Msitari wa pambizo
JF-Expert Member
- Sep 25, 2014
- 3,098
- 5,451
haya wale wa 'lumbalumba' chagueni befa mapema, la kushoto au la kulia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Time will tell,sitaki kutaja majina ila tetesi zilizopo ni kuwa
1 : Mkuu wa taasisi nyeti ya Serikali mmoja ataondolewa
2: Mawaziri wa baadhi ya wizara kupanguliwa.
Ni kutokana na mkuu analalamika mambo hayaendi kama anavyotaka yaende.
My take: pole yenu mtakaopatwa na mtikisiko.
Stay tuned
Daaaaah pamoto kweliNecta wamemaliza kuhakiki vyeti vya form four so kuna THE AOTOMATIC FAGIO linakuja kuanzia Waziri hadi Muhudumu wa ofisi,so stay tuned
Watajiju awe nape plzSitaki kutaja majina ila tetesi zilizopo ni kuwa
1 : Mkuu wa taasisi nyeti ya Serikali mmoja ataondolewa
2: Mawaziri wa baadhi ya wizara kupanguliwa.
Ni kutokana na mkuu analalamika mambo hayaendi kama anavyotaka yaende.
My take: pole yenu mtakaopatwa na mtikisiko.
Stay tuned
Mkuu itawashangaza wengiDaaaaah pamoto kweli
shikamoho mbungeNikuulize mleta mada, je ni mambo gani hayaendi sawa? Usipojibu swali hilo basi utakuwa umechanganyikiwa
Asante kwa porojo za week endSitaki kutaja majina ila tetesi zilizopo ni kuwa
1 : Mkuu wa taasisi nyeti ya Serikali mmoja ataondolewa
2: Mawaziri wa baadhi ya wizara kupanguliwa.
Ni kutokana na mkuu analalamika mambo hayaendi kama anavyotaka yaende.
My take: pole yenu mtakaopatwa na mtikisiko.
Stay tuned
Hilo nalo nano ujuwe....walikuwa bize na Dr mwaka wakasahau nchi haina chanjo....na pia kumsemea mkulu kuwa alikuwa anatania kuhusu watu kufyatua watoto.Bwembwe za kina kingwalah zimeishia wapi
Acheni watu wafanye kazi kila siku uzushi tu.Ushakutana na magufuli akakulalamikia?Mlizusha makamu kaandika barua ya kujiuzulu eti anafokewa kana kwamba mlikuwepo,fanyeni kazi badala kila siku kupanua masikio kusikiliza umbea Ikulu kuna niniSitaki kutaja majina ila tetesi zilizopo ni kuwa
1 : Mkuu wa taasisi nyeti ya Serikali mmoja ataondolewa
2: Mawaziri wa baadhi ya wizara kupanguliwa.
Ni kutokana na mkuu analalamika mambo hayaendi kama anavyotaka yaende.
My take: pole yenu mtakaopatwa na mtikisiko.
Stay tuned
Aliyezusha ni Mwana ccm mwenzenu.Acheni watu wafanye kazi kila siku uzushi tu.Ushakutana na magufuli akakulalamikia?Mlizusha makamu kaandika barua ya kujiuzulu eti anafokewa kana kwamba mlikuwepo,fanyeni kazi badala kila siku kupanua masikio kusikiliza umbea Ikulu kuna nini