Bonobo
JF-Expert Member
- Jan 29, 2017
- 364
- 670
Mtaalam, ukinunua kimbegu.... bila kwenda kununua msuli na kigoda... dozi inakuwa haijakamilika...
Nenda kanunue msuli....ili ni vazi ambalo litakuwa la muhim sana siku ukitafuna hiko kimbegu, lakin pia utahitaji kigoda kwa ajil ya kukalia maeneo ya karibu na choo...
Kila la kheri mkuu.
Nenda kanunue msuli....ili ni vazi ambalo litakuwa la muhim sana siku ukitafuna hiko kimbegu, lakin pia utahitaji kigoda kwa ajil ya kukalia maeneo ya karibu na choo...
Kila la kheri mkuu.