Tetesi: Kuna Mawaziri watapanguliwa kazini muda wowote

Tetesi: Kuna Mawaziri watapanguliwa kazini muda wowote

Tengua teua na iendelee
keep them surprised and move on.
Katika historia ya Tanzania Azimio la Arusha was a great surprise then ikafuata kuungana kwa TANU na ASP, then Kagera War, tena Retiring of the first President ... Mambo haya huja kwa surprise na kisha huwapa matumaini watu ... kwa surprise tutapata matumaini and then things and people will go on. duuu yuuuu andastandiiii!
 
Screwing the governance structure? Bring in Lipumba to Ministry of Finance? Pants down
 
Sitaki kutaja majina ila tetesi zilizopo ni kuwa

1 : Mkuu wa taasisi nyeti ya Serikali mmoja ataondolewa

2: Mawaziri wa baadhi ya wizara kupanguliwa.

Ni kutokana na mkuu analalamika mambo hayaendi kama anavyotaka yaende.

My take: pole yenu mtakaopatwa na mtikisiko.

Stay tuned
Nikama ramri ivi, ..
 
Huyo mpanguaji angeanza kujiondoa mwenyewe, kwa sababu siyo siri tena nchi imeshamshinda kabaki vitisho tu, ubabe na kibri visivyohusu kitu. Siku ya sita leo hajawajibu barua yao viongozi wa dini walioomba kuongea naye kuhusu mustakabali wa nchi na wiki ya pili sasa hajatia mguu kwenda kuwafariji waliopata maafa ya tetemeko.

Sitaki kutaja majina ila tetesi zilizopo ni kuwa

1 : Mkuu wa taasisi nyeti ya Serikali mmoja ataondolewa

2: Mawaziri wa baadhi ya wizara kupanguliwa.

Ni kutokana na mkuu analalamika mambo hayaendi kama anavyotaka yaende.

My take: pole yenu mtakaopatwa na mtikisiko.

Stay tuned
 
Isijekuwa ni njia tu ya kutafuta excuses na kupeleka lawama kwa watendaji wake ili apate sympathy ya wananchi
 
Huyo mpanguaji angeanza kujiondoa mwenyewe, kwa sababu siyo siri tena nchi imeshamshinda kabaki vitisho tu, ubabe na kibri visivyohusu kitu. Siku ya sita leo hajawajibu barua yao viongozi wa dini walioomba kuongea
naye kuhusu mustakabali wa nchi na wiki ya pili sasa hajatia mguu kwenda kuwafariji waliopata maafa ya tetemeko.

Acha kelele wewe, muda bado sana mpaka 2025, halafu anachukue yule usiompenda mtaisoma wa ufipa, Nchi bado ni kijani tu hatutaki jangwa
 
Acha ujinga wako, kelele unazijua wewe? Wewe ni nani hapa mpaka ujibaraguze kujipa mamlaka usiyokuwa nayo mpum.bavu wewe! Ukiona kimeandikwa kitu usichokipenda pita kimya kimya badala ya kujibaraguza na kuonyesha ufinyu wa akili yako utadhani wewe ni mmiliki wa Jamii Forums. Huna mamlaka yoyote humu ya kumchagulia mtu nini aandike na nini asiandike.

Acha kelele wewe, muda bado sana mpaka 2025, halafu anachukue yule usiompenda mtaisoma wa ufipa, Nchi bado ni kijani tu hatutaki jangwa
 
Sitaki kutaja majina ila tetesi zilizopo ni kuwa

1 : Mkuu wa taasisi nyeti ya Serikali mmoja ataondolewa

2: Mawaziri wa baadhi ya wizara kupanguliwa.

Ni kutokana na mkuu analalamika mambo hayaendi kama anavyotaka yaende.

My take: pole yenu mtakaopatwa na mtikisiko.

Stay tuned
Hii itatokea lini??
 
Sitaki kutaja majina ila tetesi zilizopo ni kuwa

1 : Mkuu wa taasisi nyeti ya Serikali mmoja ataondolewa

2: Mawaziri wa baadhi ya wizara kupanguliwa.

Ni kutokana na mkuu analalamika mambo hayaendi kama anavyotaka yaende.

My take: pole yenu mtakaopatwa na mtikisiko.

Stay tuned
Lazima mambo yaende kama anavyotaka rais wetu chaguo la Mungu Dr. JPM, tutafika tu, kama hizi ni habari za kweli.
 
hivi wale mawazir waliotoka kwenye wizara zao kama wataalamu, alafu wakapewa ubunge na uwazir, mfano Dk Mpango, Maige na wengie
wakitumbuliwa wanaendelea kuwa wabunge tu? au wanarudi kwenye utendaji wao wa kazi ?
 
hivi wale mawazir waliotoka kwenye wizara zao kama wataalamu, alafu wakapewa ubunge na uwazir, mfano Dk Mpango, Maige na wengie
wakitumbuliwa wanaendelea kuwa wabunge tu? au wanarudi kwenye utendaji wao wa kazi ?
Kwani muhongo ilikuwaje mbona wagaratia mnasahau au vichwa vya kuku
 
Kwani muhongo ilikuwaje mbona wagaratia mnasahau au vichwa vya kuku
nakumbuka na naelewa kuwa ukishaapishwa kuwa mbunge, utaendelea na ukomo wako mpka bunge litakapovunjwa..

ninachotaka kujua vip kwa habar ya utendaji wao katika ngazi ya wizara, na sheria za utumish wa uma zinasemaje kuhusa hichi kieneo
 
Back
Top Bottom