitumbuliwe utendaji wake utambebaAngellah Kairuki asitolewe jamani pleasee,yaan hapo ndo amefika mama lao daaah nampenda sana huyu Mh mungu amlinde