Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hatokimmmh! kama anautendaji ulio tukuka hakuna haja ya kumwombea asitumbuliwe utendaji wake utambeba
Weka na wapinzani mheshimiwa Raisi kama alivyofanya Shein kule Zanzibar ili kuonyesha kuwa upo kikazi zaidi na si kisiasa zaidi
Wewe unahisi kuna umuhimu wa kufanya cabinet reshuffle kwa sasa? Kama ndio nani atoke nani aingie??Hiyo ilisemwa kitambo sana lakini haikutokea.Hivyo sitaamini hadi nione kweli imetokea.
Wewe upo kijijini (unadhani chanika ni mjini?)
acha hizo cc ni sehemu ya jiji kubwa la dar bna, untaka kuniambia cc huku tuko mkoani???
Wewe upo kijijini (unadhani chanika ni mjini?)
Hivi mheshimiwa January makamba yupo kweli???
wanaoondoka ni
simbachawene
january makamba
hawa wote wawili mnaibu wao wanafanya kazi sana tena saana jaffo
Ni mkoani!!! Mkoa wa Dar es salaam.acha hizo cc ni sehemu ya jiji kubwa la dar, unatak kunambia huku tuliko ni mkoani??
huyo nilimsahau watakao pandishwa niongezea kweli list wanaaondoka jina la Prof Maghembe uprint unitumie nihakiki