Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Moja Hizo Taasisi Nyeti Najua Ni Kuhusu Yale Masamaki Makubwa Kugoma Kupanda Kizimbani
Mawaziri Mizigo Nao Wanajiandaa Kwa Awamu Hii
Sio kweli. Ulaya na America watu huandamana kudai ajira ziongezwe...Waafrika tu ndio tuna aminI katika kuajiriwa na kujinyenyekeza kwa mamungu watu (waajiri) my take: kuna maisha nje ya kuajiriwa
Kwanini sio migulu'ncheemba?Utabiri wangu unaweza kuwa
1.Prof Jumanne Maghembe na
2.January Makamba
Usiongee zaidi....usawa huu kukoholeshwa 7m...unazitoa wp???Sina namna ya kuliweka zaidi ya hivyo ,jaribu kufukiria huenda ukapata jibu
Nakula mpakani mwa usiku na mchana M7 nitatoa wapi ?
Ngoja nikung'ute vumbi suti yangu ya mtumba,umu safari hii lazima nimo.Sitaki kutaja majina ila tetesi zilizopo ni kuwa
1 : Mkuu wa taasisi nyeti ya Serikali mmoja ataondolewa
2: Mawaziri wa baadhi ya wizara kupanguliwa.
Ni kutokana na mkuu analalamika mambo hayaendi kama anavyotaka yaende.
My take: pole yenu mtakaopatwa na mtikisiko.
Stay tuned