Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sitaki kutaja majina ila tetesi zilizopo ni kuwa
1 : Mkuu wa taasisi nyeti ya Serikali mmoja ataondolewa
2: Mawaziri wa baadhi ya wizara kupanguliwa.
Ni kutokana na mkuu analalamika mambo hayaendi kama anavyotaka yaende.
My take: pole yenu mtakaopatwa na mtikisiko.
Stay tuned
Acha ujinga wako, kelele unazijua wewe? Wewe ni nani hapa mpaka ujibaraguze kujipa mamlaka usiyokuwa nayo mpum.bavu wewe! Ukiona kimeandikwa kitu usichokipenda pita kimya kimya badala ya
kujibaraguza na kuonyesha ufinyu wa akili yako utadhani wewe ni mmiliki wa Jamii Forums. Huna mamlaka yoyote humu ya
kumchagulia mtu nini
aandike na nini asiandike.
Una akili sana, sema id ya jina la mwisho inafanya uonekane unahitaji kupimwa akili kama zipo sawaWaafrika tu ndio tuna aminI katika kuajiriwa na kujinyenyekeza kwa mamungu watu (waajiri) my take: kuna maisha nje ya kuajiriwa
Hahahahahaha haya mkuu ubarikiwe hahahahahaha
ah hahahahahaaa ni nimecheeeka hadi basiToa panya weka panya!! Ndiyo sababu kuu ya hizi Teuzi Tenguzi
Vyote unavyo roho mbaya je !?Hao wakimshinda ajaribu na sisi tuliopo mtaani kuwa Wakurugenzi, manaibu na hata Uwaziri.. Maana hatuna kazi na ujuzi tunao, vyeti vinaoza tu...
Ukawa mnamchukia January kaaaah! HahahahaUtabiri wangu unaweza kuwa
1.Prof Jumanne Maghembe na
2.January Makamba
Kuhusu viongoz wa dini labda anatafta mwakilishiHuyo mpanguaji angeanza kujiondoa mwenyewe, kwa sababu siyo siri tena nchi imeshamshinda kabaki vitisho tu, ubabe na kibri visivyohusu kitu. Siku ya sita leo hajawajibu barua yao viongozi wa dini walioomba kuongea naye kuhusu mustakabali wa nchi na wiki ya pili sasa hajatia mguu kwenda kuwafariji waliopata maafa ya tetemeko.
Hivi tunategemea nin kama watu wanafungiwa ndani hawawezi kutoka nje kujifunza nin kinaendelea dunianSerikali ya awamu ya 5 ilipoingia madarakani katika miezi sita ya mwanzo ilikuwa active sana na kwa muda mchache tulipata mafanikio makubwa sana. Endapo itaendelea kwa spidi ile ile Tanzania tutafika mbali sana, nowdays mawaziri wamepunguza kasi, wabunge na serikali za mitaa zimepunguza spidi. Viongozi waongeze juhudi na ubunifu kuijenga nchi yetu kwa mafanikio zaidi